oooza
Member
- Sep 12, 2024
- 5
- 4
Habarini wana jamvi.
Kutokana na vijana wengi waliopata nafasi za kuajiriwa kwa mikataba ya muda maalum katika mashirika binafsi hujikuta kuendelea kuomba nafasi sehemu zingine huku wakiwa bado wapo katika mikataba yao ya awali.
Binafsi nimejikuta nimesomea fani ya Ujenzi nikiwa chuo as a professional na nimebahatika mwaka jana kua registered katika fani yangu jambo lililonifanya kuja kuomba ushauri hapa ni kutokana kua na chaguo la pili ambalo ni geni katika kufanya comparison na hili nililokua nalo sasa hivi. Machaguo yenyewe ni haya:-
(1) Kuendelea sehemu niliyopo (Private sector) ambayo mkataba wake ni wa miaka miwili miwili lakini inakua renewable mpaka sasa nimerenew mara 1. Au
(2) Kwenda kufanya kazi ya Private Individual (tunaeza muita layman katika masuala ya ujenzi miradi mikubwa) anamradi wake wa ujenzi ambapo anahitaji msimamizi wa site kwa upande wake as a Project Manager na anatakiwa awe full time hapo.
Kilichonifanya kuja hapa ni kuomba ushauri katika risk factors zinazohusiana na option ya pili na nikienda kufanya nae negotiation nitilie mkazo kwenye aspects zipi ili niweze kupunguza risk kimkataba na kimaslai. Ninachokihitaji ni ku calculate risk na sio kuavoid risk.
Natanguliza shukrani.
Kutokana na vijana wengi waliopata nafasi za kuajiriwa kwa mikataba ya muda maalum katika mashirika binafsi hujikuta kuendelea kuomba nafasi sehemu zingine huku wakiwa bado wapo katika mikataba yao ya awali.
Binafsi nimejikuta nimesomea fani ya Ujenzi nikiwa chuo as a professional na nimebahatika mwaka jana kua registered katika fani yangu jambo lililonifanya kuja kuomba ushauri hapa ni kutokana kua na chaguo la pili ambalo ni geni katika kufanya comparison na hili nililokua nalo sasa hivi. Machaguo yenyewe ni haya:-
(1) Kuendelea sehemu niliyopo (Private sector) ambayo mkataba wake ni wa miaka miwili miwili lakini inakua renewable mpaka sasa nimerenew mara 1. Au
(2) Kwenda kufanya kazi ya Private Individual (tunaeza muita layman katika masuala ya ujenzi miradi mikubwa) anamradi wake wa ujenzi ambapo anahitaji msimamizi wa site kwa upande wake as a Project Manager na anatakiwa awe full time hapo.
Kilichonifanya kuja hapa ni kuomba ushauri katika risk factors zinazohusiana na option ya pili na nikienda kufanya nae negotiation nitilie mkazo kwenye aspects zipi ili niweze kupunguza risk kimkataba na kimaslai. Ninachokihitaji ni ku calculate risk na sio kuavoid risk.
Natanguliza shukrani.