Ushauri: Nimemaliza chuo, nina mtaji wa 2M. Naweza kufanya biashara gani?

Ushauri: Nimemaliza chuo, nina mtaji wa 2M. Naweza kufanya biashara gani?

Kati ya mawazo yote matatu hamna wazo bora, yote yatakusumbua ukizingatia mtaji wako ulivyo, aina za biashara na eneo lenyewe ni Geita. Tafuta mawazo mengine achana na haya kabisa
 
Soma kwa makini hadi mwisho mambo kujenga hayo ni mawazo ambayo nayafakiria maybe for 6 years to come but kwa now kama nilivosema mwishoni nataka kufanya kibiashara kidogo kidogo cha kunikwamua kimaisha ili nisiwe tegemezi Tena home
Basi kama una exprience yoyote ya ushonaji nunua mashine mbili za ushonaji chukua flame ya biashara nunua vitenge na vitambaa tafta leseni ya biashara. Baada ya hapo nenda halmashauri kaombe fedha ya vijana na wanawake pale halmashauri ya mji utajisajiri kwenye mfumo wao muhimu uwe pia na akaunti benki mambo mengine yatafata mwezi wakumi na mbili utakuwa na mtaji mzuri wakuendeleza ulipoa anzia hikiwa ni pamoja na kupanua mtaji.
Ukiona hyo biashara uwezi kama kwenu mna eneo la kutosha nunua ngano mafuta sukari mafuta masufuria na vitu vingine vinavyo itajika kufungua kakiwanda kadogo kakuzugia kutengeneza mandazi yale makubwa ya miatatu na miambili. Tengeneza pack kwenye mifuko wape boda boda wawili wawe wanakusambazia. By the way nipo geita tunaweza kuongea zaidi tukionana ukikwama.
 
Basi kama una exprience yoyote ya ushonaji nunua mashine mbili za ushonaji chukua flame ya biashara nunua vitenge na vitambaa tafta leseni ya biashara. Baada ya hapo nenda halmashauri kaombe fedha ya vijana na wanawake pale halmashauri ya mji utajisajiri kwenye mfumo wao muhimu uwe pia na akaunti benki mambo mengine yatafata mwezi wakumi na mbili utakuwa na mtaji mzuri wakuendeleza ulipoa anzia hikiwa ni pamoja na kupanua mtaji.
Ukiona hyo biashara uwezi kama kwenu mna eneo la kutosha nunua ngano mafuta sukari mafuta masufuria na vitu vingine vinavyo itajika kufungua kakiwanda kadogo kakuzugia kutengeneza mandazi yale makubwa ya miatatu na miambili. Tengeneza pack kwenye mifuko wape boda boda wawili wawe wanakusambazia. By the way nipo geita tunaweza kuongea zaidi tukionana ukikwama.
Nashukuru nitafanya research kwenye vitafunwa
 
Nakushauri utafute mtu mzoefu kwenye biashara ambayo unaiweza ungana nae hasa kama una ndugu au rafiki wa karibu piga nae kazi upate uzoefu ukishakuwa konki utajitegemea

Nina shuhuda nyingi za watu niliomaliza nao chuo wakaweka pesa kuja kuingia kwenye game zikakata na wasiweze kurudi tena au kukaza sometimes biashara bila kushikwa mkono kutoboa ni kazi sana

NB usiwekeze hela yote labda kama unahofu huwezi kuitunza kinamna yoyote ile
 
Nakushauri utafute mtu mzoefu kwenye biashara ambayo unaiweza ungana nae hasa kama una ndugu au rafiki wa karibu piga nae kazi upate uzoefu ukishakuwa konki utajitegemea

Nina shuhuda nyingi za watu niliomaliza nao chuo wakaweka pesa kuja kuingia kwenye game zikakata na wasiweze kurudi tena au kukaza sometimes biashara bila kushikwa mkono kutoboa ni kazi sana

NB usiwekeze hela yote labda kama unahofu huwezi kuitunza kinamna yoyote ile
Ni naweza kuhifadhi kwa vile lengo langu tu ni kujitegemea kwa kipato atleast nikifika 25 years niwe tayari naweza kushika hela ya mwnyw Bila kuomba kwa mtegemezi unaelewa baadhi yetu sisi tulikwenda Chuo wala tukakomaa na kusoma tu Bila kufanya chochote ndo tunashtuka dakika za mwishoni
 
Ni naweza kuhifadhi kwa vile lengo langu tu ni kujitegemea kwa kipato atleast nikifika 25 years niwe tayari naweza kushika hela ya mwnyw Bila kuomba kwa mtegemezi unaelewa baadhi yetu sisi tulikwenda Chuo wala tukakomaa na kusoma tu Bila kufanya chochote ndo tunashtuka dakika za mwishoni
Basi ikiwezekana fanya ivo, chukua nusu ya hiyo pesa muombe ndugu yako au rafiki ako akushike mkono kwenye biashara anayoifanya(iwe unaipenda) hadi pale utakapojua chungu tamu za hiyo biashara ndio uweze kujitegemea

Hapa simaanishi lazima muwe mutual bali hata kwa kukupa muongozo na trips mbalimbali za biashara husika
 
kwa huo mtaji unaweza ukaanza biashara ya utengenezaji wa vyakula vya kuku kitaalamu( poultry feed manufacturing) , DSM wafugaji wa kuku ni wengi. Ukitengeneza chakula kizuri na bei ikiwa nzuri , utapata wateja. Tafuta flemu weka biashara. Unaweza ukaanza kutengeneza kg 500. Unachanganya na mkono kwa kutumia spade( koleo). Pia umaweza ukafanya biashara ya mafuta ya kupikia hasa alizeti. Unanunua mafuta dodoma unauza Dar. Kwenye kutengeneza vyakula vya kuku ninaweza kukusaidia poultry feed formula za broiler, layers na dual purpose chickens pia nikakupa elimu namna ya utengenezaji wa vyakula vya kuku kitaalamu( nutritional balanced poultry feed). Hivi vitu nitakupa bure kabisa bila gharama yoyote
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
Chukua 1m betia mechi moja ya uhakika huku 1m ikiwa hakiba
Team za uhakika
1,Madrid
2,man city
3,simba
4,AL maidishu
 
Basi ikiwezekana fanya ivo, chukua nusu ya hiyo pesa muombe ndugu yako au rafiki ako akushike mkono kwenye biashara anayoifanya(iwe unaipenda) hadi pale utakapojua chungu tamu za hiyo biashara ndio uweze kujitegemea

Hapa simaanishi lazima muwe mutual bali hata kwa kukupa muongozo na trips mbalimbali za biashara husika
Nitayafanyia kazi
 
Fanya hivi... Fungua duka la nguo za kike na mikoba ya mtumba
(Wewe utakaa Dukani, halafu tafuta kijana mmoja ambaye hana aibu muajiri, yeye atakuwa anauza nguo za ofisini mnadani kwa bei ndogo... Maana najua wakazi wengi wa huko wanapenda nguo bei rahisi

Then mimi ntakuwa nakuagizia mitumba kwa Bei ya Dar (maana mbali na ww pia pia ninataka kufungua ofisi hapo Geita Katoro...mama na dada zangu wanaishi hapo)

Ntakuagizia mtumba grade A.... Na nguo za watoto zinatoka sana huko kwenu!! Biashara ikiwa nzuri huko, ntakuingiza uwe sehemu ya ofisi yetu kwahyo utapata mzigo kwa bei ndogo zaidi
(Kwa maelezo zaidi njoo Whatsapp 0692667472)

Note: ofisi yetu inataka kupanua wigo kwenye soko la mikoani🤝
 
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa na wazazi mmoja akafariki

Natamani kufanya biashara
Nimesoma Degree ya business administration. So nauliza kati ya
Biashara hizi tatu ipi inaweza kunifanya niache utegemezi kwa mtaji wa 2M
  1. Biashara ya vinywaji soft drinks na maji jumla jumla ambapo leseni yake halmshauri kwa Mwaka ni 200,000,TRA makadirio ni 50k four installment for whole year
  2. Biashara ya mchele jumla jumla as a supplier kwenye na mashule also reja reja kwa bei ya 1800,1400,1200
  3. Sare za shule masweta, sketi na kaptura na ni kwasababu frame ipo maeneo mkabala na shule mbili za msingi also shule ya secondary behind the frame! Wenye uzoefu nifanye ip??
asikudanganye mtu hiyo 2m nenda pale kitambaa cheupe utakutana na watu wenye madili ya maana ukikosa pale nenda sehemu yoyote ya starehe ila iwe kubwa hapo hutakosa mishe au mawazo ya kuja kuwa tajiriiiiiii....


ukikosa kabisa hiyo 2m kasaidie yatima Mungu atakubariki 🤣🤣🤣
 
Kama una una eneo la kutosha chukua m1 Fuga kuku chotara aina ya sasso.

Anza na vifaranga 200 ambapo Kila kifaranga huuzwa 1600 kutoka silver land wapo iringa (nitakuunganisha na wakala wao hapo geita anaitwa mawazo)

Utanunua mifuko ya chakula 3 Kwa mwezi wa kwanza

Mwezi wa2 mifuko4-6 kama huwapi na vyakula vingine

Mwezi wa3-4 Anza kutengeneza mwenyew chakula(Nipo tyr kukupa formula Bure na kuja Kwa gharama zangu hapo geita kushare naww experience yangu)

Baada ya mwezi huo uza soko lipo Nje Nje na Mimi wateja wangu wapi geita hapohapo na Mimi nipo geita hata kahama Huwa nauza.

Kwanini kuku aina ya sasso?

Nimewafugakwa muda Sasa nimeona tija Yao huu ni mwaka 4 nafuga. Kwanza niwavumilivu sana Kwa magonjwa nakiri kuwa hawatofautiani na kuku wa kienyeji kwani ukiamua uwafuge kienyeji unawafuga tu bila shida yoyote

Wanakua haraka sana yaani Kwa miezi hiyo4 kuku Tyr kafikia kuuzwa Kwa Tsh17-19k bei ya Jumla!!

Kwa sababu wewe ni wageita hapohapo nakushauri uza mwenyewe rejareja

Wengi wa watu hawawaju kama ni chotara hasa ukiwafuga kienyeji zaidi kama nifugavyo Mimi kwani mafuta Huwa ni kiasi kidogo sana.

Ukiwafuga kisasa tegemea soko kuwa chini na gharama zitakuwa juu zaidi maana watu hawapendi kuku wenye mafuta mengi na nyama laini.

Hawa kuku pia ukiwaacha wafikie miezi5-6 huanza kutaga Kwa speed sana hivyo ni juu Yako Sasa uache uuze mayai ama uuze kuku yote heri ni vile utakavyo wewe.

Ni mengi lkn naweza tiririka hapa kumbe wazo lako ni biashara za kukaa kwenye kiyoyozi hata kama faidi 120,000/= Kwa mwezi hujari kikubwa kiyoyozi na upo ofisini. Ahsantee
Saso aseee wapo vizuri sana namayai yai uwa makubwa
 
Mkuu
asikudanganye mtu hiyo 2m nenda pale kitambaa cheupe utakutana na watu wenye madili ya maana ukikosa pale nenda sehemu yoyote ya starehe ila iwe kubwa hapo hutakosa mishe au mawazo ya kuja kuwa tajiriiiiiii....


ukikosa kabisa hiyo 2m kasaidie yatima Mungu atakubariki 🤣🤣🤣
Kwenda Tena? kitambaa😂Sina insurance ya Kure cover mtaji
 
Back
Top Bottom