USHAURI: Nimemkamata mtoto wa miaka 11 anajichua bafuni akiwa anajiandaa kwenda shule

Waliofanikiwa Kuiruka nyeto hawafiki hata wawili humu ndani.
Jua tu ashaanza kutaman kurukiana kutokana na kuskia au kuona. Umemfuma Leo je unajua kaanza lini?
Maarifa ya nyeto huleta mnyetukaji.

Daah,mimi balehe sikuwahi piga nyeto,nilianzia kugegeda mbususu,nyeto nmekuja piga nishakua mtu mzima.
 
Tupe mrejesho ukiongea nae kajifunza wapi?
 
Yote sio sawa

Muache afurahie mwili wake maisha mafupi muachie starehe take hiyo ajitambue by the way me nilianza nikiwa 14 ila siku hizi sipigi maana nina hela PC kama zote
[emoji23][emoji23] kuacha nyeto ni kaz
 
Ukweli ni kwamba mpaka ukiona mtoto wa kiume anajichua ni wazi huyo ni mzima wa afya kabsa hana tatzo lolote
 

Kizazi hiki kinaendeshwa na maigizo ya mzungu na social media sijui kwanini. Shika na uelewe at some point in time, mwili wa binadamu hubadilika na hapa naongelea kipindi hasa cha balehe.

Pia, kipindi hicho body desires huanza kujifungua na mtu kujielewa sexuality yake completely. Tangu mnamzaa mtoto, yeye alikuwa hajui biologically au kimwili kwanini yeye ni mwanaume na huyu ni mwanamke zaidi ya viungo vyake na makuzi mliolea.

Muda huo ndio desires huamka na kujua kwanini huyo ni opposite sex from me. Nanakazia sex i.e male and female na sio gender maana gender ni social construct ambayo utafiti wake ulifeli miaka ya 1950s to 1980s lakini bado wazungu waliilazimisha kwamakusudi na hata waliofanyiwa huo utafiti walikuja kujiua.

Hivyo basi kipindi hicho ubongo huwa engraved na natural desire to do something's ikiwemo hilo la kusugua sehemu za siri kwa mtoto wa kiume kwakuwa testosterone, hormone ya kiume inaanza kuwa produced kwawingi.

Hivyo that is a natural desire. Ila sasa kilichokengeuka kipindi hichi ni watoto kufanya kwa njia zisizo sahihi ikiwemo kufanya kwanjia za ovyo kwasababu ya mapokeo aliyoyapata kwenye jamii, hapa nazungumzia masocial media na watu wamzungukao au kufanya kwakupita kiasi kwasababu ya kukosa kitu chakufanya ikiwemo kazi za nyumbani kwasababu ya kuwepo house girl/boy na wazazi kuwalea watoto kama yai.

Mtoto kujisugua hivyo ndio anapozidi kujitambua mwili wake ila akizidisha basi anajiharibu mwili wake. Hivyo, ni kazi yako wewe kumuelewesha kama mzazi kwasababu wewe ndiyo rafiki wake wa karibu kuliko wote juu ya mabadiliko ya mwili wake na kumwambia nini hicho hasa anapitia. Ila kamwe usimzuie, maana atakuwa anazuzia natural instinct ya desires anazosikia akilini mwake.

Mwishoe atafanya vitendo vya ajabu zaidi ya hivyo. Occupy him na majukumu ya nyumbani pamoja na masomo mwisho wa siku ile desire itashuka nasio kushuka per se bali atakuwa ameicontrol na kuiacha kabisa. Psychologist is not better than you katika kumshauri mwanao, bali utamtisha.

Nanjia zao ni za ajabu sana, kwasababu idea ya kutumia midoli na vitabu vya ajabu walianzisha wao.
 
Acha ujinga...
Mwache mtoto akue...
 
Unamkataza ili iweje? Wacha ujinga, ni mazoezi tu dogo atakuja kuwa mtaalamu sana. Kwani unafikiri Messi alianza kucheza Mpira ukubwani?
 
Huyo ameshakua sexual active. Nahofia ukimzuia kufanya hivyo mara nyingine hisia zikimzidi ataharibu hata watoto kama wapo hapo nyumbani.

Mueleze tu madhara ya punyeto .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…