Jackson jack
Member
- Jun 4, 2019
- 7
- 5
Naombeni mnisaidie ushauri, nimeapply Kazi sehem mbili, Ajira za polisi pamoja na private company as sales engineer. Kwa wenye uzoefu Ni wap niende.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto kama hizi ndio hua zinawafanya mnajiua ikitokea umekosa pote.Naombeni mnisaidie ushauri, nimeapply Kazi sehem mbili, Ajira za polisi pamoja na private company as sales engineer. Kwa wenye uzoefu Ni wap niende.
Mkuu huko polisi ushakuwa na uhakika wa kutoboa ama nini..[emoji16] Anywah nenda private company maana huku polisi kuna mambo ya interview, vipimo vya afya na mwisho kuna mafunzo ambayo huwezi jua kama utafanikiwa maliza salama au vipi.. ushauri tuuNaombeni mnisaidie ushauri, nimeapply Kazi sehem mbili, Ajira za polisi pamoja na private company as sales engineer. Kwa wenye uzoefu Ni wap niende.
Polisi sidhani km hatabaki MTU safari hii maana wanahitajika wengiKwanza nicheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu ata maombi ayajapokelewa wewe waomba ushauri wa wapi uendeee duh connection Yako nzuri Sana hiyo tugawie na sie huo ufalme
Nimeskia mafunzo ni makali na afya yangu hii sijui ni cancel application
Mgongo kuuma na vidonda vya tumbo.Afya yako ikoje mkuu?
Mgongo kuuma na vidonda vya tumbo.
Hayo naweza.Pole Sana mkuu , Ila mazoezi ambayo sio makali unaweza kufanya Kama kuzunguka uwanja wa mpira mara mbili hadi tatu?
Basi endelea kujiandaa na usitilie mashaka jambo lakoHayo naweza.