Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Hivi unaanzaje kupiga demu uliyekutana nae mtandaoni bila ndom au kupima?

Jf inaweza kuwa kama Badoo Lovoo na Hi5!

Huwa nashangaa sana 'wavulana' wanaoshovokea fake id hizi zenye avatar fake pia! Pole sana Hazard popte ulipo
Doh maskini Hazard

Chukulia Poa tu rafiki
 
Kama hata ukijiweka busy bado tatizo linakuja basi kuna uwezekano ukawa na matatizo yafuatayo, Eidha una tatizo kwenye mfumo wa Homoni, kwasababu tendo hilo huongozwa na mfumo huo kupanda hamu na kushuka au kuwa katika hali ya kawaida. Hapa kama kipindi flani ulikuwa kawaida na sasa ndio unaexperience tatizo , nashauri kamuone daktari na umpe bfief bila kumficha wala kuona aibu! Kwa upande mwingine yawezekana ukawa na pepo wa ngono, hapa unaweza kuwaona watu wa kiroho kwa ajili ya msaada wa kiroho wanaweza kukuvusha!
 
Mtukumbushe kumuhusu Hazard CFC
Huyu Hazard CFC nae yupo gredi ya taifa, nawakumbusha vijana wengi wa humu muwe makini kwa tathimini nilizofanya naona humu ndani kuna kundi kubwa sana la vijana (ME na KE) wameungua. Ukimwi upo na unaua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mafala sana ninyii....chuma kipo imara hikii
 
Wako wengi humu asikutishe mtu. atayebisha nawatajia majina. Hornet uliwapa tundi kwa laha zako wasikutishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…