Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Hahaaa watu kwa kufukunyua mambo hamjambo
 
Mmpe huyo mleta uzi kufuli afunge PM yake maana hii Tz tatizo lako linatatuliwa kwa vitendo[emoji1787][emoji1787]
 
Ningekwambia njoo pm lakini ngoja kwanza
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?....
Nikipata muda wa kutype na kuchat Kwa muda mrefu nitakufuata mwenyewe pm
 
Chai ya Tangawizi na vitunguu saumu mara KWA mara inaongeza Sana ham ya hizi makitu
Mkuu bado humtakii mema mwenzio..nyege zimemponza..wewe bado unampa maujuzi mengne tena...pepo utaiskia tuu shekhe
 
Shikamoo Jamii Forums!

Muhimu tusisahau tu ya kwamba kuna mgombea fulani wa kiti cha Urais, mpaka muda huu bado pumzi yake imekata! Sijui ni lini atarudi kuendelea na kampeni. Hivyo tumuombee.
Bado unamuombea[emoji23]?
 
Huyu Hazard CFC nae yupo gredi ya taifa, nawakumbusha vijana wengi wa humu muwe makini kwa tathimini nilizofanya naona humu ndani kuna kundi kubwa sana la vijana (ME na KE) wameungua. Ukimwi upo na unaua
[emoji15][emoji15][emoji15]
 
ni pm nitakusaidia kumaliza hilo tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…