USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

We mwanamke wa ajabu sana
 
Wanawake wabinafsi sana yaan mimi mmeo sista hili kumjua mke wangu really.
Sidhani kama imefikia ubinafsi wenu kwenye hii post

 
Sababu lazima anayo, hayo ni mambo yanayoongeleka na sio kuvunja ndoa, angemfumania hapo sawa ila sio hilo ni dogo sana kikubwa ni kumpa nafasi atoe sababu zake.
Dogo kwako,kuishi na binadamu aliyemficha mtoto kwa miaka 15 yataka moyo sana,ni mangapi amekuficha kwa mwendo huo??

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Au na ww umemficha mumeo maana unalazimisha lionekane ni kosa dogo,hilo kosa kwa mwanaume yoyote mwenye akili timamu halina msamaha,linazua maswali mengi,hoja siyo mtoto ila ni udanganyifu kwa miaka yote tena ww na familia yako,yaan mpaka wazazi wako na ndugu zako wengine nawaona si wema kwangu,siwez kuishi na familia ya hivyo mimi!

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Binadamu unayeweza kusahau mtoto uliyemzaa mwenyewe kwq uchungu,vipi mm tuliyekutana ukubwani??

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 

Huyu mbona mlimshauri tofauti??
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Sio kutaftiana sababu ila kichwa kinaweza sizii sababu ya mawazo,,,,kama jambo kubwa hivo mtu alikuficha unawaza ni mambo mangapi sijui kuhusu yeye????
 
Zamani ndoa kidole...unaambiwa kaoe paleee na unatiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…