Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Wakuu salaam,

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.
Usiingilie ugomvi usiokuhusu,ww huyo ni mamaako,ila kwa babaako mi just mwanamke( angekuwa kijana kumwita demu/mpenzi etc)mamaako huo kwake ni wivu wa mapenzi ambao hata ww kama unampenzi unao,cha muhimu kama kijana wa kiume wa kiafrika mkumbushe mzee acheze salama kama ni kweli ila atunze heshima yke na ya familia kama hawezi basi aachane naye au atafute mwingine wa mbali

La mwambie unajua mama anajua issue hivi na hivi keahiyo zinamuumiza jitahidi kufanyia mbali au kutokumuonesha waziwazi, otherwise mamaako ana play victim game kama walivo wanawake wengi kuwashirikisha watoto matatizo ya ndani ili aonewe huruma,ila suala la michepuko kwa wanaume wa kiafrika ni kawaida usiingilie ugomvi wa wapenzi hata kama ni wazazi wako!
 
Usiingilie ugomvi usiokuhusu,ww huyo ni mamaako,ila kwa babaako mi just mwanamke( angekuwa kijana kumwita demu/mpenzi etc)mamaako huo kwake ni wivu wa mapenzi ambao hata ww kama unampenzi unao,cha muhimu kama kijana wa kiume wa kiafrika mkumbushe mzee acheze salama kama ni kweli ila atunze heshima yke na ya familia kama hawezi basi aachane naye au atafute mwingine wa mbali,la mwambie unajua mama anajua issue hivi na hivi keahiyo zinamuumiza jitahidi kufanyia mbali au kutokumuonesha waziwazi, otherwise mamaako ana play victim game kama walivo wanawake wengi kuwashirikisha watoto matatizo ya ndani ili aonewe huruma,ila suala la michepuko kwa wanaume wa kiafrika ni kawaida usiingilie ugomvi wa wapenzi hata kama ni wazazi wako!
Sawa
 
Sikushauri kuingilia swala hilo bro. Mambo ya Baba na mama sio ya kuamuliwa na watoto tena haswa ya kimahusiano. Mama yako atafute hata msimamizi wa ndoa yao au mchungaji aliewafungisha ndoa huyo ndio baba yako ataeza kuwaelewa. We utaenda kumfundisha nini baba ako akuelewe.
 
Wakuu salaam,

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.

Mara ya mwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu ila cha ajabu mzee yule kaamua kumtetea mkewe kuwa hana hizo tabia na hawezi kutoka kimapenzi na mzee wangu.

Upo ushahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada ya kuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo. Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani ni kijana wake mkubwa na kwa hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.

Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa, ndio kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara moja ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa ya wazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.

Mwisho: Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu ila sio kwa wazazi.

Wasalaam!
Huo mziki siyo level yako kijana! Achana nao kabisa usijepata laana!
Mwambie mama hiyo kesi aimalize mwenyewe. Kwanza mama yako hana adabu hakupaswa kukwambia mtoto wake mambo hayo...MAMBO YA WAKUBWA WAACHIE WAKUBWA!
 
Wakuu salaam,

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.

Mara ya mwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu ila cha ajabu mzee yule kaamua kumtetea mkewe kuwa hana hizo tabia na hawezi kutoka kimapenzi na mzee wangu.

Upo ushahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada ya kuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo. Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani ni kijana wake mkubwa na kwa hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.

Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa, ndio kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara moja ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa ya wazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.

Mwisho: Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu ila sio kwa wazazi.

Wasalaam!
Huo ujasiri wa kumuuliza baba utumie kumuuliza mama anakwama wapi mpaka kazidiwa nahuyo mchepuko wa dingi
 
Asante mkuu.Hiki kikao Cha ukoo unashauri sisi Kama watoto au tuwaachie wazee? Kukufahamisha tu nikwamba ndugu waupande wa mzee wamefanya kila wanaloweza ndo ikabidi bimkubwa anishirikishe
Huyo mchepuko anampa nini mzee wako hadi hajitambui?
Ushauri wangu: Tafuta baharia moja ulipe mpunga safi likamtongoze huyo mchepuko halafu muweke mtego wa kufumania mpige picha za kutosha umpelekee babako. Kwa kawaida wazee wakichapiwa michepuko huwa wanabwaga manyanga immediately. Mchezo utaishia hapo.
 
😀 😀 😀 😀ukijua sababu why baba mkubwa wako anamtetea mkewe na hasemi kitu utajua uanzie wapi kuna kitu hukijui .
Kuna uwezekano wanasaidiana kindugu!!! Chunguza vizuri.
Yawezekana:
  1. mtoa mada na nduguze wametokana na mchango wa baba mkubwa. Baba yao alivyogundua akaamua naye ale shemejiye. Baba mkubwa anakosa guts za kulalamika kwakuwa naye kazalisha huko kwa nduguye. Na ili kuzima soo, akiambiwa shida hiyo anamtetea mkewe ili kupunguza makali ya aibu.
  2. Mdogo mtu ndiye mzalishaji wa familia ya kaka yake, na kaka yake analijua hilo. Lakini akiulizwa anamtetea mke wake ili kuficha aibu
  3. Baba wa mtoa mada anayajua maovu ya mkewe, lakini ameamua kunyamaza ili kumsitiri mkewe na kuepusha kuvunja familia. Mama anatafuta sympathy kwa watoto kwa njia ya kufichua makosa ya mumewe, ili watoto wamwone baba yao kuwa ni mtu mbaya. Pengine watoto wakijiongeza wakachunguza upande wa pili watayajua hayo mama yao aliyomtenda baba yao hadi akaenda kuliwazwa na shemeji yake. Kuna shemeji wengine ni wana huruma sana, unaweza kumsimulia shida yako akakuhurumia hadi akaamua kukusaidia kabisa kabisa.
 
Kijana pambana na Hali yako acha kuingilia faragha ya Mzee wako utapata kulaniwa bure, mwambie mama yako apambane na ndoa yake, ninachokiona hapo Ni mama yako kutafuta huruma ya watoto na kutaka kumchoresha mme wake kwa watoto kuwa ana tabia mbaya, na lengo lake huyo mama yako ni kuweka mazingira ya ninyi watoto kumchukia Mzee wenu kuwa Ni mzinzi na anatesa mama yenu.

Kijana kuwa makini na wamama, mwache Mzee wako, Sasa Kama mwenye mke kasema mkewe hawezi fanya uzinzi kwanini ninyi mkazanie kuwa baba yenu anazini?

Kuwa makini na wanawake, fanya ufanyalo mwanamke akishaona kuwa watoto wake wamekuwa na wako njema kimaisha huanzisha Visa na kuweka madaraja Kati ya baba na watoto wake ili afaidi matunda ya watoto pekee yake.na wanawake wengine huenda mbali zaidi Hadi kuwaua waume zao.

Acha kabisa Mkuu kuingilia mambo yasokuhusu, yawezekana yeye huyo mama yako hampi haki ya ndoa mmewe Sasa unataka yeye Mzee aipate wapi hiyo haki Kama sio kwa wanawake.

Life is too short mwache mzee afurahie Maisha yake na nyinyi pambaneni na Maisha yenu
Asante mkuu. Pia mshauri kijana sepema kuwa kuna methali isemayo "hujafa hujaumbika". Yeye ni wa kiume na ameoa. Habari hii ya baba yake itakuja kutokea pia kwenye ndoa yake, mkewe atawaaminisha watoto kuwa sepema ana ubaya kadha wa kadha (si lazima iwe uzinzi, lakini linaweza kuwa jambo fulani tena la kweli), na watoto watalipokea na kumchukia baba yao.
Chunga sana sepema , hao watoto wako unaowahangaikia leo, kuna siku itakuja mkeo atawapelekea mashitaka juu yako, na utakumbuka kuhusu shitaka hili alilokuletea mama yako kuhusu baba yako.
 
Ule utam huwa ni siri ya mtu kuna vya kuficha ila mapenzi na huyo anaemtetea mkewe mchunguzeni vizuri akili iko sawa atakashtuka manyoya haya hapa
 
Back
Top Bottom