mume kauanza mchepuko miaka mingi ukashindwa kudhibiti mwanao ndo ataweza! Tena wa kiume,, hebu usinichekeshe,
Msimamo wangu katika hali km hii kwwnye mahusiano huwa ni moja kati ya mawili, kupuuza kwa kutafuta suluhu na kusamehe,, ama kutosamehe na kufanya umafia kwa wabaya wangu,, ila kwa umri wa huyo maza nikiwa ndo mie ningempuuza mwanaume kwa kufanya mambo yangu km nilivyoandika toka mwanzoni,
Kuwaka, kufoka, kulia na kuumwa katika hili hakukusaidii kitu zaidi utapata kiharusi na ukifa hawaachani