Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaosema kuna kitu mzee kakosa kwa bi mkubwa ni upuuzi mtupu
mwanaume hata akiwa mzee kuchepuka ni kama jadi yao.... atachepuka tu
otherwise apate kisukari na presha mshedede ulale doro ndo atatulia
Pole sana ila usimchukue mama yako vaa moyo wa ujasiri muulize huyo mzee wako kuhusu hizo tuhuma usikie atajibu nini lakini ajabu huyo baba mkubwa wako nae hakubali kama anachapiwa ni jambo la ajabu maana ilibdi iwe kesi ya UKOOO hiyo... usikurupuke
Akili huna
Polee sanaWakuu salaam,
Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.
Mara ya mwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu ila cha ajabu mzee yule kaamua kumtetea mkewe kuwa hana hizo tabia na hawezi kutoka kimapenzi na mzee wangu.
Upo ushahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada ya kuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo. Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani ni kijana wake mkubwa na kwa hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.
Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa, ndio kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara moja ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa ya wazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.
Mwisho: Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu ila sio kwa wazazi.
Wasalaam!
Unashangaa kwa vile wewe bado ni mtoto.....kua uyaone!Atakuwa naye ni mchepuko wa mume wa mtu mahala sio bure.
Kuna michepuko nimeshai note humu kupitia michango yao,
Eti mtu anathubutu kuandika michepuko inatunza ndoa ?!
Inashangaza sana
Kwani mama yako ndo mara ya Kwanza kuchepukiwa na baba yenu?
Sioni km ni busara kushtakia hii ishu kwako na km anakiri kuwa amekuwa mchepu wake kwa muda mrefu,,
Mi nikiwa na kijana mkubwa wa umri wako siwezi kuhangaika na michepuko ya mume kabisa, adhabu yake ni kuhamisha mapenzi, nguvu na akili nitawekeza ktk watoto wangu, wajukuu wakiwepo ama ndg wa familia nk,, home sitoki ila ndo nakuwa bize na malezi vizuri na akirudi zile za kubeep akuu namtizama tu, chumba chake atakikuta,,
Hakikisha unamtunza mama yako vizuri hii wazee wengi huwanyong'onyeza na kama hajazaa kwa mchepuko baada ya muda atarudi tu,, mzee mpe heshima yake km kawa ila usijitoe kipesa kwake
Mpaka kuchepuka nje, ina maana huko ndani kuna kitu anakikosa, au anapangiwa magoli.
Cha kufanya, kama una kipato; watoe 'out' baba na mama uwapeleke mbali, uwalishe na uwanyweshe vinywaji, huku ukiwaambia umuhimu wa umoja walionao.
Kisha walipie 'lodge' au hotel walale huko huko; wao wenyewe watamaliza kero zao.
Sijaona tatizo hapo,unaweza kumbana mzee afu wewe kesho ukachepuka.
Wanawake wanatakiwa wakubali kuwa mwanaume hawez kuwa na mwanamke mmoja.
Na kitaalamu huwa wanasema mwanamke ikifikisha miaka 35+ hamu ya tendo inaanza kupungua,sasa kwanini mzee aanze kuhangaika kuomba tunda kwa mtu ambae labda hataki kutoa.
Kitu ambacho sitakagi kabisa kuwaingilia wazee wangu ni kwenye hayo mambo ya kufurahisha miili yao,mwacheni mzee amalizie uzee wake kwa furaha
Kwa upande wangu,huenda nisiwe sahihi lkn kitendo cha mume wa huyo mama kukataa kuwa mkewe Hana Tabia hizo,napata picha kuwa huenda Mzee ana tatizo hivyo hawezi mridhisha mkewe,kwahiyo kuficha aibu mke asiende kuchapwa nje na kutangaza aibu yake huenda ni Bora akaliwa na ndugu yake WA karibu,unajua wazee WA zamani haya mambo kwao sio ishu,na kuna baadhi ya Mila wakiona mkeo hapati ujauzito,unatafutiwa Safari halafu huku nyuma ndugu yako anakuja kumla mkeo na kupata Mimba, safii Tu ndugu Kwa ndugu.Afu changamoto ya kumpiga huyu mchepuko mkwara nikwamba naye nimama mtu mzima, watoto wake tunaheshimiana Kama ndugu.Nahofia kuanzisha mgogor Kati yahizi familia mbili.
Pia rejea pale ambapo mume wa huyu mama anamtetea mkewe kuwa hafanyi hizo Mambo.
Achana na mambo ya wazazi wewe.
Huu ndo ushauri rafiki! Busara kwanza kabla ya hisia.Ndugu,
Licha ya upendo mkubwa uliyonao kwa mama yako, nikushauri tu hili jambo ni la kuliendea kwa akili na sio mhemko.
Moja; huna mamlaka juu ya mahusiano ya baba yako na huyo mwanamke mwingine, kama ameshindwa kuwasikia na kusitisha mahusiano baada ya kusemwa na mkewe pamoja na ndugu zake, unadhani una nafasi kubwa sana ya kumshawishi huyo mzee?
Mbili; usianzishe chuki na baba yako kwa kuwa tu ana mahusiano nje ya ndoa na kwa namna moja yanamuumiza mama yako. Wewe ni mtoto wa kiume; endelea kutafuta suluhu bila kuharibu mahusiano yao.
Tatu; kamwe usithubutu kumuuliza mzee wako juu ya hayo mahusiano; endelea kutafuta suluhu bila kumuuliza huyo mzee. Hapa ni vyema ukatumia wazee wenzake na sio wewe mtoto aliyekuzaa mwenyewe.
Nne; fanya uchunguzi binafsi juu ya hilo jambo na sio kuamini moja kwa moja maneno ya mama yako; alisema mzee Kikwete ''za kuambiwa changanya na za kwako''
Mwisho ; japo si kwa umuhimu; yaone mahusiano ya baba na mama yako kama mahusiano ya watu binafsi; mapenzi yana mengi; kuna siku watakuja kupatana huku wakipeana huba zito na wewe utabaki unashangaa usijue namna ya kuwatazama.
Nimekueleza haya kutokana na uzoefu mbalimbali.
Uwe na siku njema.
mume kauanza mchepuko miaka mingi ukashindwa kudhibiti mwanao ndo ataweza! Tena wa kiume,, hebu usinichekeshe,Kirahisi hivyo?
Wewe umeolewa unaishi na mume
Au wewe ni mchepuko?
Unazijua athari na madhara yatokanayo na mume kuchepuka?
Yani rasilimali za familia ( fedha, muda,
Zipotelee kwa mchepuko mazima wewe utachukulia poa?
risks za kiafya, ulozi , mafarakano n.k )
Na ukute wewe hela yako itumike kwenye maendeleo ya pamoja lakini hela zake yeye ziishie kuweka michepuko mjini na kuwa je Gea nyumba wewe utafurahi?!
Eti mimi niangalie watoto tu ? Kwani huo ndio ulikuwa msingi wa agano la ndoa ?
Very rare mtoto kumweka mtu kati mzazi wake... Inatafsiriwa kuwa ni dharau. Hata mama hakutakiwa kukushirikisha wewe. Na wamam wengi hufanya hivi lakini mwisho wake huwa si mzuri..!!Wakuu salaam,
Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.
Mara ya mwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu ila cha ajabu mzee yule kaamua kumtetea mkewe kuwa hana hizo tabia na hawezi kutoka kimapenzi na mzee wangu.
Upo ushahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada ya kuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo. Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani ni kijana wake mkubwa na kwa hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.
Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa, ndio kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara moja ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa ya wazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.
Mwisho: Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu ila sio kwa wazazi.
Wasalaam!
Ushauri wangu kwa mleta mada asisimame upande wowote katika ili aweke akiba ya maneno, namna sahihi ya kuongea na mzee ajaribu kumwuliza mzee kwa kuanza kueleza ujio wa mamake, na aulize ikiwa kuna shida yoyote kati yao. Akishamsikiliza mzee ndo aone namna ya kushauri, kuliko hii kesi ya kuskiliza upande mmoja.Mchukue mama yako uishi naye umuache huyo baba ahangaike kuchungulia maumbile ya kike atakavyo. Kama kwa umri huo huyo baba alipaswa kutulia na kuwatunzia heshima yenu maana si vyema watoto kusikia habari kama hizo kuhusu baba yao lakini hajafanya hivyo basi ujue ni tabia yake na hataacha. Leo mtamkanya mmoja kesho ataanza na mwingine.
Hii hali ilishanikuta kwa mama yangu nikaichukulia simple lakini sasa najuta maana depression na sonona ilichangia sana kifo cha mama.
Mimi nadahani umechukua maamuzi ya haraka ya kumchukua mamako, tafuta chanzo cha tatizo kwanza hapo ndo utapata kujua uhalisia wa hili jambo. Ndoa lazima ibebe amani na furaha, nyumba lazima iwe ni sehemu ya pumziko lakini endapo itageuka kuwa kero lazima mtu atatafuta suluhisho japo la muda mfupi. MWISHO SUALA LA MAHUSIANO KWA MAANA YA NDOA HUMALIZWA NA WANANDOA WENYEWE hakuna cha mjumbe, mtoto, shehe, Nabii, Askofu, Mchungaji wala hakimu.Wakuu salaam,
Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.
Mara ya mwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu ila cha ajabu mzee yule kaamua kumtetea mkewe kuwa hana hizo tabia na hawezi kutoka kimapenzi na mzee wangu.
Upo ushahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada ya kuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo. Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani ni kijana wake mkubwa na kwa hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.
Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa, ndio kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara moja ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa ya wazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.
Mwisho: Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu ila sio kwa wazazi.
Wasalaam!
Hii inaukweli mkuu.Nahis yule mama anatumia dawa kuwapumbaza Hawa wazeeBoy sikia, usikae na Baba yako.
Nenda kaa na mama yako, mwambie Baba Yuko kifungoni, aya anayoyatenda sio matakwa yake, kwahyo mtulizze Kwanza mama Kwa namna hiyo.
Kisha kaeni muone mnamsaidia vipi, kumbuka hapo anayetakiwa kubanwa na huyo mama yako wa nje aka mchepuko wa Baba yako. Acha kudili na Baba yako, ww dili na mama yako mzaz Kwa kumtuliza, alafu unganisheni nguvu mudili na huyo mama,
Mzingueni Kwa kutumia akili sio makelele, huo mchepuko utaona Baba yako ni mchungu mkifikia hiyo hatua mchepuko atamuacha Baba na hiyo ndio itakuwa salama yake.
Maana inavyoonekana mchepuko sio wa mchezo, nazan unaona hata mume wake Hana mashaka, maana ata huyo mume wa mchepuko Yuko kifungoni. Kwahyo mchepuko kawafunga kwenye penzi lake Baba yako na mume wake,
SIJUI UMENIELEWA???
Fanyia kazi hayo utakuja kunishukuru