Mtoa mada chukua huu ushauri[emoji115]. Nina experience na jambo kama hilo. Usisahau kuvaa kimaafia kama siku unamtimbia huyo mamdogo. Mzura, jacket kubwa, buti, gloves za mikononi zile za sweater halafu sauti kama umekula ndumu na ulikuwa umepania kungawanya vipande ila umensamehe na kumpa chance ajirekebishe mwenyewe. Muwe watu wawili au watatu. Akitoka hapo amejikojolea na mnaweza kumvuta masikio kidogo. Au unaweza kunipa hiyo kazi, tunamweka mtu kati , sie machalii wa chuga huwa haturembeshi. Au ukitaka huyo mshua wako tunamweka kitako na bapa za sime kuwa sisi ni vijana(ndugu) wa huyo mamdogo au mimi nae ni mchepuo wangu na ukituruhusu tunampiga bapa moja tuu kisha tunampa chance atimue mbio