Ni ngumu mtu kuacha Tabia Kwa kusikiliza ushauri peke take,na umesema Mzee wako ameshauriwa na mkewe aache na amekuwa mgumu.....Kifupi ktk mahusiano anayeacha mwanamke,mwanaume haachi kirahisi km mwanake hajaamua ,hasa km utelezi anauoata kirahis kutoka Kwa huyo mchepuko
Ushauri wangu; Mfate huyo mchepuko mke wa babaako mpige mkwara mzito Sana,km ile mkwara ya Baba ubaya wa kwenye gazeti, mshinikize aachane na babaako la sivyo utamfanyia kitu kibaya sn ambacho hajawai kufanyiwa kwenye maisha yake,alafu mchimbe mkwara mwingine kwamba asimwambie Mzee wako kuhusu wewe kmfata ukamoiga biti waachane,ajifanye Tu ameamua mwenyewe kubaki na mumewe njia kuu.
Nakupa mwezi hlutakuja kutoa ushuhuda hapa wameachana