Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Wakuu salaam....

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama flani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada zakuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.

Mara yamwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu Ila Cha ajabu mzee Yule kaamua kumtetea mkewe kuwa Hana hizo tabia na hawez kutoka kimapenzi na mzee wangu.

Upo shahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada yakuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo.Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani nikijana wake mkubwa na kwa Hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.

Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae Ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa,ndo kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara1 Ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa yawazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.

Mwisho;Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu Ila sio kwa wazazi.

Wasalaam!
Una umri gani? Halafu nitaendelea
 
Wakuu salaam....

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama flani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada zakuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.

Mara yamwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu Ila Cha ajabu mzee Yule kaamua kumtetea mkewe kuwa Hana hizo tabia na hawez kutoka kimapenzi na mzee wangu.

Upo shahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada yakuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo.Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani nikijana wake mkubwa na kwa Hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.

Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae Ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa,ndo kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara1 Ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa yawazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.

Mwisho;Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu Ila sio kwa wazazi.

Wasalaam!
Una umri gani? Halafu nitaendelea
 
Ushauri nimeupokea mkuu.Kuna shangazi yangu(dadaake baba)nilimdokezea.Kwa kuwa nimtu wa dini Sana alichonijibu nikwamba anafunga nakuomba kwa ajili ya hilo jambo na soon Mungu atatenda muujiza.
@sepema yaani baba yako hakose utamu baada ya maombi ? Kama ni hivyo embu muache mzee ajilie vyake tu.
 
Sijaona tatizo hapo,unaweza kumbana mzee afu wewe kesho ukachepuka.

Wanawake wanatakiwa wakubali kuwa mwanaume hawez kuwa na mwanamke mmoja.

Na kitaalamu huwa wanasema mwanamke ikifikisha miaka 35+ hamu ya tendo inaanza kupungua,sasa kwanini mzee aanze kuhangaika kuomba tunda kwa mtu ambae labda hataki kutoa.

Kitu ambacho sitakagi kabisa kuwaingilia wazee wangu ni kwenye hayo mambo ya kufurahisha miili yao,mwacheni mzee amalizie uzee wake kwa furaha
 
Pole sana ila usimchukue mama yako vaa moyo wa ujasiri muulize huyo mzee wako kuhusu hizo tuhuma usikie atajibu nini lakini ajabu huyo baba mkubwa wako nae hakubali kama anachapiwa ni jambo la ajabu maana ilibdi iwe kesi ya UKOOO hiyo... usikurupuke

Mzee anapiga kimasihara mkuu. Mtoto huwezi kumuuliza baba yako hayo mambo. Vaa kiatu chake
 
Ni ngumu mtu kuacha Tabia Kwa kusikiliza ushauri peke take,na umesema Mzee wako ameshauriwa na mkewe aache na amekuwa mgumu.....Kifupi ktk mahusiano anayeacha mwanamke,mwanaume haachi kirahisi km mwanake hajaamua ,hasa km utelezi anauoata kirahis kutoka Kwa huyo mchepuko

Ushauri wangu; Mfate huyo mchepuko mke wa babaako mpige mkwara mzito Sana,km ile mkwara ya Baba ubaya wa kwenye gazeti, mshinikize aachane na babaako la sivyo utamfanyia kitu kibaya sn ambacho hajawai kufanyiwa kwenye maisha yake,alafu mchimbe mkwara mwingine kwamba asimwambie Mzee wako kuhusu wewe kmfata ukamoiga biti waachane,ajifanye Tu ameamua mwenyewe kubaki na mumewe njia kuu.

Nakupa mwezi hlutakuja kutoa ushuhuda hapa wameachana
Mtoa mada chukua huu ushauri[emoji115]. Nina experience na jambo kama hilo. Usisahau kuvaa kimaafia kama siku unamtimbia huyo mamdogo. Mzura, jacket kubwa, buti, gloves za mikononi zile za sweater halafu sauti kama umekula ndumu na ulikuwa umepania kungawanya vipande ila umensamehe na kumpa chance ajirekebishe mwenyewe. Muwe watu wawili au watatu. Akitoka hapo amejikojolea na mnaweza kumvuta masikio kidogo. Au unaweza kunipa hiyo kazi, tunamweka mtu kati , sie machalii wa chuga huwa haturembeshi. Au ukitaka huyo mshua wako tunamweka kitako na bapa za sime kuwa sisi ni vijana(ndugu) wa huyo mamdogo au mimi nae ni mchepuo wangu na ukituruhusu tunampiga bapa moja tuu kisha tunampa chance atimue mbio
 
Mtoa mada chukua huu ushauri[emoji115]. Nina experience na jambo kama hilo. Usisahau kuvaa kimaafia kama siku unamtimbia huyo mamdogo. Mzura, jacket kubwa, buti, gloves za mikononi zile za sweater halafu sauti kama umekula ndumu na ulikuwa umepania kungawanya vipande ila umensamehe na kumpa chance ajirekebishe mwenyewe. Muwe watu wawili au watatu. Akitoka hapo amejikojolea na mnaweza kumvuta masikio kidogo. Au unaweza kunipa hiyo kazi, tunamweka mtu kati , sie machalii wa chuga huwa haturembeshi. Au ukitaka huyo mshua wako tunamweka kitako na bapa za sime kuwa sisi ni vijana(ndugu) wa huyo mamdogo au mimi nae ni mchepuo wangu na ukituruhusu tunampiga bapa moja tuu kisha tunampa chance atimue mbio
[emoji848][emoji848][emoji4][emoji4][emoji4][emoji1787][emoji23]
 
Ushauri wangu; Mfate huyo mchepuko mke wa babaako mpige mkwara mzito Sana,km ile mkwara ya Baba ubaya wa kwenye gazeti, mshinikize aachane na babaako la sivyo utamfanyia kitu kibaya sn ambacho hajawai kufanyiwa kwenye maisha yake,alafu mchimbe mkwara mwingine kwamba asimwambie Mzee wako kuhusu wewe kmfata ukamoiga biti waachane,ajifanye Tu ameamua mwenyewe kubaki na mumewe njia kuu.
Mwambie vijana wamemchukua video na wanasubiria tu muda muafaka waiweke kwenye mtandao. Siku atakayojiona kwenye mtandao ndiyo atajua mbivu na mbichi.

Mawazo tu ya aina ya mikwara ya kupiga.
 
Angalia namna ya kumfariji mama.... Ila kuingilia mahusiano ya wazaz haina afya sana... Nikuulize tu swali wakiwa huko chumbani hua unakaa nao? Either mtafute mzee mwenye busara wa ukoo au family friend awaite awasuluhishe
 
Ndugu,

Licha ya upendo mkubwa uliyonao kwa mama yako, nikushauri tu hili jambo ni la kuliendea kwa akili na sio mhemko.

Moja; huna mamlaka juu ya mahusiano ya baba yako na huyo mwanamke mwingine, kama ameshindwa kuwasikia na kusitisha mahusiano baada ya kusemwa na mkewe pamoja na ndugu zake, unadhani una nafasi kubwa sana ya kumshawishi huyo mzee?

Mbili; usianzishe chuki na baba yako kwa kuwa tu ana mahusiano nje ya ndoa na kwa namna moja yanamuumiza mama yako. Wewe ni mtoto wa kiume; endelea kutafuta suluhu bila kuharibu mahusiano yao.

Tatu; kamwe usithubutu kumuuliza mzee wako juu ya hayo mahusiano; endelea kutafuta suluhu bila kumuuliza huyo mzee. Hapa ni vyema ukatumia wazee wenzake na sio wewe mtoto aliyekuzaa mwenyewe.

Nne; fanya uchunguzi binafsi juu ya hilo jambo na sio kuamini moja kwa moja maneno ya mama yako; alisema mzee Kikwete ''za kuambiwa changanya na za kwako''

Mwisho ; japo si kwa umuhimu; yaone mahusiano ya baba na mama yako kama mahusiano ya watu binafsi; mapenzi yana mengi; kuna siku watakuja kupatana huku wakipeana huba zito na wewe utabaki unashangaa usijue namna ya kuwatazama.

Nimekueleza haya kutokana na uzoefu mbalimbali.

Uwe na siku njema.
 
Sisi wazee wa zamani tunaelewa kinachoendelea,usidhani hapo baba anachepuka hapana

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app

Ndugu,

Licha ya upendo mkubwa uliyonao kwa mama yako, nikushauri tu hili jambo ni la kuliendea kwa akili na sio mhemko.

Moja; huna mamlaka juu ya mahusiano ya baba yako na huyo mwanamke mwingine, kama ameshindwa kuwasikia na kusitisha mahusiano baada ya kusemwa na mkewe pamoja na ndugu zake, unadhani una nafasi kubwa sana ya kumshawishi huyo mzee?

Mbili; usianzishe chuki na baba yako kwa kuwa tu ana mahusiano nje ya ndoa na kwa namna moja yanamuumiza mama yako. Wewe ni mtoto wa kiume; endelea kutafuta suluhu bila kuharibu mahusiano yao.

Tatu; kamwe usithubutu kumuuliza mzee wako juu ya hayo mahusiano; endelea kutafuta suluhu bila kumuuliza huyo mzee. Hapa ni vyema ukatumia wazee wenzake na sio wewe mtoto aliyekuzaa mwenyewe.

Nne; fanya uchunguzi binafsi juu ya hilo jambo na sio kuamini moja kwa moja maneno ya mama yako; alisema mzee Kikwete ''za kuambiwa changanya na za kwako''

Mwisho ; japo si kwa umuhimu; yaone mahusiano ya baba na mama yako kama mahusiano ya watu binafsi; mapenzi yana mengi; kuna siku watakuja kupatana huku wakipeana huba zito na wewe utabaki unashangaa usijue namna ya kuwatazama.

Nimekueleza haya kutokana na uzoefu mbalimbali.

Uwe na siku njema.
😀 😀 😀haya mambo hayana umri kesho wanapatana wanaanza kukuona huna adabuuu...
 
Back
Top Bottom