Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Kwani mama yako ndo mara ya Kwanza kuchepukiwa na baba yenu?

Sioni km ni busara kushtakia hii ishu kwako na km anakiri kuwa amekuwa mchepu wake kwa muda mrefu,,

Mi nikiwa na kijana mkubwa wa umri wako siwezi kuhangaika na michepuko ya mume kabisa, adhabu yake ni kuhamisha mapenzi, nguvu na akili nitawekeza ktk watoto wangu, wajukuu wakiwepo ama ndg wa familia nk,, home sitoki ila ndo nakuwa bize na malezi vizuri na akirudi zile za kubeep akuu namtizama tu, chumba chake atakikuta,,

Hakikisha unamtunza mama yako vizuri hii wazee wengi huwanyong'onyeza na kama hajazaa kwa mchepuko baada ya muda atarudi tu,, mzee mpe heshima yake km kawa ila usijitoe kipesa kwake
 
Nilishawahi kushuhudia kesi mbili kama hizo kijijini, ya kwanza mwaka 2010 mtoto mkubwa aliyemaliza form 6 alienda kumpa kipigo heavy yule mchepuko wa baba yake. Baba akataka ampe kipigo mke wake, matokeo yake watoto wakachangia na mama wakampa kipigo mzee.
Walikaa karibia miezi miwili bila kuongea lakini mwisho familia ilikaa vizuri.

Kisa cha pili baada ya baba kuwa na mchepuko, mtoto mkubwa wa baba akaanzisha uhusiano wa mapenzi na mtoto wa mchepuko wa mzee.
Mzee alivyogundua akajisemea yanini! akajiondoa mwenyewe bila shuruti.
😅😅😅😅Safi Sana,, na kama mchepuko wa mzee unalika Basi unautongoza nk mwanamke mwanamke tu akianza kulegea unakomaa hapo hapo usimle ila muenjoy tu akianza kupenda tu unaonyesha waziwazi Hadi mshua ajue
 
Mtafutie wahuni wamtandike mabanzi ya nguvu baba yako huku wakimsakama kuwa anatoka na demu wao hakikisha anatembezewa mabao ya maana. Onyo apigwe ila asijeruhiwe.
Mbinu ni nyingi wazee huwa wanaogopa aibu ktk jamii,, atamuacha tu
 
Huna stahiki ya kuongea na mzee wako kuhusu mahusiano yake, maana hujui amekosa nn mpaka ameenda huko, na ukijua inaweza leta sintofahamu zaid kuliko kutokujua.

Unachoweza kufanya, ni kuongea na mzee wako aongeze upende kwa mama yako, maana unahitaji mama yako awe na furaha ili na ww mambo yako yaende vzr, utaongea nae vzr kuhusu hili kama unamtumiaga vijisenti senti, ila kama bado unamtegemea au anajiweza basi huna cha kufanya
 
Afu changamoto ya kumpiga huyu mchepuko mkwara nikwamba naye nimama mtu mzima,
Mama mtu mzima wkati anatembea na babaako,angekuwa anajiheshimu na anamweshimu mumewe asingefanya huo ujinga
watoto wake tunaheshimiana Kama ndugu.Nahofia kuanzisha mgogor Kati yahizi familia mbili.
Basi mwache babaako aendlee kujitafunia mchepuko Kama unaleta mambo ya huruma wakati mamaako anateseka na presha Kwa ajili ya mumewe
Pia rejea pale ambapo mume wa huyu mama anamtetea mkewe kuwa hafanyi hizo Mambo.
Sasa umekuja kuomba ushauri wa ni wakati kila kitu unaona hakifai? Hii mbinu ya kijasusi ingekusaidia sn..Tena ungemwambia mamaangu amepata presha Kwa ajili yako sasa akifa na wewe nakuua

Km hutaki Waache waendelee kugegedana huku mamaako akiteseka na maumivu+presha
 
Ujue mwanzo mzee alibananishwa na maza akakubali kuwa nikweli na wakaombana msamaha yakaisha.Sas kumbe mzee hakuacha badala yake akawa tu amebadili mbinu kidogo.
So hapa sio kwamb inahitajika ushahidi mkuu,mzee alikubali mwenyewe.
Kwa maelezo yako haya inaonekana Mama yako ndio mwenye matatizo ana mchungachunga sana mumewe mwambie apunguze wivu na aache kufuatilia kila nyendo za mumewe
 
Mama mtu mzima wkati anatembea na babaako,angekuwa anajiheshimu na anamweshimu mumewe asingefanya huo ujinga

Basi mwache babaako aendlee kujitafunia mchepuko Kama unaleta mambo ya huruma wakati mamaako anateseka na presha Kwa ajili ya mumewe

Sasa umekuja kuomba ushauri wa ni wakati kila kitu unaona hakifai? Hii mbinu ya kijasusi ingekusaidia sn..Tena ungemwambia mamaangu amepata presha Kwa ajili yako sasa akifa na wewe nakuua

Km hutaki Waache waendelee kugegedana huku mamaako akiteseka na maumivu+presha
😀 😀 😀jamaa awashe motoo kama mbwai na iwe mbwai
 
Hapo umesikia habari ya upande mmoja tu mkuu

Baba akisema akupe stori za mama yako unaweza mchukia mama mazima

Wababa wanaishi na mengi moyoni kitup Kama mzee anatoa huduma zote nyumban huna haja ya kuingiilia mahusiano yao

Unaweza kuta hata wewe siyo mtoto wa huyo mzee sema mzee baba anaamua tu kukausha kiume kitanda hakizai haramu

Na ukimchukua mama yako ukae nae. Nadhan utakuwa umebomoa ndoa ya watu na utaleta mtafaruku kwenye ndoa yako
 
Zingatia yafuatayo.
1. Kuna uwezekano mkubwa wa kwanini mzee wako anayafanya haya.
2. Mara nyingi usihukumu upande mmoja, kwa hekima na busara muulize mzee kama ameshawahi kutendewa jambo lolote na mama yako. Kama lipo linganisha yanatokea sasa na kile kilichotekea kutoka kwa mama (kama kipo).
3. Baada ya hapo mpe mzee faida na hasara za kucheat waziwazi yaani kumpoteza mke wake wa kudumu kutamuacha hana msaidizi. Kwasasa anaona kila kitu kipo sawa ila baada ya huyo msaidizi kuondoka atapata tabu sana.
4. Mshauri aombe msamhaa na kuahidi ataacha mara moja hiyo tabia na hata akiendelea aendelee kwa akili sana isiwe tena wazi wazi.

6. Wewe ni mtoto tu huna uwezo wa kuhukumu wazazi wako kwa namna yeyote ile na ukimchukua mke wa baba yako ni laana pia
 
Unajua katika maisha ukisema utatue kila tatizo kwa busara na hekima utaonewa mpk uone dunia chungu.

Mtu hawezi kuwa chanzo cha mama yangu kuondoka duniani,hivi mama yangu afariki leo nitamuita nani mama tena?

Oya sikia mzee,u paroko weka pembeni,u Shehe weka pembeni, Kwa muda wako wewe au team yako ya wasiojulikana (kamateni huyo mama) "mchepuko wa mzee" pelekeni somewhere Msimfanye chochote ila mwambieni Kwanini mmemchukua.

Next time mkimchukua hatorudi tena kama ambavyo mnamuachia sasa hivi, Mpeni somo akiwa ndani ya kitambaa cheusi,Asikie tu sauti zenu ila asione mtu sura.

Baada ya hapo mrudisheni muacheni road ajifungue arudi kwake mwenyewe, Trust ME asipoachana na mshua wako huyo mama atakua anatafuta kifo kwa lazima.

Nina hakika ata acha, vitu vingine busara/hekima/utu,nk unaweka pembeni,when it comes to my family,my happiness, my business/money Never mess up with me.
 
Mpaka kuchepuka nje, ina maana huko ndani kuna kitu anakikosa, au anapangiwa magoli.

Cha kufanya, kama una kipato; watoe 'out' baba na mama uwapeleke mbali, uwalishe na uwanyweshe vinywaji, huku ukiwaambia umuhimu wa umoja walionao.

Kisha walipie 'lodge' au hotel walale huko huko; wao wenyewe watamaliza kero zao.
 
Zingatia yafuatayo.
1. Kuna uwezekano mkubwa wa kwanini mzee wako anayafanya haya.
2. Mara nyingi usihukumu upande mmoja, kwa hekima na busara muulize mzee kama ameshawahi kutendewa jambo lolote na mama yako. Kama lipo linganisha yanatokea sasa na kile kilichotekea kutoka kwa mama (kama kipo).
3. Baada ya hapo mpe mzee faida na hasara za kucheat waziwazi yaani kumpoteza mke wake wa kudumu kutamuacha hana msaidizi. Kwasasa anaona kila kitu kipo sawa ila baada ya huyo msaidizi kuondoka atapata tabu sana.
4. Mshauri aombe msamhaa na kuahidi ataacha mara moja hiyo tabia na hata akiendelea aendelee kwa akili sana isiwe tena wazi wazi.

6. Wewe ni mtoto tu huna uwezo wa kuhukumu wazazi wako kwa namna yeyote ile na ukimchukua mke wa baba yako ni laana pia
ukute mama nae kuna tetesi za kuliwa na yule mume wa huyo mama ambae ni shemeji yake maana hadi sasa nakos ajibu la why mume wa mchepuko hachukui hatua yani ni swali la msingi sana hapa 😀
 
Kwani mama yako ndo mara ya Kwanza kuchepukiwa na baba yenu?

Sioni km ni busara kushtakia hii ishu kwako na km anakiri kuwa amekuwa mchepu wake kwa muda mrefu,,

Mi nikiwa na kijana mkubwa wa umri wako siwezi kuhangaika na michepuko ya mume kabisa, adhabu yake ni kuhamisha mapenzi, nguvu na akili nitawekeza ktk watoto wangu, wajukuu wakiwepo ama ndg wa familia nk,, home sitoki ila ndo nakuwa bize na malezi vizuri na akirudi zile za kubeep akuu namtizama tu, chumba chake atakikuta,,

Hakikisha unamtunza mama yako vizuri hii wazee wengi huwanyong'onyeza na kama hajazaa kwa mchepuko baada ya muda atarudi tu,, mzee mpe heshima yake km kawa ila usijitoe kipesa kwake
ushauri mzuri huu
 
😅😅😅😅Safi Sana,, na kama mchepuko wa mzee unalika Basi unautongoza nk mwanamke mwanamke tu akianza kulegea unakomaa hapo hapo usimle ila muenjoy tu akianza kupenda tu unaonyesha waziwazi Hadi mshua ajue
🤣🤣🤣asee noumer!
 
Wakuu salaam....

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama flani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada zakuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.

Mara yamwisho mama kajaribu kumweleza mume wa huyo mchepuko kila kitu Ila Cha ajabu mzee Yule kaamua kumtetea mkewe kuwa Hana hizo tabia na hawez kutoka kimapenzi na mzee wangu.

Upo shahidi wakutosha kuwa mzee anatoka na huyo mama. Baada yakuvumilia kwa miaka mingi mama ameamua anipigie simu kunishirikisha jambo hilo.Amenambia ameamua kunishirikisha mimi kwani nikijana wake mkubwa na kwa Hali ilivyo anaweza kupoteza maisha kwa pressure hivyo niangalie nini naweza kufanya.

Nimefikiria kumchukua bimkubwa niishi nae Ila nahofia familia itajigawa. Ndugu wa mzee wameongea lakini mzee habadiliki kabisa,ndo kwaanza anachochea makaa kwenye treni. Nimefikiria kumvaa baba nimweleze kuhusu hilo tatizo nakwamba aache mara1 Ila nahofia reaction yake. Wakuu; huu msala na utatua vipi ili ninusuru hii ndoa yawazee wangu ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka 30 Sasa.

Mwisho;Ukihisi huwezi kuchangia naomba usome nakupita. Kama itakulazimu kuchangia kwa kutukana, naomba hayo matusi yaelekee kwangu Ila sio kwa wazazi.

Wasalaam!
Subiri uone utajuja kwanini Baba yako kachepuka.
Unajitafutia laana bure.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Safi Sana,, na kama mchepuko wa mzee unalika Basi unautongoza nk mwanamke mwanamke tu akianza kulegea unakomaa hapo hapo usimle ila muenjoy tu akianza kupenda tu unaonyesha waziwazi Hadi mshua ajue
Nimke wa bamkubwa asee
 
Back
Top Bottom