Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Wakuu salaam,

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.
Dawa ni ndogo tu, tafuta hela popote nenda kaule, ukishaula fanya mbinu siku yoyote ile mkutane na mshua live pale pale kwa mchepuko.
 
Wakuu salaam,

Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.
Naelewa ugumu unaopitia ilinikuta ila mama alikua hajajua alianza kujua mdogoangu akamfata yule dada akamuuliza unaniona hii sura manake dogo ni copy ya mdingi .... Afu akaondoka yule demu akamfata Mzee anajua yeye alivojieleza Mzee akastop kulipa ada ya dogo hapo mi Bado nipo chuo mama nae bila kujua akawa anamuunga mkono mdingi kuwa dogo jeuri...

Dogo akanishirikisha nililipukwa hasira..... Sijakaa sawa nasikia Mzee kuna kiwanja kauza kimya kimya kumwambia mama naogopa aiii nikamfata rafikiake baba nikamueleza akamtetea mdingi mi sikujali nikaomba tu hati ya nyumba irudi nyumbani nikamsisitiza mama isije ikatoka basi
 
Hapo naunga mkono hoja..!! Unajuwa huyo mtaka kumshauri babaake ana stori ya kwa mama yake tu..!! Hajui nini kimemfanya baba aamue hayo..!! Na kwa bahati mbaya, kwa jinsi wanaume tulivyo, AKIMUULIZA atazuga tu, wala hatasema chanzo halisi..!! Usikute mwamba kabaniwa unyumba miaka kadhaa, sasa jambo kama hili anaweza akamwambia mwanae?
Mtihani mgumu mno yani mama kashindwa kutumia uanamke wake kumdhibiti mumewe, kijana wake atawezaje? Na hapo wakifanikiwa kumdhibiti mzee basi maza ataanza kuitumia Kama fimbo atakumbushwa hata akigusa glass ataambiwa usishike vyombo vyangu nenda kwa mchepuko wako,,, ndo hapo nasema km ukisamehe samehe na puuza kinyume na hapo km haiwzekani tembea mbele
 
Ongea na mzee mwambie aache nyege za kitineja acheat kwa akili, afiche michepuko yake....

Nb: usimshauri aache make michepuko inaimarisha ndoa, mwambie tu afanye kwa siri.
Evelyn Salt wewe ni shida ingine😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mtazamo wangu, mama yako kakosea sana kukuambia hayo, kwa sababu hayakuhusu, hebu waza zaidi mama yako na wewe nani anamjua vizuri Baba yako? Kama mwenye mke amekataa, wakubwa wameongea na mzee wako bado hali ni ile ile wewe utaweza? ushauri wangu ni huu wewe ni mtoto wa kiume kwakuwa umeambiwa hili, usimfuate baba yako kuanza kumueleza hili, mtafute mtu mzima ambaye unaamini anamuweza mzee azungumze naye, kwa mtazamo wangu
 
Mtihani mgumu mno yani mama kashindwa kutumia uanamke wake kumdhibiti mumewe, kijana wake atawezaje? Na hapo wakifanikiwa kumdhibiti mzee basi maza ataanza kuitumia Kama fimbo atakumbushwa hata akigusa glass ataambiwa usishike vyombo vyangu nenda kwa mchepuko wako,,, ndo hapo nasema km ukisamehe samehe na puuza kinyume na hapo km haiwzekani tembea mbele
Ni mtihani mkubwa sana ambao hata kwa scintific calculator equation inagoma, na kuna sababu kwanini ameshindwa kumdhibiti mume wake, yamkini naye alikutwa amechepuka hawezi kusema hayo
 
Mtoa huna mchepuko? Kuna mengi nyuma ya hilo jambo. Wanaume ukiondoa tamaa za kimwili kingine tunachotafuta ni faraja ya moyo. Ipo siku utaambiwa pengine mleta mashtaka nae ana yake na huyo mume wa mchepuko. Mzee kaamua kulipa kisasi! Ama vinginevyo.
 
Ni mtihani mkubwa sana ambao hata kwa scintific calculator equation inagoma, na kuna sababu kwanini ameshindwa kumdhibiti mume wake, yamkini naye alikutwa amechepuka hawezi kusema hayo
Ye angempuuza tu mumewe, kuliko hivi kumwambia kijana wake amdhibiti baba yake tena katika ishu ya ngono, na tatizo lenyewe lina muda mrefu.
 
Ye angempuuza tu mumewe,, kuliko hivi kumwambia kijana wake amdhibiti baba yake tena katika ishu ya ngono, na tatizo lenyewe lina muda mrefu,,,
Mtoto ataanzaje unafikiri najaribu kufikiria na kuvaa viatu vyake naona siwezi kabisa kumcontrol mzee wangu juu ya hayo, mambo
 
Mchapie tuu huo mchepuko wake ila tengeneza mazingira akifumanie ukiwa unamchapia ataacha mwenyewe....
 
Asante kwa Ushauri.Kila anaenishaur naona anamsaada mzuri.Changamoto ni wadau kutofautiana msimamo.Wengine wanashaur niongee na mzee huku wengine wakisema nisithubutu.
Mimi pia niko upande wa usithubutu, mie ni mchaga na kikwetu kuingilia mahusiano ya wazee ni laana

Na hiyo kwa akili yangu naona ikikupata aisee kama utajaribu kumvaa mzee maana hutajua reaction yake.

Kwa mfano, aone aibu vile watoto mmejua na ajiue unahisi utapata amani hapa duniani? nakushauri mambo ya wazee wako waachie wenyewe au uwatoe out kama mdau mmoja alivyokupa ushauri. Hiyo ya out itasaidia sana na uhakikishe mzee ana enjoy the outing.

NB: Maombi ni muhimu sana hapa
 
Naelewa ugumu unaopitia ilinikuta ila mama alikua hajajua alianza kujua mdogoangu akamfata yule dada akamuuliza unaniona hii sura manake dogo ni copy ya mdingi .... Afu akaondoka yule demu akamfata Mzee anajua yeye alivojieleza Mzee akastop kulipa ada ya dogo hapo mi Bado nipo chuo mama nae bila kujua akawa anamuunga mkono mdingi kuwa dogo jeuri... Dogo akanishirikisha nililipukwa hasira..... Sijakaa sawa nasikia Mzee kuna kiwanja kauza kimya kimya kumwambia mama naogopa aiii nikamfata rafikiake baba nikamueleza akamtetea mdingi mi sikujali nikaomba tu hati ya nyumba irudi nyumbani nikamsisitiza mama isije ikatoka basi
Bas Kuna mfanano flan kweny kisa chako na huu msala nilionao mkuu
 
mimi pia niko upande wa usithubutu, mie ni mchagga na kikwetu kuingilia mahusiano ya wazee ni laana

na hiyo kwa akili yangu naona ikikupata aisee kama utajaribu kumvaa mzee maana hutajua reaction yake.

Kwa mfano, aone aibu vile watoto mmjua na ajiue unahisi utapata amani hapa duniani? nakushauri mambo ya wazee wako waachie wenyewe au uwatoe out kama mdau mmoja alivyokupa ushauri. Hiyo ya out itasaidia sana na uhakikishe mzee ana enjoy the outing.

NB: Maombi ni muhimu sana hapa
Asante San
 
Gunia la misumari umenyoa dongo halafu umejitwisha
 
Mwite mzee wako uongee naye kwa upole, heshima na upendo, mueleze madhara ya yeye kufanya vile.Ila ukifoka tu umeharibu.
Mambo mengine ni kujipa stress bure. Nyamaza waachie wenye yao watajua namna ya kutatua.
Mtoto unaongelea mahusiano yasiyo rasmi ya mzazi, mimi sijakubaliana.
 
Mambo mengine ni kujipa stress bure. Nyamaza waachie wenye yao watajua namna ya kutatua.
Mtoto unaongelea mahusiano yasiyo rasmi ya mzazi, mimi sijakubaliana.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom