Dawa ni ndogo tu, tafuta hela popote nenda kaule, ukishaula fanya mbinu siku yoyote ile mkutane na mshua live pale pale kwa mchepuko.Wakuu salaam,
Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini wamegoma kuachana kabisa.