Uchaguzi 2020 Ushauri: Ole Sabaya nakuomba Mbowe akikimbilia Moshi Mjini mfuate huko huko

Dah!! Sijajua uelewa wetu wa vitu hapa jamvini. Lakini katika hali halisi mtu ambae vyombo vyote vya ulinzi vina mtii , anaetoa amri ili kumfurahisha aliyemteua uje umshindanishe na Mh. Mbowe ambae ndani ya serikali hii anaishi kama mnyama pamoja na vijana wake ndani ya chama. Tabu na mateso vimekua sehemu ya maisha yao. Kisiasa Mh.Mbowe ni extra miles kwa Sabaya. Ila ndani ya maboksi ya kura bila ya tume huru au waangalizi wa kimataifa sio Sabaya tu..hata wewe uliyeandika hii thread unaweza kushinda if and only if utakua candidate kupitia CCM
 
Nasikia mwaka huu ndio mwisho wake kuwa mbunge, na ametakiwa kuaga rasmi jengo la bunge
 
Sasa kumekuchaaaa jogoo limekwiisha wika Haiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Yule pale yule pale mnamuonaaaaaaa Kada wa CCM Apewe kura za ndioooooooo

Mwambieni Sabaya anipeleke Studio sisi tlkwenye kampeni ni burudanii tu maana tumeshashinnda
 
Ebu wajaribu tu kuacha kutumia police kwenye huu uchaguzi kama watafanikiwa kupata jimbo hata moja watapata.
Alafu yule demu wa sabaya aliepigwa simu na wahuni pale kabesta idi kashaipata
Endelea tu kuandika ugoro humu jf ,Lakini Mbowe awamu hii lazima amwagwe kamasi pale hai
 
Mtafutieni kazi nyingine Mbowe ,Ole Sabaya kashammwaga kamasi kule hai
 
 
Sabaya sio level ya Mbowe fanyeni masihara tu. Nje ya maamlaka ya dola Sabaya is no body.
Yaani Kwa kazi zilizofanywa na zinazoendelea kufanywa awamu hii lazima pingapinga fc wakimbie
 
Yaani siasa za Bongo bwana, unakuta huyu anayeamka anantukana mbowe hata chai ya 500 hajanywa, kwanini mnashindwa siasa za kistaarabu?
Hvi ulishawahi kujiuliza hvi vyama vya siasa visigekuwepo ungeishije? Kueni na heshima .
Hajatukanwa Bali anakumbushwa kurudia kazi ya udj mapema kule hai kuna Ole Sabaya atamtoa damu akileta utani
 
Mbowe alifanya mikutano akashushwa jukwaani kwa kupopolewa na wananchi ,sasa Ole Sabaya kumzuia ni kumwokoa asijeakauliwa na wananchi waliochoka ubwatukaji wake
 
Mtafutieni kazi nyingine Mbowe ,Ole Sabaya kashammwaga kamasi kule hai
Mbowe kuacha ubunge yeye ni mfanyabiashara za kiuporaji. Atachokosa ni zile laki tanotano za wabunge wa kuchaguliwa na 1.5 million million za wabunge wanawake aka viti maalumu kila mwezi. Pia bado analipwa million 50 kila mwezi za riba alizokopesha chadema. Hafi njaa hata akikosa ubunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gubu LA mke mwenza linawasumbua.
 
Mwanaume smart akamilishwi kwa kubebwa polisi Bali kwa nguvu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…