Matanzia kizebazeba
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 654
- 630
piga kelele kwa Sabaya akeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea tu kuandika ugoro humu jf ,Lakini Mbowe awamu hii lazima amwagwe kamasi pale hai
Mjinga unampuuza kwani Nani asiyejua dogo anatafuta sifa kupitia Mbowe?Kiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Kwenye siasa pamoja na uwezo mkubwa wa kujenga hoja pia ubabe, utemi na kuoneshana uanaume ni jambo la muhimu.
Katika jimbo la Hai DC Ole Sabaya amemuonesha mbunge wa jimbo hilo aina fulani ya siasa ambazo Mbowe hajawahi kuziona kabla.
Mbowe baada ya kukaa na kamati kuu ya chama hicho wameshauriana ni aibu kwa Mwenyekiti wa chama kilichokuwa kikuu cha upinzani kuangushwa na mtoto mdogo Ole Sabaya kwenye uchaguzi.
Kamati kuu ya chama hicho imemuomba Mbowe aende kugombea Moshi Mjini ile hata akiangukia pua awe amepigwa na mtu mzima mwenzake kuliko kupigwa na mtoto mdogo Ole Sabaya.
Maombi: Ole Sabaya naomba akikimbilia Moshi mjini, mfuate hukohuko ukamchape fimbo.
Hawajui tu watu wakule vile huyo sabaya amepeekwa kinguvu ingekuwa option angeshatolewa siku nyingi, hata hizo sarakasi zake no one cares watu wako busy na maisha kuliko siasa za upuuzi. Kule utamdaganya Nani. Hai mtu yoyote ukizingua utanyooshwa tuYaani na akili zenu mnafikiri wachaga wa Hai wapigie kura mmasai!!! Inawezekana nyie mnakaa pwani na hamfahamu vizuri kaskazini[emoji23][emoji23]
Kiboko ya Magufuli ni nani ?Kila mwana siasa ana kiboko yake.
SABAYA bila polisi anapata kura 1 mbele ya Mbowe I mean ya kwakeKwenye siasa pamoja na uwezo mkubwa wa kujenga hoja pia ubabe, utemi na kuoneshana uanaume ni jambo la muhimu.
Katika jimbo la Hai DC Ole Sabaya amemuonesha mbunge wa jimbo hilo aina fulani ya siasa ambazo Mbowe hajawahi kuziona kabla.
Mbowe baada ya kukaa na kamati kuu ya chama hicho wameshauriana ni aibu kwa Mwenyekiti wa chama kilichokuwa kikuu cha upinzani kuangushwa na mtoto mdogo Ole Sabaya kwenye uchaguzi.
Kamati kuu ya chama hicho imemuomba Mbowe aende kugombea Moshi Mjini ile hata akiangukia pua awe amepigwa na mtu mzima mwenzake kuliko kupigwa na mtoto mdogo Ole Sabaya.
Maombi: Ole Sabaya naomba akikimbilia Moshi mjini, mfuate hukohuko ukamchape fimbo.
Ni ngumu sana kumlinganisha Kiongozi na Mtawala. MBOWE ni Kiongozi, Sabaya ni Mtawala. Sisi kama wananchi tunahitaji Uongozi na Viongozi. Watawala aina ya Sabaya, ni ngumu kupita kwenye sanduku kihalali dhidi ya Kiongozi mwenye haiba ya aina ya Mbowe. Labda Sabaya apite kwa sabuni ya bafuni=Goli la Mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe amekula spana anataka kukimbia Ila anaona aibuOle Sabaya anahitaji watu wababe Kama yeye. Mfano Mh Lema au Heche. Wengine atawapiga spana Sana.
Mbowe kashakula za chembe kwaiyo mkae kwa kutuliaHuyo mumasai akagombee kwao msimudaganye kwa Hai bana, Nani anataka mbunge mhuni
Hapo Cha chembe hapo no free and fair competition in democracy so hyo haishangaziMbowe kashakula za chembe kwaiyo mkae kwa kutulia
Kwa hiyo Sasa hv lowassa karudi ccm na wewe ccm pindi kile chadema kwenye id nyingine upo chadema kweli kiboko lkn mjanja business womanKiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Subiri kwanza Mbungo amalize ucunguzi wake.Ni ngumu sana kumlinganisha Kiongozi na Mtawala. MBOWE ni Kiongozi, Sabaya ni Mtawala. Sisi kama wananchi tunahitaji Uongozi na Viongozi. Watawala aina ya Sabaya, ni ngumu kupita kwenye sanduku kihalali dhidi ya Kiongozi mwenye haiba ya aina ya Mbowe. Labda Sabaya apite kwa sabuni ya bafuni=Goli la Mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app