Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Msisahau kwenda kumtembelea ole sabaya huko gerezani.Kiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Siasa za kihuni za magu zimemtokeA puani. Wakati mwenzie anaozea kaburini yeye anaozea gerezani sasa. Chuki zina faida gani?Heshima kwa ole sabaya, amezima siasa za kihuni za Mbowe
Vyama vya siasa ni uhuni tu, kuanzia hiyo CCM, wapinzani wote ni magenge ya wahuni waliojificha kwenye mwamvuli wa kupigania maslahi ya wengi wakati ni kinyume chake.
F to all politicians, dem are di real Babylonians…
Jiulize ni watanzania wangapi wapo magereza na hakuna mwenye habari nao, haijalishi wameingiaje huko, akishikwa Sugu au Mbowe kwa kosa lile lile au dogo zaidi ya lile utasikia kelele nchi nzima, means kwamba wanajua wamejificha kwenye kakichaka flani ka kuwapambania wakati wowote hata wakizingua, mind u nao ni binadamu tu kama sisi hawana u special wowote….Hoja yako ni ipi?
Uhuni wa wapinzani unatoka wapi na kivipi
Hebu fafanua
We nyau njoo huku urudie upupu wakoKiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Mmemdanganya mjinga mwenzenu, kaona Mbowe kaenda mahabusu yeye akamfuata gerezani...Kwenye siasa pamoja na uwezo mkubwa wa kujenga hoja pia ubabe, utemi na kuoneshana uanaume ni jambo la muhimu.
Katika jimbo la Hai DC Ole Sabaya amemuonesha mbunge wa jimbo hilo aina fulani ya siasa ambazo Mbowe hajawahi kuziona kabla.
Mbowe baada ya kukaa na kamati kuu ya chama hicho wameshauriana ni aibu kwa Mwenyekiti wa chama kilichokuwa kikuu cha upinzani kuangushwa na mtoto mdogo Ole Sabaya kwenye uchaguzi.
Kamati kuu ya chama hicho imemuomba Mbowe aende kugombea Moshi Mjini ile hata akiangukia pua awe amepigwa na mtu mzima mwenzake kuliko kupigwa na mtoto mdogo Ole Sabaya.
Maombi: Ole Sabaya naomba akikimbilia Moshi mjini, mfuate hukohuko ukamchape fimbo.
Uko wapi my dear,kitu kinanyea debe kwa miaka selasiniKiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Wacha wee. Kwa hiyo ndito ndiyo umeona hivyo?Kiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Basi sawaKwenye siasa pamoja na uwezo mkubwa wa kujenga hoja pia ubabe, utemi na kuoneshana uanaume ni jambo la muhimu.
Katika jimbo la Hai DC Ole Sabaya amemuonesha mbunge wa jimbo hilo aina fulani ya siasa ambazo Mbowe hajawahi kuziona kabla.
Mbowe baada ya kukaa na kamati kuu ya chama hicho wameshauriana ni aibu kwa Mwenyekiti wa chama kilichokuwa kikuu cha upinzani kuangushwa na mtoto mdogo Ole Sabaya kwenye uchaguzi.
Kamati kuu ya chama hicho imemuomba Mbowe aende kugombea Moshi Mjini ile hata akiangukia pua awe amepigwa na mtu mzima mwenzake kuliko kupigwa na mtoto mdogo Ole Sabaya.
Maombi: Ole Sabaya naomba akikimbilia Moshi mjini, mfuate hukohuko ukamchape fimbo
Mwisho wa dunia kabisaNyuzi za hivi ndo zilikuwa zinampa kichwa, ona sasa. Mpaka arudi atakuta tuko mwishoni mwa awamu ya nane au mwanzoni mwa awamu ya tisa.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Dah mkuu utabiri wako umetimiaHayo mapambio na matarumbeta mnayo piga hayaana ala za muziki zinazo weza kuchezeka, kwasababu kama kweli sabaya Anaweza kupambana na mbowe mbona miaka yote minne amekuwa akizuia mikatano ya mbowe jimboni ? Haitiwasaidia saana wengine jela znawasubiri Mara baadae ya utawala huu kufika mwisho wake , tusubiri tu hamtaamini
Sabaya jela kwa mauaji mliomtuma.Kiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Kaenda jela peke yake kwa mauaji mliomtuma na kumshabikia.Ole Sabaya atumie kanuni ya ulipotupo.Unamfata adui nyoka alipo unasaga kichwa.
Mkajaza upepo Sabaya leo analia mmemuacha peke yake. wakati mlimliotuma kuua watu wa Hai mpo.Mbowe hivi sasa yupo kama paka mfua vyungu kila aendako fimbo tu!
MaCCM nyie mnastahili kupigwa moto mkiwa hai. Sabaya anasema mmemtuma kuua .Heshima kwa ole sabaya, amezima siasa za kihuni za Mbowe
Kama mlivyomuacha Mbowe!Sabaya jela kwa mauaji mliomtuma.
Kaenda jela peke yake kwa mauaji mliomtuma na kumshabikia.
Mkajaza upepo Sabaya leo analia mmemuacha peke yake. wakati mlimliotuma kuua watu wa Hai mpo.
MaCCM nyie mnastahili kupigwa moto mkiwa hai. Sabaya anasema mmemtuma kuua .