Uchaguzi 2020 Ushauri: Ole Sabaya nakuomba Mbowe akikimbilia Moshi Mjini mfuate huko huko

Vyama vya siasa ni uhuni tu, kuanzia hiyo CCM, wapinzani wote ni magenge ya wahuni waliojificha kwenye mwamvuli wa kupigania maslahi ya wengi wakati ni kinyume chake.

F to all politicians, dem are di real Babylonians…
 
Vyama vya siasa ni uhuni tu, kuanzia hiyo CCM, wapinzani wote ni magenge ya wahuni waliojificha kwenye mwamvuli wa kupigania maslahi ya wengi wakati ni kinyume chake.

F to all politicians, dem are di real Babylonians…

Hoja yako ni ipi?

Uhuni wa wapinzani unatoka wapi na kivipi

Hebu fafanua
 
Hoja yako ni ipi?

Uhuni wa wapinzani unatoka wapi na kivipi

Hebu fafanua
Jiulize ni watanzania wangapi wapo magereza na hakuna mwenye habari nao, haijalishi wameingiaje huko, akishikwa Sugu au Mbowe kwa kosa lile lile au dogo zaidi ya lile utasikia kelele nchi nzima, means kwamba wanajua wamejificha kwenye kakichaka flani ka kuwapambania wakati wowote hata wakizingua, mind u nao ni binadamu tu kama sisi hawana u special wowote….

Siasa za Africa ni vichaka vya watu kupiga madili yao makubwa makubwa nyuma ya pazia.
 
Mmemdanganya mjinga mwenzenu, kaona Mbowe kaenda mahabusu yeye akamfuata gerezani...

Majinga kabisa maSukuma Gang
 
Basi sawa
 
Dah mkuu utabiri wako umetimia
 
Kiboko ya Mbowe ni Ole Sabaya. Anamuogopa kama nn sijui. Ha ha ha haaaaa kwioooo
Sabaya jela kwa mauaji mliomtuma.
Ole Sabaya atumie kanuni ya ulipotupo.Unamfata adui nyoka alipo unasaga kichwa.
Kaenda jela peke yake kwa mauaji mliomtuma na kumshabikia.
Mbowe hivi sasa yupo kama paka mfua vyungu kila aendako fimbo tu!
Mkajaza upepo Sabaya leo analia mmemuacha peke yake. wakati mlimliotuma kuua watu wa Hai mpo.
Heshima kwa ole sabaya, amezima siasa za kihuni za Mbowe
MaCCM nyie mnastahili kupigwa moto mkiwa hai. Sabaya anasema mmemtuma kuua .
 
Mbowe mwenyezi Mungu akubariki sana kwa siasa safi zilizo tukuka.
Free Mbowe sio Gaidi.
MAGAIDI ni MaCCM
 
Kama mlivyomuacha Mbowe!
 
Sabaya atakua tena uraiani mwaka 13-10-2040 kama hatakatwa siku huko gerezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…