Charlez kanumba
Senior Member
- Nov 2, 2024
- 187
- 501
Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.
*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.
*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.
*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.
_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.
*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.
*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.
_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏