cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwahiyo km mlisoma wote tangu pri na o level ndo rafiki yako?Nasema ni rafiki yangu sana means long time yani tangu primary & O level,
Unajidanganya wee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo km mlisoma wote tangu pri na o level ndo rafiki yako?Nasema ni rafiki yangu sana means long time yani tangu primary & O level,
Acha kujipendekeza, au ndo tegemezi lako? LolNikisema nimfuate direct nimwambie lazima tutakuwa maadui na mm sitaki tuwe maadui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHuyo ni shosti yako au shoga yako
Huu urafiki umevuka border.Tuko na wewe hadi akuue!
JF watu mmekuwa wakali… Mpeni support mwenzenu anampenda rafiki yake [emoji28]
Maisha yennyewe ni uadui, halafu wewe hutaki uadui.Nikisema nimfuate direct nimwambie lazima tutakuwa maadui na mm sitaki tuwe maadui.
Wewe kweli ni mwalimu wa Mamenkwa wote duniani, yaani pamoja na vituko vyote hivi anavyokufanyia huyu menkwa bado unamuweka kwenye kundi la rafiki?Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.
*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.
*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.
*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.
_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
KabisaHuu urafiki umevuka border.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]