Ushauri: Rafiki yangu ni msaliti na mnafiki nimfanyeje?

Ushauri: Rafiki yangu ni msaliti na mnafiki nimfanyeje?

Andika hapo rafiki yake ni mnafiki
FB_IMG_17319498882114277.jpg
 
Basi endelea nae,mpaka siku atakayo kushika tako ndio akili zitakukaa sawa.
Mada nyingine za kingese tuu, mtu anakufanyia yote hayo bado unamuita rafiki? bad enough unatuomba ushauri ufanye nini, SERIOUSLY?? Kama ni basha wako ndio anakuweka mjini Sema acha kuzunguka u idiot.

Hamna mkuu ni aina tu ya marafiki ambao tunakutana nao katika maisha ya kila siku
 
Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.

*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.

*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.

*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.

_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
Nilitaka nikupe ushauri. Lakini kwakuwa umesema NI RAFIKI YAKO SANA acha aendelee kukunyoosha kwasababu hakuna RAFIKI achilia RAFIKI SANA anayeweza kuwa hivyo
 
Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.

*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.

*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.

*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.

_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
Achana naye...! Simple and clear!
 
Sawa mkuu labda ww hujawahi Kutana na marafiki wa namna hii kwa hii dunia, yani huyu ni rafiki ambaye nikisema nimchane kuhusu hii tabia lazima igeuke vita balaa
Bara vita vinavyoeleweka kuliko vita vya chini chini vinavyokuumiza wewe. Usichokijua ni kwamba huyo jamaa anakupiga vita na wewe umetulia tu. Bora mpigane wote uone kitu gani kitatokea.
 
Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.

*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.

*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.

*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.

_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
Una uhakika RAFIKI yako no mwanaume kweli🤔
 
Back
Top Bottom