Ushauri: Rafiki yangu ni msaliti na mnafiki nimfanyeje?

Ushauri: Rafiki yangu ni msaliti na mnafiki nimfanyeje?

Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.

*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.

*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.

*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.

_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
siyo rafiki yako, rafiki kamwe hawezi kufanya unayoyaongelea
 
Acha utoto dogo, rafiki yako ni tumbo lako tu acha uzwazwa pumbav!

Ukiendelea kukaa kimlendamlenda utaumia dogo kaza!!

Man up gadembich!!!
 
JF watu mmekuwa wakali… Mpeni support mwenzenu anampenda rafiki yake 😅
[/QUOTE]
Rafiki anakutafutia watu wakupige. Wewe ndio utakuwa unamng'ang'ania na yeye hakutaki. Itakuwa mambo ya upinde

Upinde wa nini tena mkuu huyo ni msela wangu tu ambaye nilisoma nae ila ana mambo ya kike, yani ile kunigombanisha na masela, kutembea na maex wangu, kunigombanisha na maboss ili kibarua kiote nyasi
 
Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.

*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.

*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.

*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.

_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
Wewe ni kiazi hakuna rafiki hapo. We ni mpumbavu. Jikatae
 
Mbona kama wewe ndio una lazimisha urafiki na una mwogopa
Kwani unashindwa kumkabili na kumwambia huo ni uwaki
Pathetic
Wewe ni dhaifu sana
 
Mbona kama wewe ndio una lazimisha urafiki na una mwogopa
Kwani unashindwa kumkabili na kumwambia huo ni uwaki
Pathetic
Wewe ni dhaifu sana

Sio dhaifu mkuu yaani huyo jamaa nikisema nimchane ukweli atahakikisha anafanya na masela wengine wote wanione mimi mbaya, yaani ni kama ana kipaji cha kumfanyia mtu fitina, So nikimchana pia nihakikishe natafuta new cycle of friends, yani mkuu kuna mapepo yanaishi duniani mmoja wapo ni huyo msela wang
 
Sio dhaifu mkuu yaani huyo jamaa nikisema nimchane ukweli atahakikisha anafanya na masela wengine wote wanione mimi mbaya, yaani ni kama ana kipaji cha kumfanyia mtu fitina, So nikimchana pia nihakikishe natafuta new cycle of friends, yani mkuu kuna mapepo yanaishi duniani mmoja wapo ni huyo msela wang
Kauli zako zinaonyesha una umama ndani yako
 
Sio dhaifu mkuu yaani huyo jamaa nikisema nimchane ukweli atahakikisha anafanya na masela wengine wote wanione mimi mbaya, yaani ni kama ana kipaji cha kumfanyia mtu fitina, So nikimchana pia nihakikishe natafuta new cycle of friends, yani mkuu kuna mapepo yanaishi duniani mmoja wapo ni huyo msela wang
Kwahiyo wakisema we mbaya na wewe sio mbaya inakusumbua nini
Unatafuta validation kutoka kwa watu kuhusu maisha yako?!
Ndio maana nasema wewe ni dhaifu sana
 
_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏
Sasa ushauriwe nini mkuu?
Kwamba wewe huna akili kabisa??
Yaani shingo yako imebeba kichwa kisicho na ubongo?
Yaani ni maji matupu?
Yaan wazazi wako wamepata hasara kukuzaa??
Bora wangefuga umbwa?
😳😳😳
 
Sasa ushauriwe nini mkuu?
Kwamba wewe huna akili kabisa??
Yaani shingo yako imebeba kichwa kisicho na ubongo?
Yaani ni maji matupu?
Yaan wazazi wako wamepata hasara kukuzaa??
Bora wangefuga umbwa?
😳😳😳

Kwahiyo wewe hujawahi kuomba ushauri, hebu tumia hekima na busara pia jifunze kutafakari kabla ya kutenda, soma thread elewa nilicho kiandika Kama huwezi kutoa ushauri kaa kimya, sio lazima uchangie mkuu
 
Back
Top Bottom