The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Basi endelea nae,mpaka siku atakayo kushika tako ndio akili zitakukaa sawa.Sawa mkuu labda ww hujawahi Kutana na marafiki wa namna hii kwa hii dunia, yani huyu ni rafiki ambaye nikisema nimchane kuhusu hii tabia lazima igeuke vita balaa
Wewe ni zuzu kiwango cha changalawe
Basi endelea nae,mpaka siku atakayo kushika tako ndio akili zitakukaa sawa.
Mada nyingine za kingese tuu, mtu anakufanyia yote hayo bado unamuita rafiki? bad enough unatuomba ushauri ufanye nini, SERIOUSLY?? Kama ni basha wako ndio anakuweka mjini Sema acha kuzunguka u idiot.
Unakumbatia bomu ambalo linaenda kukulipukia mda si mrefu, so ni maamuzi yako kuliachia au kuendelea kulikumbatia, BTW Unaelewa maana ya rafiki?Hamna mkuu ni aina tu ya marafiki ambao tunakutana nao katika maisha ya kila siku
Nilitaka nikupe ushauri. Lakini kwakuwa umesema NI RAFIKI YAKO SANA acha aendelee kukunyoosha kwasababu hakuna RAFIKI achilia RAFIKI SANA anayeweza kuwa hivyoNisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.
*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.
*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.
*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.
_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
Achana naye...! Simple and clear!Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.
*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.
*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.
*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.
_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
Mkuu, usiwaze hivi. Majuzi nimenusurika kuchomwa kisu na mtu. Ashukuriwe Mungu tulitoka salama. Otherwise mngeona account iko dormantMteme huyo
Ila duniani kuna watu
Ingekuwa inaruhusiwa ningekushauri umchome kisu kabisa
Awe adui toleo la ngapi. Huyo tayari ni adui mkubwa sana ila kutokujielewa kwako ndio kunafanya umwone rafiki.Nikisema nimfuate direct nimwambie lazima tutakuwa maadui na mm sitaki tuwe maadui.
Bara vita vinavyoeleweka kuliko vita vya chini chini vinavyokuumiza wewe. Usichokijua ni kwamba huyo jamaa anakupiga vita na wewe umetulia tu. Bora mpigane wote uone kitu gani kitatokea.Sawa mkuu labda ww hujawahi Kutana na marafiki wa namna hii kwa hii dunia, yani huyu ni rafiki ambaye nikisema nimchane kuhusu hii tabia lazima igeuke vita balaa
Wanatoa elimu kwa watu vichwa maji mithili yako.Hapana mkuu marafiki wa hivi wapo hata makazini na ndio maana motivational speakers Kama akina Joel nanauka wanatoa elimu kuhusu marafiki
Wewe ni mjinga, kuna siku ujinga utaisha lknNikisema nimfuate direct nimwambie lazima tutakuwa maadui na mm sitaki tuwe maadui.
Una uhakika RAFIKI yako no mwanaume kweli🤔Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi.
*Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa.
*Anamponda na kumkosoa kila mwanamke nitakae kuwa nae katika mahusiano ila nikiachana na huyo mwanamke yeye anaanzisha nae mahusiano.
*Hapendi kunitafuta, ila akisikia kuwa nimepewa mchongo wa pesa na mtu, atahakikisha anamjua huyo mtu then ataanza kunigombanisha nae kwa kumwambia maneno mabaya kuhusu mimi.
_Ni rafiki yangu sana huyu msela na hayo matimbwili yake najitahidi sana kuyakwepa ila sasa nimeshindwa, nahitaji ushauri wenu wadau.🙏🙏
_Ni rafiki yangu sana huyu msela