Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wewe na Gazeti la uhuru nani anajua zaidi ?Kapumzike ww shida ni zako ww unazani kuna serikali itakayo kuletea chakula nyumbani kwa ko twende na sami hadi 2030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na Gazeti la uhuru nani anajua zaidi ?Kapumzike ww shida ni zako ww unazani kuna serikali itakayo kuletea chakula nyumbani kwa ko twende na sami hadi 2030
Mkuu technically iko hivi;
1. Ni kweli mama ni kiongozi muadilifu sana na mpenda haki. Aidha, ni mara chache sana kusikia kiongozi toka zbar asiye mwadilifu...
Kazi ya kiongozi mkubwa kama Rais sio kuchukua hatua kwa mtu mmoja mmoja ispokuwa kwa wateule wake tu wa moja kwa moja...
Yaan apumzike halafu atoke wa imani hileee,ambayo wakiongoza wao nchi mambo yanakuwa magumu zaidi, ns matukio ya hovyo yanashika kasi.Kwa mtazamo wangu binafsi napendekeza Rais wetu Mama Samia apumzike mwaka 2025 Kama analo wazo la kuendelea kutuongoza...
Watu siyo wa ovyo ila mfumo ndo unajenga watu wa ovyo. Laiti mfumo ungekuwa wa imara basi kila mmoja angewajibika kwa nafasi yake, mhimili mmoja ukienda kinyume na matarajio ya mhimili mwingine basi unastahili kuwajibika kwa mhimili fulani unaojiona ndo mambo yote.Kazi ya kiongozi mkubwa kama Rais sio kuchukua hatua kwa mtu mmoja mmoja ispokuwa kwa wateule wake tu wa moja kwa moja...
Kuhusu suala la mafuta; solution ya kudumu ya suala hili ni kuhamia kwenye nishati mbadala. Kwa mfano magari madogo ya umeme na hivyo kupunguza uhitaji wa nishati ya mafuta. Vinginevyo mwenendo wa bei za mafuta huathiriwa zaidi na sababu za nje kuliko za ndani.Sheria zinawabana sana wanaokosoa matendo ya serikali kama aliyetumbuliwa juzi tu kisa kuongelea tozo...
Halafu aje nani ndio mtamkubali majinga nyie??! Nyie kila rais kwenu hafai, dawa mkamuliwe tozo hadi akili ziwakae sawa,Mama hana ujasiri wa kuchukua hatua kwa wezi na wazembe, tunamshukuru kwa miaka yake aliyotufusha 2025 apumzike tu
Watu siyo wa ovyo ila mfumo ndo unajenga watu wa ovyo. Laiti mfumo ungekuwa wa imara basi kila mmoja angewajibika kwa nafasi yake, mhimili mmoja ukienda kinyume na matarajio ya mhimili mwingine basi unastahili kuwajibika kwa mhimili fulani unaojiona ndo mambo yote. In short kuna watendaji vivuli ambao maamzi yao yanalengo kumfurahisha mwingine. Assad aliuita ni dhaifu na ndo tulitarajia uwe connected kwa kuelezea matatizo ya wananchi na kuiwajibisha serikali.
Kalia imani tu utafikiri zinakulisha wala kukuletea maendeleo. Utakuwa hujielewi wewe unayehusisha imani kwenye utawala. Mi leo namkubali sana Dr. Mwinyi wa zanzibar ni mchapakaziYaan apumzike halafu atoke wa imani hileee,ambayo wakiongoza wao nchi mambo yanakuwa magumu zaidi, ns matukio ya hovyo yanashika kasi.
Nyie watanzania hamjulikani mnataka nini, akipatikana kiongozi muungwana bado mnalialia tu, dawa ndio hiyohiyo, mkamuliwe hadi akili ziwakae sawa ,maana hamjielewi kabisa
Majinga sana haya matahila, wao kila Rais hafai hata akiwa mwema kama SamiaKapumzike ww shida ni zako ww unazani kuna serikali itakayo kuletea chakula nyumbani kwa ko twende na sami hadi 2030
Unaruhusiwa kuhamia kiembe samaki ungujaKalia imani tu utafikiri zinakulisha wala kukuletea maendeleo. Utakuwa hujielewi wewe unayehusisha imani kwenye utawala. Mi leo namkubali sana Dr. Mwinyi wa zanzibar ni mchapakazi
Mlamba asali lamba taratibu bahati haiji mara mbili,mama atoboi 2025Halafu aje nani ndio mtamkubali majinga nyie??! Nyie kila rais kwenu hafai, dawa mkamuliwe tozo hadi akili ziwakae sawa,
Bora ya samia kuliko dikteta
Ombi la kura ndugu katika andiko languKapumzike ww shida ni zako ww unazani kuna serikali itakayo kuletea chakula nyumbani kwa ko twende na sami hadi 2030
www.jamiiforums.com
Hakika mawazo kama haya yatazidi kuididimiza Tanzania. Mtu umeshakariri kabisa kuwa kuwa CCM ndiyo wana haki ya kukuletea mtu. Ama! Kwa nini usipiganie haki ya kuchagua kiongozi anayefaa na unakubali kuletewa ''jitu''?baada ya mama ccm watatuletea jitu gani tena lingine!
Watu huweka mfumo na mfumo unakuja kumshepu mtu. Aliyelelewa seminary si sawa na aliyekulia uswahilini.Mfumo ndio hujenga watu, au watu ndio hujenga mfumo? Kipi ni zao la kipi?
Ombi la kura ndugu katika andiko languMlamba asali lamba taratibu bahati haiji mara mbili,mama atoboi 2025
www.jamiiforums.com
Majibu ni yale yale ya akina mwigu kuhamia burundi. Eti useme kuna akili hapa wakati ni TAKAtifu tu.Unaruhusiwa kuhamia kiembe samaki unguja
Itasaidia kiasi fulani lakini sio sana. Jamii yenye wahuni na wasanii wengi hata itokee malaika ashuke na katiba toka mbinguni, haisaidii sana.Katiba Mpya ndio itakuwa muarobaini wa haya yote.