Shida sio Mama Samia, uwezo mdogo wa fikra kwa 90% ya watendaji ndani ya serikali.
President, ni head of state aliyezungungwa na watu ambao wanapaswa kuwa wabobezi katika kila nyanja ili kwa pamoja nyaya zikiungwa ndio unaoana Taifa linaendelea.
Sytema iliyopo inavuta kokoro lenye kila aina ya wapumbavu ambao mwisho wa siku kazi yao nikuhakikisha wanaendelea kuexist karne na karne, ukijaribu kuishi kwa kufuata taratibu za kisomi watu hawa huwezi kuwaweza.
INATAKIWA CHIZI MMOJA AMBAYE HATOJALI WALA KUSIKIA LA MTU KUSAMBARATISHA WAJINGA WOTE KILA MAHALA KWENYE MIFUMO.