Ushauri: Rais Samia apumzike Urais 2025

Ushauri: Rais Samia apumzike Urais 2025

Utakuwa wewe ndo ulipeleka takwimu za kusema watu 7 kati ya 10 wanakubaliana na tozo. Basi jamii nilizopo ztakuwa na tatizo maana ziko kinyume sana na kauli yako. Tena wengine wanadai kuwa, km kwa magu tulisema vyuma vimekaza sijui sa hivi tutumie kauli gani inayoizidi ile.
Watanzania Tupo Tayari kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, Sasa wewe Kama hutaki kutoa Kodi na Tozo unataka Nani akujengee nchi yako, unataka Nani akupe ili wewe utumie huduma utakavyo wewe, unataka watoto wako wakapate wapi huduma ikiwa wewe Kama mzazi hutaki kubeba mzigo utakao leta matunda kwa wanao

Unazani hao wa ulaya waliyapokea maendeleo Kama kuangua tunda mtini, lazima tuwajibike kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, mh Rais wetu ameongoza njia hiyo hatuna budi kumpongeza na kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, tutakuwa tegemezi mpaka lini,tutarishwa mpaka lini, tutahudumiwa mpaka lini, chini ya mama yetu tunataka tuijenge Tanzania Yetu kwa mikono yetu wenyewe
Maisha magumu isipokuwa kwa walamba asali kama wewe
Asali ndio hizi huduma ambazo tumesogezewa karibu yetu na mh Rais wetu mpendwa, juhudi za mh Rais wetu katika kutuinua kiuchumi Ni kubwa Sana na tunapaswa kumuunga mkono Rais wetu, hatupaswi kumkatisha tamaa Bali kumpa faraja maana amejitolea kututumikia watanzania kwa nguvu zake zote
 
Utakuwa wewe ndo ulipeleka takwimu za kusema watu 7 kati ya 10 wanakubaliana na tozo. Basi jamii nilizopo ztakuwa na tatizo maana ziko kinyume sana na kauli yako. Tena wengine wanadai kuwa, km kwa magu tulisema vyuma vimekaza sijui sa hivi tutumie kauli gani inayoizidi ile.
Watanzania Tupo Tayari kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, Sasa wewe Kama hutaki kutoa Kodi na Tozo unataka Nani akujengee nchi yako, unataka Nani akupe ili wewe utumie huduma utakavyo wewe, unataka watoto wako wakapate wapi huduma ikiwa wewe Kama mzazi hutaki kubeba mzigo utakao leta matunda kwa wanao

Unazani hao wa ulaya waliyapokea maendeleo Kama kuangua tunda mtini, lazima tuwajibike kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, mh Rais wetu ameongoza njia hiyo hatuna budi kumpongeza na kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, tutakuwa tegemezi mpaka lini,tutarishwa mpaka lini, tutahudumiwa mpaka lini, chini ya mama yetu tunataka tuijenge Tanzania Yetu kwa mikono yetu wenyewe
Maisha magumu isipokuwa kwa walamba asali kama wewe
Asali ndio hizi huduma ambazo tumesogezewa karibu yetu na mh Rais wetu mpendwa, juhudi za mh Rais wetu katika kutuinua kiuchumi Ni kubwa Sana na tunapaswa kumuunga mkono Rais wetu, hatupaswi kumkatisha tamaa Bali kumpa faraja maana amejitolea kututumikia watanzania kwa nguvu zake zote
 
Atakuwa too late. 2023 hyo hapo, wananchi michosho sana siku hz, usilolijua ni sawa na usku wa giza. Kila ovu lina mwisho wake, rafu zilizofanikiwa zote usidhani kila mwaka wa uchaguzi ztafanikiwa. Yajayo yatahuzunisha
Hizi hadithi mlianza kuongea toka Machi mwaka 2021..

Saizi mumesogeza mbele hadi lini niweke Kumbukumbu sawa?

Kama nyie ni wanaume fanyeni mikutano ya Hadhara tuwaone..

Tumetoa mfano mdogo kwa yule aliyejifanya kupinga tozo, serikali ikitoa msimamo wiki ijayo tutaanza kunyooka na wote.
 
Mfumo ndio hujenga watu, au watu ndio hujenga mfumo? Kipi ni zao la kipi?

Unapokuwa na katiba inayomfamya rais kuwa mungu mtu, ni wazi yeye ndio anajenga mifumo na ushahidi wa hilo upo. Hebu niambie ni sheria gani inapitishwa na wananchi na sio na viongozi? Tuliona maoni ya wananchi yaliyokusanywa na tume ya Jaji Warioba yakikataliwa na wajumbe wa bunge la katiba. Mfano muda wa mbunge mwisho kuwa miaka 10, au mbunge akishindwa kufanya kutokana na matarajio atolewe. Huu ni mfano mmoja.

Mahali pengine ninapokataa kuwa wananchi ndio wanatengeneza mifumo na sio viongozi hasa rais, tazama mifumo ya nchi yetu ilivyokuwa chini wa marais wetu watano waliopita. Mifumo mingi na maamuzi yalifanyika kutokana na utashi wa marais wa wakati huo. Hiyo kwamba wananchi ndio wanatengeneza mifumo ondoa kabisa.
 
Siyo ombi. Ni lazima. Naona ana jenga Ikulu Zanzibar ya Muungano sijui ina Rais wake!!
 
Yajayo yanatabilika maana mh Rais wetu mpendwa anakwenda kuzoa kura Zote kwa kuwa amefanya kazi ya kutukuka iliyokonga nyoyo za watanzania kutokanaa na utendaji kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watu hasa wanyonge wasio na sauti
Atakuwa too late. 2023 hyo hapo, wananchi michosho sana siku hz, usilolijua ni sawa na usku wa giza. Kila ovu lina mwisho wake, rafu zilizofanikiwa zote usidhani kila mwaka wa uchaguzi ztafanikiwa. Yajayo yatahuzunisha
 
Watanzania Tupo Tayari kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, Sasa wewe Kama hutaki kutoa Kodi na Tozo unataka Nani akujengee nchi yako, unataka Nani akupe ili wewe utumie huduma utakavyo wewe, unataka watoto wako wakapate wapi huduma ikiwa wewe Kama mzazi hutaki kubeba mzigo utakao leta matunda kwa wanao

Unazani hao wa ulaya waliyapokea maendeleo Kama kuangua tunda mtini, lazima tuwajibike kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, mh Rais wetu ameongoza njia hiyo hatuna budi kumpongeza na kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, tutakuwa tegemezi mpaka lini,tutarishwa mpaka lini, tutahudumiwa mpaka lini, chini ya mama yetu tunataka tuijenge Tanzania Yetu kwa mikono yetu wenyewe

Asali ndio hizi huduma ambazo tumesogezewa karibu yetu na mh Rais wetu mpendwa, juhudi za mh Rais wetu katika kutuinua kiuchumi Ni kubwa Sana na tunapaswa kumuunga mkono Rais wetu, hatupaswi kumkatisha tamaa Bali kumpa faraja maana amejitolea kututumikia watanzania kwa nguvu zake zote
Sababu ni zilezile za mwendazake. Tuliibiwa sana, tunatumia fedha zetu za ndani n.k ukiletewa zahanati kijijini kwako unaona tozo zinafanya kazi ila hujui za madini, gesi, utalii zinafanya nini. Endelea kudanganyika kwa kukamliwa wakitumia mwamvuli wa maendeleo huku wao wakiwaza kujiongezea posho n.k
 
Jamii yenye wahuni na wasanii wengi ndio inayohitaji katiba, taasisi na mifumo imara zaidi.
Itasaidia kiasi fulani lakini sio sana. Jamii yenye wahuni na wasanii wengi hata itokee malaika ashuke na katiba toka mbinguni, haisaidii sana.

Kinachiweza kusaidia sana (pamoja au bila katiba mpya) ni jamii kuamua kustaarabika. Ustaarabu hujenga imani, imani huleta kuaminiana, kuaminiana huleta maendeleo ya kweli.

Wewe ukifungua tu MPesa, ukaweka mtu, uwezekano wa huyo mtu kukuibia na kutoroka in most cases ni zaidi ya 80℅ sasa hapo Rais au katiba vifanyeje kwa mfano? Au watu wataendelea kukosa ajira tu!
 
Uko sahihi kabisa mkuu.
Sasa tayari tuna Rais Mzuri (kwa kuanzia), suala la katiba liko kwenye pipeline (rejea hotuba yake na taarifa ya CCM miezi michache iliyopita) na sasa ndio maana tunasema pamoja na hayo tufanye initiatives mbalimbali kubadili mitizamo ya kijamii ambayo nayo ni tatizo kubwa.

Sasa mleta kama yeye anataka Rais aondoke tena, wakati tushakubaliana ndio hatua ya kwanza ya kuanzia.
Hili la katiba ndugu yangu siyo suala la kuvuta miguu. Infact kama ni rais mzuri kama unavyodai, basi malalamiko mengi yalipo sasa juu yake ni kwa sababu ya mfumo wetu tulionao wa kumtegemea kufanya kila kitu. Ni vigumu sana kuacha kumgusa rais hata kwa mambo ambayo hajakupaswa kwa sababu ya katiba. Mimi nilidhani ni busara zaidi kama angekuwa ameshanzisha michakato ya kufumua mfumo ili tukifika 2025 tuingie kwenye zama mpya. Hili la ngoja ngoja ndilo linazidi kumharibia na kuharibu nchi.
 
Sababu ni zilezile za mwendazake. Tuliibiwa sana, tunatumia fedha zetu za ndani n.k ukiletewa zahanati kijijini kwako unaona tozo zinafanya kazi ila hujui za madini, gesi, utalii zinafanya nini. Endelea kudanganyika kwa kukamliwa wakitumia mwamvuli wa maendeleo huku wao wakiwaza kujiongezea posho n.k
Kila sent inayopatikana chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa ipo katika mikono salama, Na inakwenda kufanya kazi za kimaendeleo zinazogusa maisha ya watanzania na kupunguza kero kwa mwananchi mnyonge
 
Hizi hadithi mlianza kuongea toka Machi mwaka 2021..

Saizi mumesogeza mbele hadi lini niweke Kumbukumbu sawa?

Kama nyie ni wanaume fanyeni mikutano ya Hadhara tuwaone..

Tumetoa mfano mdogo kwa yule aliyejifanya kupinga tozo, serikali ikitoa msimamo wiki ijayo tutaanza kunyooka na wote.
Huyo huyo kwa kuwa watanzania wameona ameomewa basi amepunguza idadi ya kura kwa waliomtolea mfano
 
Watanzania Tupo Tayari kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, Sasa wewe Kama hutaki kutoa Kodi na Tozo unataka Nani akujengee nchi yako, unataka Nani akupe ili wewe utumie huduma utakavyo wewe, unataka watoto wako wakapate wapi huduma ikiwa wewe Kama mzazi hutaki kubeba mzigo utakao leta matunda kwa wanao

Unazani hao wa ulaya waliyapokea maendeleo Kama kuangua tunda mtini, lazima tuwajibike kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe, mh Rais wetu ameongoza njia hiyo hatuna budi kumpongeza na kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, tutakuwa tegemezi mpaka lini,tutarishwa mpaka lini, tutahudumiwa mpaka lini, chini ya mama yetu tunataka tuijenge Tanzania Yetu kwa mikono yetu wenyewe

Asali ndio hizi huduma ambazo tumesogezewa karibu yetu na mh Rais wetu mpendwa, juhudi za mh Rais wetu katika kutuinua kiuchumi Ni kubwa Sana na tunapaswa kumuunga mkono Rais wetu, hatupaswi kumkatisha tamaa Bali kumpa faraja maana amejitolea kututumikia watanzania kwa nguvu zake zote
Kutegemea kodi na tozo kwa kukamua wananchi masikini ambao awazalishi huoni hapo shida ni uongozi kukosa ubunifu.Mbona mkoloni hakutegemea kodi wala tozo kuendeshea nchi na alituletea maendeleo makubwa Sana nchini.
 
Nadhani tusingekuwa na viongozi wanaosimama na kujibu. Kijana ambaye hajapata mkopo labda ni raia wa kenya ama asiyetaka tozo ahamie burundi. OVYO kabisa, tunahangaika na vijana wanaoona bora wasifie tu ilimradi waonekane wapate teuzi kuendeleza mfumo wa kijinga.

Mimi imefikia mahali kabisa nasema wazi kuwa bila machafuko au mapinduzi ya kijeshi/kiraia, tusitegemee mabadiliko ya kweli ya mifumo hapa nchini. Kwa sababu wanaofanya mabadiliko ya mifumo ni hawa hawa wanaofaidika na mifumo hii mibovu.

Shinikizo la mabadiliko linapokuwa kubwa wanafanya mabadiliko, lakini sio kuendana na mahitaji ya hayo mabadiliko, bali wanafanya mabadiliko bandia ili kuhadaa umma kuwa mlitaka mabadiliko, na sasa tumefanya, huku wakija na lugha za kuwa mabadiliko sio lazima yawe kama mnavyotaka nyie, bali kuendana na mazingira yetu! Kiufupi wanafanya mabadiliko ili kupunguza pressure kwenye jamii, huku wakihakikisha maslahi yao yanabaki, na sio mabadiliko stahiki.
 
Kila sent inayopatikana chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa ipo katika mikono salama, Na inakwenda kufanya kazi za kimaendeleo zinazogusa maisha ya watanzania na kupunguza kero kwa mwananchi mnyonge
Mnyonge atoke wapi Tanzania hii wakati ndo walipa tozo? Mikono salama kwa bilioni 600+ za sensa ya mwezi mmoja tu huku bajeti za wizara fulani hazifiki hata nusu yake kwa mwaka mzima.
 
Hili la katiba ndugu yangu siyo suala la kuvuta miguu. Infact kama ni rais mzuri kama unavyodai, basi malalamiko mengi yalipo sasa juu yake ni kwa sababu ya mfumo wetu tulionao wa kumtegemea kufanya kila kitu. Ni vigumu sana kuacha kumgusa rais hata kwa mambo ambayo hajakupaswa kwa sababu ya katiba. Mimi nilidhani ni busara zaidi kama angekuwa ameshanzisha michakato ya kufumua mfumo ili tukifika 2025 tuingie kwenye zama mpya. Hili la ngoja ngoja ndilo linazidi kumharibia na kuharibu nchi.
Sisi tunaona anafanya vizuri mh Rais wetu maana tunapata huduma bila usumbufu na tunaona namna anavyoongoza nchi kwa kufuata misingi ya kisheria na utawala Bora , Kama unamaoni yako kuhusu katiba nenda Katoe kwenye kikosi kazi huko utasikiliza,

Mama yupo kazini na tumeridhishwa na utendaji kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watu, mtuachie Rais wetu aendelee kututumikia sisi mamilioni ya watanzania tunaomuunga mkono
 
Tumechoka na mambo ya mikono salama, tunataka taasisi imara zilizo karibu kabisa na watu za kuleta maendeleo.
Kila sent inayopatikana chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa ipo katika mikono salama, Na inakwenda kufanya kazi za kimaendeleo zinazogusa maisha ya watanzania na kupunguza kero kwa mwananchi mnyonge
 
Kazi ya kiongozi mkubwa kama Rais sio kuchukua hatua kwa mtu mmoja mmoja ispokuwa kwa wateule wake tu wa moja kwa moja. Kazi ya Rais ni kutoa miongozo, maelekezo na muelekeo wa taifa kwenye mambo makubwa makubwa.

Then kuna mifumo ya kitaasisi ambayo inatakiwa ifanikishe masuala ya kiutendaji kama hayo ya kuchukuliana hatua na.k.

Kwa bahati mbaya kwenye jamii yetu tuna watu wachache wa maana na wengi wa ovyo. Hivyo kutoka kwenye sample hiyo, ndio tunapata wawakilishi wa maeneo mbalimbali. Na tunachoona ni matokeo ya kuwa na jamii ya aina hiyo. Hivyo pamoja na kuwa na kiongozi mzuri, mabadiliko ya kijamii yanayolenga kila mtu kuwa na utamaduni wa kutekeleza wajibu wake ni muhimu kuliko kitu kingine chochote.
Duh..!!

Kazi ya kuchukua hatua sio ya kiongozi mkubwa kama Rais, sasa unataka nani mwingine achukue badala yake?

Alivyokuwa akiwatumbua asiowaamini kwenye mbio zake kumbe alikuwa hafanyi kazi yake!

Unamkwepeshea majukumu yake ya kisheria makusudi ili kumfichia udhaifu wake!.

Mna mahaba ya ajabu.
 
Unataka kuturudisha jehanam! Watu tumekuwa tunasema Ee mwenyezi mwenye rehema mpe huyu dada afya nzuri ili tuwe naye kwa miaka mitano zaidi.
Wewe unayeandika haya, ungethubutu kuandika haya ungepotea kama Ben Saa nane au Azori.

Waulize watu walivyoswekwa lupango bila makosa na mtu aliyekuwa anamtumia MUNGU wetu kwa dhihaka?
 
Back
Top Bottom