Ushauri: Rais Samia, kwenye teuzi za DED's na DAS's ifae sana watoke kwa Maafisa Elimu Kata (AEK's) wenye sifa wapo wengi

Punguza maneno mkuu, nimesema mwenye PhD kutoka chuo kikuu Cha DSM anyooshe kidole .
 
Nimeainisha majukumu wanaofanya kila siku na nafasi iliyopo

DEO ni specific kwenye Elimu unlike Afisa Elimu Kata (AEK)
Basi kwa nafasi ya DED waananza DEO's kwanza kufukiriwa kabla ya AEK. Tukifuata ule mwavuli wa ngazi za uongozi
 
Punguza maneno mkuu, nimesema mwenye PhD kutoka chuo kikuu Cha DSM anyooshe kidole .
Kwani kuwa DED au DAS sifa ya ki-PhD ni sifa tu na sifa pekee ya kachaguliwa kushika nafasi hiyo?

Kwani anatafutwa lecturer wa Udsm??

Nakwambia wapo na Elimu sio Udsm peke yake tuiondoe hiyo mentality
 
Basi kwa nafasi ya DED waananza DEO's kwanza kufukiriwa kabla ya AEK. Tukifuata ule mwavuli wa ngazi za uongozi
Sijakataa mkuu

Mimi kwangu (Ningekuwa Mteuzi) ukiniwekea DEO na AEK nichague Mkurugenzi (DED) simung'unyi maneno napita na AEK (Afisa Elimu Kata). Hii ni kwasababu DED ni mtendaji anaeweza kushika nafasi hiyo ya kiutendaji ni AEK na sio DEO.

Isipokuwa kama unataka Mkuu wa Wilaya, basi DEO is the right candidate and fit for vaccant
 
Mimi AEK ningewachagua kuwa Katibu Tarafa... Kwenye uDED wasubiri kwanza...
 
Mimi AEK ningewachagua kuwa Katibu Tarafa... Kwenye uDED wasubiri kwanza...
Mkuu hoja haipigwi virungu

Mi nimetoa hoja yangu kuona na mimi nachangia kwenye maendeleo ya taifa hili

Maafisa Elimu Kata wanaweza kazi kwao watawala na makocha kulitumia hili bench la ufundi lina wachezaji kibao wa Substitution wanaowaza kubadili kabisa radha ya mpira uwanjani na kupata matokeo bora.

Mwisho kabisa wana nidhamu ya mchezo na maadili ya kazi
 
Shida yako we unawaza kutekeleza Hardware) hujaona software part ambapo ndio kazi kubwa ya wakurugenzi na wasaidizi wake. Mfano Kuna mlipuko wa magonjwa ya mifugo wataalamu wanakaa wanapanga Nini kifanyike kuzuia ugonjwa kuenea lakini pia kuzuia madhara kwa binadamu. Wakipata suluhisho ndio linashushwa kwa watendaji huku msimamie utekelezaji kwa protocol zilizoanishwa na kwa usimamizi wa wataalamu Wilaya.

Sasa ukiliangalia vibaya utasema huko Chini ndio mmefanya kumbe mmefnaya hardware to software ambayo ndio msingi wamefamya wengine.

Kazi ya Mkurugenzi ni kupanga kutafuta fedha na kusimamia utekelezaji. Je uzoefu huo mnao?

Nimeona sehemu nyingi kwenye O &OD zinazotoka kwenye kata nyingi zimeandikwa kimazoea na ndio maana naona hiyo kada unayoitetea bado inahitaji kupikwa zaidi
 

Siyo kila PhD unayoona mtaani ni PhD. PhD nyingine ni sawa na makaratasi ya kufungia maandazi. Vyuo vinavyotoa PhD kwa level ya kitanzania ni UDSM, SUA na Muhimbili. PhD nyingine zote ni feki tupu.

Na hivyo vyuo ukilinganisha na vyuo vikongwe duniani kama Harvard au Cambridge, PhD zao (UD, SUA na MUHAS) ni sawa na makaratasi tu ya kufangashia maandazi na vitumbua.
 
👍👍
 
Mkuu hizi ni hangover za kawaida kabisa

Kwan PhD za hivyo vyuo zinafundishwa na malaika?

PhD ni PhD tu mkuu provided ni PhD
 
Walimu hawafai hata kidogo, Wana roho mbaya mno wakipata madaraka mawazo yao yamejaa umaskini mtupu, waendelee kufundisha wanafunzi na kusubiria madaraja tu. Maafisa elimu kata ndio wanafiki asikwambie mtu, in short ualimu haufai kabisa hata kama una akili timamu ukiwa mwalimu tu unakuwa poyoyo wakupigwa hata makofi 🤣🤣🤣
 
Rais asiteue walimu tafadhali, ataharibu nchi. Ma DEO wengi wamepata hizo nafasi kwa kuhonga leo uwape UDED 🤣🤣🤣,tutakwama hakika
 
Bado wasanii na walimwende wanakja

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…