Ushauri: Rais Samia mpe kazi Prof. Anna Tibaijuka, ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya utumishi

Huyo mama zaidi ya kamudomo hafai kabisa

Naona ile pesa ya mboga imeisha sasa kaamsha kamudomo
 
Huyu maza kwa masifa na confidence hawatawezana na Mzanzibar.
Huyu Prof wala hana sifa ni aina ya watu wanaozaliwa na taaluma ya kufundisha kwa maana ya Waalimu, ukifundishwa na Mwalimu kama huyu lazima uelewe kwasababu ana uwezo mkubwa sana wa kuelewesha mwanafunzi akaelewa
 
Hafai huyu maoni yake trump akikata misaada watu watakufa maana hatuma uwezo ni ujinga kabisa, badala ya kushauri tafiti zipewe kipaumbele tutengeneze dawa zetu kuondoa utegemezi tuwe na uwekezaji wa viwanda vyetu vya madawa anawaza misaada isiyokuwa na uhakika na kutuweka utumwani mawazi ya kimasikini kbsa haya
 
Huyo mama zaidi ya kamudomo hafai kabisa

Naona ile pesa ya mboga imeisha sasa kaamsha kamudomo
Ile kauli ya hela ya mboga binafsi sioni kama ni vibaya kwasababu sifa ya kiongozi mzuri lazima awe na uwezo mkubwa sana wa fedha na sio maskini, ndiyo maana mataifa makubwa kama Marekani wanawapa vyeo viongozi wenye uwezo mkubwa wa fedha
 
Anafaa ateuliwe ubunge, apewe wizara ya ardhi na mazingira iwe chini yake, huu upuuzi wa kujenga open space na kuharibu mazingira hutaona.

CCM tumechukua maeneo yote ya wazi mijini, open space tumekata miti na kuweka mabanda ya chips , bar na Car wash huku tukiita temporary, eneo limetumika hivyo miaka 30 tunaita temporary , hakuna sehemu za michezo wala kupumzikia.
 
Swala la dawa watu wasifanye masihara, wala hajashauri vibaya kwasababu bado watafiti wetu wa maswala ya dawa hawajafikia uwezo wa kutengeneza dawa za kupunguza makali ya Virusi Vya Ukimwi, ili tufike huko lazima elimu iboreshwe zaidi au tusomeshe watafiti wetu kwenye vyuo vikuu vya tiba mfano

University of Oxford
University of Cambridge
Harvard University
University of Toronto
University of Michigan
University of California San Francisco
King's College London
University of College London

Na vyuo vinginevyo, unapotaka kufanya jambo kubwa lazima uwe umepata elimu kubwa
 
Wampe kazi ya kuupanga miji ya Tanzania kama Dodoma, Arusha n.k ifae kwa ajili ya utalii wa kimikutano ya kimataifa MICE Tourism. Sio wakija wageni siku mbili, kila kitu kinasimama.
 
Usikariri wew🤣🤣maisha hayako hivyo ....Huwezi kuleta maendeleo kwa kusoma tu ...Maendeleo kwa nchi za Africa ni kuwa na huruma na nchi Yako .

Kiongozi mkubwa wa nchi sio lazima asome sana ,ila mifumo ya ndani ikiwa wananchi ndo mpango mzima ...Hao maprofesa wangekuwa na tija wangeshakuwa na mafanikio nje ya ajira zao ,Kiufupi Anna Tibaijuka hamna kitu zaidi ya maneno .


Kumbuka : Aliletwa nchini kusaidia na wenzie hata wakina Omar Nundu (mambo ya Aviation) .Mwisho wa siku wakaona kujiingiza kweny siasa Kuna pesa ,wakaacha taalum zaid mpaka Sasa hakuna mtanzania anawakubali hata huyo Lipumba hamna kitu
 
Wampe kazi ya kuupanga miji ya Tanzania kama Dodoma, Arusha n.k ifae kwa ajili ya utalii wa kimikutano ya kimataifa MICE Tourism. Sio wakija wageni siku mbili, kila kitu kinasimama.
💯
 
Wampe kazi ya kuupanga miji ya Tanzania kama Dodoma, Arusha n.k ifae kwa ajili ya utalii wa kimikutano ya kimataifa MICE Tourism. Sio wakija wageni siku mbili, kila kitu kinasimama.
Huyu Prof ana uwezo mkubwa sana wa kuongoza na kufundisha sio wa mchezo mchezo kama baadhi ya watu wanavyomchukulia
 
Amesha staafu atulie, wako vijana wengi tu wa kufanya kazi. Tuna mshukuru kwa alipotufikisha katika utumishi wake.
 
Huyu si kapewa nafasi kibao hapa nchini?
Kipi cha maana kaifanyia hii nchi ?
 
Akalee wajukuu huyo ni bibi, pili ni fisadi akafikia hatua kuita Milioni 10 hela ya mboga. Hafai huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…