Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Hisia zenye kufanana na ndoto nzuri ya usiku.Kila mtu mwenye umri wa kuanzia miaka kumi na nane atoe at elfu kumi hela itakayo patikana wapewe T.P.A yote hayo yafanywe na mamlaka ya kitanzania kwa watanzania
Wewe ndiyo uache kukurupuka,umeufufua uzi na kuanza kutetea upuuzi wako wa DP kwa kuutumia uzi huuAcha kukurupuka. Angalia uzi wa lini?
Rais anachukua mawazo mazuri ya wana JF kwa maslahi mapana ya nchi.Wewe ndiyo uache kukurupuka,umeufufua uzi na kuanza kutetea upuuzi wako wa DP kwa kuutumia uzi huu
sawa!Sawa ila sio kwa mihemuko hii ya mikataba mibovu ya kutunyonya
Ulipomalizia wameamua kujilipua...... Ni kweli kama serikali ilivyojilipua vile vile kuwatundika akina Slaa kwa uhaini. Ni ujinga wenye hatari kubwa kutumia nguvu ya dola kunyamazisha watu tena kwa hila chafu. Serikali isingefanya ujinga ule TEC wasingekuja front. Japo serikali ikarudi nyuma kidogo kwa kuwaachia akina Slaa. Hivi nyie hamuoni kinachoendelea. TEC wamesaidia sana sana kwa move yao. Mana kuna kikundi cha viongozi hawana hekima ya uongozi na ni lazima wafanyiwe hivyo. Anayelaumu TEC kuingilia ni hana upeo wa mwenendo ulivyo au,.,..,
Walichokifanya ni kutaka kutunishiana misuli na mamlaka ya rais kwa kutumia ukongwe wa kanisa kwa kutumia kuungwa mkono kwa hoja zao, wameamua kujilipua lakini maisha yanaendelea siku zote.
Hili ni tatizo la maaskofu wetu na viongozi wa dini kwa ujumla, kujihesabia haki, kujiona wana kundi kubwa la wakatoliki wanaowapa mabilioni ya pesa za mavuno basi wanajawa na kiburi.Ulipomalizia wameamua kujilipua...... Ni kweli kama serikali ilivyojilipua vile vile kuwatundika akina Slaa kwa uhaini. Ni ujinga wenye hatari kubwa kutumia nguvu ya dola kunyamazisha watu tena kwa hila chafu. Serikali isingefanya ujinga ule TEC wasingekuja front. Japo serikali ikarudi nyuma kidogo kwa kuwaachia akina Slaa. Hivi nyie hamuoni kinachoendelea. TEC wamesaidia sana sana kwa move yao. Mana kuna kikundi cha viongozi hawana hekima ya uongozi na ni lazima wafanyiwe hivyo. Anayelaumu TEC kuingilia ni hana upeo wa mwenendo ulivyo au
yupo pamoja na kundi la serikali kutetea maslahi ya wachache.
Wewe Huna tofauti na Faiza foxy,kipindi cha Magufuli nilijua una akili,kumbe ni kweli kuna watu maslahi yenu yaliguswa ndiyo Maana ulikuwa unapiga Kelele sana.Rais anachukua mawazo mazuri ya wana JF kwa maslahi mapana ya nchi.
Nyie mnaojali maslahi yenu binafsi poleni sana.
WAlizificha hizo IGA, hii ilivujishwa ndio mana hatuitaki ccm inatuangamiza na sirikali zakeHili ni tatizo la maaskofu wetu na viongozi wa dini kwa ujumla, kujihesabia haki, kujiona wana kundi kubwa la wakatoliki wanaowapa mabilioni ya pesa za mavuno basi wanajawa na kiburi.
Kumbuka kuna mashekhe wa uamsho walifungwa miaka saba bila ya kusomewa hukumu yao, huyo Dr Slaa alijisahau na kuongea mambo ya kijinga kwa kigezo hicho hicho cha jeuri ya ukatoliki wake.
Mkuu hivi sasa kuna IGA nyingi sana zinafanya kazi ndani ya mikataba mingi, hawa wanaopiga kelele wameshaona kimeandikwa nini ndani ya hizo IGA?. Tupunguze ujuaji.
DP world sio wabaya, kibaya ni vipengele vya mkataba!!! These people have money like utitiri and we need them anyway.Lakini Dp wanamanage Bandari nyingi Duniani,wana fedha na sio wababishaji.
Warekebishe vipengele ili tupige mzigoDP world sio wabaya, kibaya ni vipengele vya mkataba!!! These people have money like utitiri.
Serikali ikilitaka jambo lake ujue litafanikiwa tu, mwezi wa kumi mwishoni pale TPA kutakuwa na magati matatu yanayoendeshwa na DP World.WAlizificha hizo IGA, hii ilivujishwa ndio mana hatuitaki ccm inatuangamiza na sirikali zake
Duuuuuu!!! Ndo maana najiuliza hata tukiendelea kupendekeza maboresho kwenye Mkataba, wale mabosi wawili walisha saini na Bunge letu likabariki mkataba, sasa hayo maboresho yatawekwa wapi??? Kila moja ana copy yake iliyosainiwa. Its a kizungumkuti.Serikali ikilitaka jambo lake ujue litafanikiwa tu, mwezi wa kumi mwishoni pale TPA kutakuwa na magati matatu yanayoendeshwa na DP World.