Mkuu umenena vyemaHapo sio mapenzi, hapo ni uwezo wako wa kuchanganua mambo. Linapokuja kwenye suala la mke zingatia vitu vitatu tu: Hofu ya MUNGU, Mama Bora na Mchango wake katika uchumi wenu hata wa kimawazo.
Tafadhali iangalie dunia kwa mtazamo tofauti na mapenzi kama kwenye vitabu au tamthilia. Wanawake wapo, hawaishi utawakimbia mwenyewe ila mke bora akishakupita amekupita.
Ila kama humtaki kabisa, mwambie kuwa una mahusiano mengine na hauoni kama mna future yoyote zaidi ya mtoto. Atalia ataumia ila siku akisahau utakuwa historia na atamove on.
Msipendi to hurt people for useless reason, hujamtendea haki, sasa nikwanini ulianzisha mahusiano mpaka na kumpata watoto baadae unasema hukumpenda,Habari wadau! Katika mihangaiko ya hapa na pale kuna binti nilimkuta mahali, kifupi nikamtamani na nikataka nipite tu.
Baada ya mbinu za hapa na pale, alinipa namba na tukajikuta penzini, baada ya mawasiliano ya kama wiki, nilimwambia aje home.. nilitaka kula mzigo akabana na mimi kulazimisha huwa siwezi na ukizingatia sikumuelewa kabisa ikabidi nimpotezee mazima.
Yule binti baada ya hapo hakukata tamaa aliendelea kunitafuta mara kwa mara, kila mara alikuwa akianza yeye, pamoja na kumchunia kote hakukata tamaa na kipindi hicho alikuwa hayupo tena mkoa niliokuwepo!
Muda ulienda ikapita kama miaka miwili, mimi juhudi zangu za kupata mwenzi zikawa zinagonga mwamba, kuna wakati uchumi wangu uliyumba sana na kwa vyovyote nilikuwa nahitaji mtu wa kusimamia shughuli zangu ili mimi nipambane kivingine.
Huyu binti nilimpanga nianze kuishi naye akakubali, hapo kiukweli moyo haukuwepo kabisa kwake, kilichonivuta kwake ni ule uvumilivu na kutoomba hela kabisa. Nikajipa moyo pengine nitampenda nikianza kuishi naye.
Baada ya kama miezi mitatu, alipata ujauzito na mimi mambo yangu angalau yakaanza kwenda mbele. Hapo kuna mwanamke wangu ambaye alikuwa bado A level nilikuwa nachatt naye bado. Kuna siku alikuta sms, akatishia kuondoka akafunga mpaka mabegi, nikaona isiwe kesi nikaomba msamaha nikaita mpaka mtu akaniombea msamaha maisha yakaendelea.
Wakuu kuishi na mtu usie na hisia naye ni kazi sana, nikawa naona yote nafanya kumfurahisha yeye tu, kweli ananipenda sawa lakini kwangu je? Nitajidanganya mpaka lini, nikawa nawaza sana hivi huyu kweli ndo wa kufa na kuzikana? Kifupi sikuwahi kuwa proud na yeye hata siku moja, mapenzi yakageuka mateso bila chuki, hakuna kitu kigumu kama unalala na kuamka na mtu ambaye humpendi na wala huna hisia naye
Miezi ilienda mimba ikawa kubwa ikabidi arudi kwao kujifungua, hapo kwao hawanifahamu zaidi ya kuwasiliana na dada ake. Miezi ilienda akajifungua mtoto wa kike, copy yangu kabisa..furaha yake ilikuwa kubwa ila mimi kwangu ilikuwa tofauti nikawa nawaza sana hatma yetu.
Ilipita miezi kadhaa nikawafuata wakarudi nyumbani, hapo furaha sina najilazimisha tu. Mwanamke naye akaanza visirani vya hapa na pale, tatizo dogo mara atishie kurudi kwao, mara naenda lini kujitambulisha (moyoni nikawa najisemea huyu angejua).
Basi kuna siku katika pita pita huko mtaani kuna binti nikapata namba yake nikaanza kumtongoza kwa kutumia kisimu kidogo, sms inbox nikawa nafuta dah kumbe nilisahau kusett sent item zijifute, basi kwenye pekua pekua yake akakuta zile sms, akalia sana mara mimi nataka kumuua sijui mtoto mdogo n maneno mengine mengi sana.(kifupi toka nimekuwa naye sikuwahi chepuka kabisa). Basi baada ya hapo minuno ikaanza, nikijaribu kujirudi anakaza, nikasema poa isiwe shida.
Siku moja niliamka asubuh, sikumsemesha kitu akaweka maji bafuni sikuoga wala chai aliyoandaa sikunywa nikaondoka zangu, baadaye akatuma sms kwa haya maisha yamemchosha nikamwambia sawa, akataka nauli na mtaji. Nikamwambia mm nina nauli tu, akasema bila mtaji haondoki nikamwambia nauli hiyo hapo, ukiondoka sawa usipoondoka sawa ni wewe.
Kweli akakusanya mazaga yake, asubuh nikawapeleka ubt, wakaondoka. Niseme tu ukweli siku hiyo nilijihisi kutua mzigo mzito sana, nafsi ikawa nyeupe sana, japo nilijua nilimkosea na kumpotezea muda lakini ningefanyeje.
Sasa baada ya kuondoka haikupita hata wiki akaanza kuomba kurudi na kuomba msamaha sana. Kiukweli mimi sikuwa tayari, niligoma na sasa ni mwaka umepita tangu aondoke, kifupi bado sijapata mwanamke wa kueleweka atakayetuliza moyo wangu, kwenye hili wala sina haraka najipa moyo nitampata tu hata kama nitatumia miaka kumpata.
Sasa changamoto inakuja huyu mama wa mtoto wangu, bado hajakata tamaa mpka leo anaamini atarudi kwangu, kumwambia ukweli kwamba simpendi naona itamuumiza sana na hii sioni kama ni option nzuri.
Kwa wazoefu wa mambo, nitumie njia gani kumfanya huyu mwanamke aendelee na maisha yake, najua anadeserve furaha na kupendwa, but kwangu hivyo havipo na kamwe hatakuja kuvipata. Je nitumie njia gani kumuweka ajue kwamba hana nafasi kwenye maisha yangu.
Msipendi to hurt people for useless reason, hujamtendea haki, sasa nikwanini ulianzisha mahusiano mpaka na kumpata watoto baadae unasema hukumpenda,
Yah ni kweli mkuu...Heheheh na hapo ndipo karma itakapomshughulikia 😂😂😂 unless awe hana mvuto kabisa ila mwanamke atakayenipenda nikajua ananipenda haswa sintomuacha. Soko la wanawake limejaa matapeli sana ukipata mwanamke real kwako namna hio aheri utulie tu kabla hujaangukiwa kwa jambazi la kike. Ndicho kitakachofuata, jamaa atapata mwanamke atampenda ila atafanyiwa vimbwanga hadi akome.
moja Kati ya watu walioni-inspire Sana kujiunga JF kutokana na michango yao...baada ya kuwa msomaji tu miezi kama 7....Msipendi to hurt people for useless reason, hujamtendea haki, sasa nikwanini ulianzisha mahusiano mpaka na kumpata watoto baadae unasema hukumpenda,
Wee sigo binaadamu.. wee ni .... !!Habari wadau! Katika mihangaiko ya hapa na pale kuna binti nilimkuta mahali, kifupi nikamtamani na nikataka nipite tu.
Baada ya mbinu za hapa na pale, alinipa namba na tukajikuta penzini, baada ya mawasiliano ya kama wiki, nilimwambia aje home.. nilitaka kula mzigo akabana na mimi kulazimisha huwa siwezi na ukizingatia sikumuelewa kabisa ikabidi nimpotezee mazima.
Yule binti baada ya hapo hakukata tamaa aliendelea kunitafuta mara kwa mara, kila mara alikuwa akianza yeye, pamoja na kumchunia kote hakukata tamaa na kipindi hicho alikuwa hayupo tena mkoa niliokuwepo!
Muda ulienda ikapita kama miaka miwili, mimi juhudi zangu za kupata mwenzi zikawa zinagonga mwamba, kuna wakati uchumi wangu uliyumba sana na kwa vyovyote nilikuwa nahitaji mtu wa kusimamia shughuli zangu ili mimi nipambane kivingine.
Huyu binti nilimpanga nianze kuishi naye akakubali, hapo kiukweli moyo haukuwepo kabisa kwake, kilichonivuta kwake ni ule uvumilivu na kutoomba hela kabisa. Nikajipa moyo pengine nitampenda nikianza kuishi naye.
Baada ya kama miezi mitatu, alipata ujauzito na mimi mambo yangu angalau yakaanza kwenda mbele. Hapo kuna mwanamke wangu ambaye alikuwa bado A level nilikuwa nachatt naye bado. Kuna siku alikuta sms, akatishia kuondoka akafunga mpaka mabegi, nikaona isiwe kesi nikaomba msamaha nikaita mpaka mtu akaniombea msamaha maisha yakaendelea.
Wakuu kuishi na mtu usie na hisia naye ni kazi sana, nikawa naona yote nafanya kumfurahisha yeye tu, kweli ananipenda sawa lakini kwangu je? Nitajidanganya mpaka lini, nikawa nawaza sana hivi huyu kweli ndo wa kufa na kuzikana? Kifupi sikuwahi kuwa proud na yeye hata siku moja, mapenzi yakageuka mateso bila chuki, hakuna kitu kigumu kama unalala na kuamka na mtu ambaye humpendi na wala huna hisia naye
Miezi ilienda mimba ikawa kubwa ikabidi arudi kwao kujifungua, hapo kwao hawanifahamu zaidi ya kuwasiliana na dada ake. Miezi ilienda akajifungua mtoto wa kike, copy yangu kabisa..furaha yake ilikuwa kubwa ila mimi kwangu ilikuwa tofauti nikawa nawaza sana hatma yetu.
Ilipita miezi kadhaa nikawafuata wakarudi nyumbani, hapo furaha sina najilazimisha tu. Mwanamke naye akaanza visirani vya hapa na pale, tatizo dogo mara atishie kurudi kwao, mara naenda lini kujitambulisha (moyoni nikawa najisemea huyu angejua).
Basi kuna siku katika pita pita huko mtaani kuna binti nikapata namba yake nikaanza kumtongoza kwa kutumia kisimu kidogo, sms inbox nikawa nafuta dah kumbe nilisahau kusett sent item zijifute, basi kwenye pekua pekua yake akakuta zile sms, akalia sana mara mimi nataka kumuua sijui mtoto mdogo n maneno mengine mengi sana.(kifupi toka nimekuwa naye sikuwahi chepuka kabisa). Basi baada ya hapo minuno ikaanza, nikijaribu kujirudi anakaza, nikasema poa isiwe shida.
Siku moja niliamka asubuh, sikumsemesha kitu akaweka maji bafuni sikuoga wala chai aliyoandaa sikunywa nikaondoka zangu, baadaye akatuma sms kwa haya maisha yamemchosha nikamwambia sawa, akataka nauli na mtaji. Nikamwambia mm nina nauli tu, akasema bila mtaji haondoki nikamwambia nauli hiyo hapo, ukiondoka sawa usipoondoka sawa ni wewe.
Kweli akakusanya mazaga yake, asubuh nikawapeleka ubt, wakaondoka. Niseme tu ukweli siku hiyo nilijihisi kutua mzigo mzito sana, nafsi ikawa nyeupe sana, japo nilijua nilimkosea na kumpotezea muda lakini ningefanyeje.
Sasa baada ya kuondoka haikupita hata wiki akaanza kuomba kurudi na kuomba msamaha sana. Kiukweli mimi sikuwa tayari, niligoma na sasa ni mwaka umepita tangu aondoke, kifupi bado sijapata mwanamke wa kueleweka atakayetuliza moyo wangu, kwenye hili wala sina haraka najipa moyo nitampata tu hata kama nitatumia miaka kumpata.
Sasa changamoto inakuja huyu mama wa mtoto wangu, bado hajakata tamaa mpka leo anaamini atarudi kwangu, kumwambia ukweli kwamba simpendi naona itamuumiza sana na hii sioni kama ni option nzuri.
Kwa wazoefu wa mambo, nitumie njia gani kumfanya huyu mwanamke aendelee na maisha yake, najua anadeserve furaha na kupendwa, but kwangu hivyo havipo na kamwe hatakuja kuvipata. Je nitumie njia gani kumuweka ajue kwamba hana nafasi kwenye maisha yangu.
Halafu acha kuwa famba, wewe unatetea kitu gani yani mtu mzima ni kwanini uanzishe mahusiano na mtu usiekua na malengo nae, then unamzalisha kabisa bado unasema sina malengo nae ehh yani huoni mtoto atakulia kwenye mazingira ya kijinga sana ya upande mmoja tu pasipo kupata upendo wa baba, na maisha yakiwa magumu ndiyo mnazalisha watoto mtaani, kama hujui kaa kimya ficha ujinga wakoUnajikuta malaika sana au vipi!
Halafu acha kuwa famba, wewe unatetea kitu gani yani mtu mzima ni kwanini uanzishe mahusiano na mtu usiekua na malengo nae, then unamzalisha kabisa bado unasema sina malengo nae ehh yani huoni mtoto atakulia kwenye mazingira ya kijinga sana ya upande mmoja tu pasipo kupata upendo wa baba, na maisha yakiwa magumu ndiyo mnazalisha watoto mtaani, kama hujui kaa kimya ficha ujinga wako
Very interesting imenipa faraja kusikia hivyo, hakika ni jambo la heri kuona unawagusa watu katika jamii inayotuzunguka kwa namna moja au nyingine pitia ushauri, kama ulivyosema nimekufanya uwe hapa kwa mawazo yangu machache karibu sana , basi poa mkuu shukrani sana.moja Kati ya watu walioni-inspire Sana kujiunga JF kutokana na michango yao...baada ya kuwa msomaji tu miezi kama 7....
big up mkuu..
Hakika boss, inatokea sana kweli karma haiko mbali na itamtafuna, huenda sasa yeye wakati anatafuta atakae vutiwa nae atampata lakini atapitia anayompitisha huyu mwenzake, maana anataka binti atakae mvutia tayari huo ni utumwa na atakae mpata atamfanya huyu jamaa kuwa mtumwa wa kutupwa na atakosa mapenzi anayoyatafuta na kuyakumbuka yale aliyoyaachaHeheheh na hapo ndipo karma itakapomshughulikia [emoji23][emoji23][emoji23] unless awe hana mvuto kabisa ila mwanamke atakayenipenda nikajua ananipenda haswa sintomuacha. Soko la wanawake limejaa matapeli sana ukipata mwanamke real kwako namna hio aheri utulie tu kabla hujaangukiwa kwa jambazi la kike. Ndicho kitakachofuata, jamaa atapata mwanamke atampenda ila atafanyiwa vimbwanga hadi akome.
He will have the taste of his own medicine. Ni swala la muda mfupi tu! Hata baba yake Mondi alianzia huku huku.Hakika boss, inatokea sana kweli karma haiko mbali na itamtafuna, huenda sasa yeye wakati anatafuta atakae vutiwa nae atampata lakini atapitia anayompitisha huyu mwenzake, maana anataka binti atakae mvutia tayari huo ni utumwa na atakae mpata atamfanya huyu jamaa kuwa mtumwa wa kutupwa na atakosa mapenzi anayoyatafuta na kuyakumbuka yale aliyoyaacha
Kuwa makini sana na chaguzi sasa, na ni kipi ndiyo kigezo chako pindi unachagua.... Kuna vitu vingine sio muhimu sana kuweka kama kigezo namba moja hasa urembo sawa wenge mtakataa ila likija swala la ndoa mimi nitaweka heshima,upendo, hofu ya mungu na awe mwenye kujitambua ila uzuri wa kiasi sio mbaya hasa kwa lengo la kuingia kwenye ndoa, ndoa ni taasisi inahitajai watu makini sana kuyaishi maisha ya ndoa kuliko hata huo uzuriTunachagua wapenzi wa kuishi nao, wale tuwapendao... hatuchagui watoto wa kuwazaa wala wazazi wa kuzaliwa nao!
Atakuja kutusumbua kumsikiliza kwenye media kama mwenzakeHe will have the taste of his own medicine. Ni swala la muda mfupi tu! Hata baba yake Mondi alianzia huku huku.
Duuh kama umeongea ukwel vileUsijali, utapata unayempenda ila asiyekupenda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakoma kuringa ...hamna rangi ataacha kuona...halafu huwa mabingwa wa ku-act mademu wa dizaini anayoitaka hasa akiwa na hela baada ya pesa kufunga speed gavana shetani atamuona liveWazii ngoja akamzimikie cappuccino tunda [emoji23][emoji23][emoji23]
Kubabeki unajuata kumfahamu mwanamke. Huyu jamaa bado amateur kwenye game tusimlaumu sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakoma kuringa ...hamna rangi ataacha kuona...halafu huwa mabingwa wa ku-act mademu wa dizaini anayoitaka hasa akiwa na hela baada ya pesa kufunga speed gavana shetani atamuona live
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app