Ushauri: Roho inaniuma, nimezaa na mwanamke nisiyempenda. Bado anataka kuishi na mimi

Sure Thing..
 
Kiufupi ishu yako iko hivi;

Bora mara mia ukaishi na huyo mwanamke anayekupenda coz huko mbele utakayempata utakuwa we unampenda yeye hakupendi hata kidogo, mbona utadataa[emoji1]




[emoji848][emoji848]
 
Kwanza pole kwa kusema kuwa ilibidi uendelee kuish nae labda utampenda, na haikuwa hivyo..
Pili: ulikosea kuish nae chin ya paa moja huku ukijua huna hisia nae.

Mi nakushauri mambo yafuatayo:-
(1) Muhudumie Mtoto hadi aje kujitegemea (huyu hana makosa , usije mtesa mja wa mwenyez Mungu)
(2) Mwombe msamaha mzaz mwenzako kuwa ulimkosea
(3) Tafuta mwengne unayezani utampenda ila uwe makini kuhakikisha unampata mtakayependana wote kwa pamoja na sio vinginevyo (ikitokea tofauti yaan upendo ukawa wa upande mmoja baina yenuxbasi hesabu maumivu MAKUBWA SANAA na hapa ndipo utakapokuja kuwakumbuka watoa michango hapa jf wanavokukanya)

N.B
Hakuna kitu kibaya kitakachokuja kukuumiza na Kuja KUJUTIA Maisha yako yoote kama kuja kumpenda mwanamke asiyekupenda..hapa UTAZIONA RANGI ZOOTE Duniani..
 
wewe hujielewi.Kama humtaki mwambie ila usilete habari za ooh sina hisia naye.Mimi nachokiona ni kwamba kuna kitu unakitafuta na utakipata.
 
This is pureman2...
 
Pole mpendwa.
 
Mkuu mimi pia niko na situation kama yako ila uanaume ni majukumu tu,mambo ya kupenda achia wanawake angalia maisha yako ya baadae na mwanao anahitaji malezi ya baba na mama.

Kama mwanamke ana kuheshimu na kusikiliza maagizo yako na yuko matured inatosha kuweka ndani.Hao wenye sifa uzitakazo ndo watakuwa mchepuko wako full stop! Mimi huyu babymama naoa tu
 
Watu wa hivi uwakute kwenye threads za
"SITAKUJA KUOA MWANAMKE ASIYE NA BIKRA"
au
" USIOE SINGLE MOTHER"

mxxxxxxxxxiiiiiièeee
Yaani achaaa kbs. Halaf yet utakuta majority wako raised na single mothers. Hawa single mothers majority siyo by choice. Wamejawa na upweke sana kwa mambo kama haya. Utakuta baadaye anasakamwa sana maskini. Binadamu hatuna huruma sisi. Tuwahurumie gawa wamama jamani. Kwanza nawapenda sana. Watoto wap wanapendezaga sana. Wanapambana mno. Later unaskia mtu anataka mtoto wake ameshazeeka
 
Rudia tena kusoma huo mstari vizuri.
Utakuja kupata ambaye atarudisha mambo yako nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…