Ushauri: Serikali imfukuze Balozi wa Palestina nchini

ngungwangungwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
644
Reaction score
569
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..!

Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya saa 48 zijazo. Kama Rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisaa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea Kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauwaji walijua fika kuwa Yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..! Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya masaa 48 yajayo. Kama rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
Watu wanailaumu tuu Israel Ila hao Hamas ni Kikundi cha hovyo Sana,
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisaa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea Kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauwaji walijua fika kuwa Yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..! Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya masaa 48 yajayo. Kama rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
Hiyo video inapatikanaje?
 
Sijui kwa nini serikali inaendelea kuwakumbatia hao wapumbavu kwanza hawana faida yoyote ile kwa Tanzania alafu wanajikuta kuwaunga mkono hakuna hata tamko la kukemea kilicho tokea, wangefukuzwa tuu kama mwalimu Nyerere alivyo wafukuza wa Israel kipindi chake, hakuna faida yoyote tunayopata kama nchi kua na ushirikiano nao
 
DP World wana mahusiano na Palestine.
Mtakoma.
Huyu mama akileta UDINI kwenye maslahi ya taifa atatuangusha wote, anatakiwa atoke hadharani akemee … Pope alikua kimya wa-Israel wameua wakristo wawili Gaza ametoka hadharani kuwakemea sisi ndugu zetu wameuliwa kama wanyama Rais yupi kimya je angekua mwanae abdul angekaa kimya?
 
Unaaminije kama wale ni wapalestina?. Na mbona video imekatwakatwa sana?. Na kwanini video itolewe Jana wakati tunaambiwa alikua mateka?.

Vipi mwingine akisema wale waliomuua niwayahudi.
Wayahudi wamemkaribisha kwao akajifunze kilimo na yeye sio wa kwanza kwenda kwenye huo mpango warudi wamuue mchana kweupe ili IWEJE ?
 
Mnatengeneza video za propaganda Ili kututoa Kwenye ugaidi wa mazayuni. Israel. Watanzania wengi ni finyu sana ktk kufikiri .

Kama Clemence na Joshua walitekwa siku Moja Kwanini hizi propaganda zenu zinakuja siku tofauti tofauti na mazingira tofauti.

Hao vijana wote wawili walikuwa Israel na sio Palestine.Mateka wote waliochukuliwa na Hamas waliondoka nao mafichoni.Haingii akilini umteke mtu halafu umuache mtaani. Huyo km ni kweli Joshua ni wazi alikuwa mtaani. Kama ni mtaani ni dhahiri ameuliwa Israel.

Pia siku Hamas waliyovamia Israel hawakwenda na mabaiskeli.

Ni mtu mjinga na mbumbumbu ndio anaweza kuamini hiyo video.
 
Back
Top Bottom