Ushauri: Serikali imfukuze Balozi wa Palestina nchini
Jamaa Ni juz tu anawatetea magaid wao eti kwa kusema kuwa Ni watu POA wkt Ni magaidi

Hamas wamemuua mdogo wetu bila kosa lolote dogo anajaribu kuwaelekeza lkn wapi wamemshikiria kana kwamba dogo Ni muisrael muyahudi na Kisha kumiminia risasi zizio na idadi

Sasa tunataka ubalozi huu ufungwe na maandamano makubwa yafanyike kushinikiza balozi aondoke hapa vinginevyo tutalipa kisasi na dunia ijue kuwa Tanzania hatuungi mkono magaidi kwa namna yoyote ile

Nikupongeze waziri wa maswala ya kigeni ndug January makamba Jr kwakuto pepeza maneno kwa kusema kuwa ndgu jushua mollel ameuwawa na magaidi wa Hamas
Wabongo bhana!! Kama kweli vile. Huo uwezo wa kuandamana na kulipa kisasi mtautoa wapi ndugu zangu ambao mna uoga kuliko hata ule wa kunguru? 😁

Yaani badala ya kuandamana nchi nzima ili kuiondoa hii serikali ya CCM inayonuka rushwa, wizi, ufisadi, ujangili, upigaji, na kila aina ya uovu! Tuandamane kuuondoa ubalozi wa Palestina nchini!!

My young bro!! Believe me!! You are not serious at all. 😁
 
Balozi wa Palestina nchini anaiwakilisha serikali ya Rais Mahmoud Abbas ambaye anatawala eneo kubwa la West Bank (Ukingo wa Magharibi). Na serikali hii inaamini kuundwa kwa Taifa la Wapalestina kupitia njia ya mazungumzo na Israel.

Na wala siyo mwakilishi wa kikundi cha Hamas ambacho kilichukua udhibiti wa eneo la Gaza tangu mwaka 2007, tena kupitia uchaguzi!! Hawa ndiyo wanaoamini katika matumizi ya nguvu kwenye kuundwa kwa Taifa lao la Wapalestina.

Sasa huyo Balozi unashauri afukuzwe kwa kosa gani? Kuwa mpole ndugu. Huo mgogoro wa Hamas na Israel, ni zaidi ya vile uujuavyo. Hao Waisrael nao siyo watakatifu kama unavyofikiri. Wana madudu yao mengi yaliyochangia kuwafanya hao Hamas kuwa kama wanyama.
Acheni kuleta siasa kwenye Maisha ya watu. Hivi huyu kijana angekuwa mwanao au mdogo wako ungeandika huu ujinga!? Kwani Hamas si ni kikundi cha kisiasa cha taifa la PALESTINA!? Hivi unawezaje kuwatenga na serikali ambayo siku chache tu zilizopita BALOZI huyuhuyu alikuwa kwenye vyombo vyetu vya habari akiunga mkono Hamas.. Ficha ujinga kijana!
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..!

Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya saa 48 zijazo. Kama Rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
Ondoa kelele zako hapa ewe mfuasi wa marasta unanishauri serikali wewe kama nani! Kelbu wahed
 
Jamaa Ni juz tu anawatetea magaid wao eti kwa kusema kuwa Ni watu POA wkt Ni magaidi

Hamas wamemuua mdogo wetu bila kosa lolote dogo anajaribu kuwaelekeza lkn wapi wamemshikiria kana kwamba dogo Ni muisrael muyahudi na Kisha kumiminia risasi zizio na idadi

Sasa tunataka ubalozi huu ufungwe na maandamano makubwa yafanyike kushinikiza balozi aondoke hapa vinginevyo tutalipa kisasi na dunia ijue kuwa Tanzania hatuungi mkono magaidi kwa namna yoyote ile

Nikupongeze waziri wa maswala ya kigeni ndug January makamba Jr kwakuto pepeza maneno kwa kusema kuwa ndgu jushua mollel ameuwawa na magaidi wa Hamas

Balozi wa Palestine apewe uraia wa heshima:

IMG_1567.jpg


Alisema Nyerere:

Uhuru wetu hauwezi kuwa safi hadi Africa yote iwe huru.
 
Kwa kadri ya kichwa cha habari, naomba serikali isitishe mahusino na Palestina kwa kuanzia ili maswala mengine yaendelee.
Nawasilisha.
 
Mnatengeneza video za propaganda Ili kututoa Kwenye ugaidi wa mazayuni. Israel. Watanzania wengi ni finyu sana ktk kufikiri .

Kama Clemence na Joshua walitekwa siku Moja Kwanini hizi propaganda zenu zinakuja siku tofauti tofauti na mazingira tofauti.

Hao vijana wote wawili walikuwa Israel na sio Palestine.Mateka wote waliochukuliwa na Hamas waliondoka nao mafichoni.Haingii akilini umteke mtu halafu umuache mtaani. Huyo km ni kweli Joshua ni wazi alikuwa mtaani. Kama ni mtaani ni dhahiri ameuliwa Israel.

Pia siku Hamas waliyovamia Israel hawakwenda na mabaiskeli.

Ni mtu mjinga na mbumbumbu ndio anaweza kuamini hiyo video.
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa;unapaswa uondoe hisia pale wanaume wanapojadili mambo ya kitaifa..

Yani kijana wetu auwawe na Clip inaonesha kabisa wale ni waarabu na sio Wayahudi,lugha wanayotumia ni Kiarabu na sura zao ni za kiarabu lakini bado unataka kuleta Udini kwenye mambo ya msingi??

Ebu jiulize kama yule Mmasai angekuwa ni ndugu yako ndo kauawa vile ungejisikiaje?? Waswahili wanasema..........Kichaa anachekesha akiwa hatoki kwenye Familia yenu

Ata me ni Muislam typically lakini sikubaliani na kijana wetu,Mtz tena mweusi kuuawa kinyama vile.........Huu sio uislam
 
Acheni kuleta siasa kwenye Maisha ya watu. Hivi huyu kijana angekuwa mwanao au mdogo wako ungeandika huu ujinga!? Kwani Hamas si ni kikundi cha kisiasa cha taifa la PALESTINA!? Hivi unawezaje kuwatenga na serikali ambayo siku chache tu zilizopita BALOZI huyuhuyu alikuwa kwenye vyombo vyetu vya habari akiunga mkono Hamas.. Ficha ujinga kijana!
Tatizo lenu kubwa Watanzania mlio wengi, ni unafiki tu na kupenda mambo ya mihemko.

Kabla ya kukimbilia huko kwa huyo kijana aliyeuwawa na hao Hamas, niambie kuna Watanzania wangapi wanauwawa kila mwaka mikononi mwa vyombo vya dola, mfano polisi! Niambie kuna Watanzania wangapi wamepotezwa kusikojulikana mpaka sasa!

Mbona hatuwaoni mkikemea kwanza haya maovu yanayofanyika ndani ya nchi yenu? Ila leo kwa sababu kuna clip inayo muonesha Mtanzania mmoja akiuwawa na hao magaidi wa Hamas, basi kila mtu anajifanya ameguswa!! Acheni unafiki wenu hapa.

Kwanza umeshajiuliza ni kwa nini hata hiyo serikali yako yenyewe inakosa nguvu ya kukemea hayo mauaji?
 
Kwa kadri ya kichwa cha habari, naomba serikali isitishe mahusino na Palestina kwa kuanzia ili maswala mengine yaendelee.
Nawasilisha.
Watu wameuliwa kinyama hapo Zanzibar ili ccm ikae madarakani na hakuna hatua zozote, ndio itakuwa hisia za huyu mtanzania mmoja?
 
Kwa kadri ya kichwa cha habari, naomba serikali isitishe mahusino na Palestina kwa kuanzia ili maswala mengine yaendelee.
Nawasilisha.
Wenzetu mtu mmoja tu wanaadamana ,lakini sisi tunawatia wapalestina mashujaa. Kujua watanzania wanakuwa mashujaa! Hatuitaki palestina kwenye ardhi yetu.
Huyo barozi wa palestina afukuzwe nchini
 
Watu wameuliwa kinyama hapo Zanzibar ili ccm ikae madarakani na hakuna hatua zozote, ndio itakuwa hisia za huyu mtanzania mmoja?
Kwako hana thamanini kwa kuwa ameuliwa na waislam lakini kwa watanzania ni muhimu, kosa halihalalishi kosa
 
Kwako hana thamanini kwa kuwa ameuliwa na waislam lakini kwa watanzania ni muhimu, kosa halihalalishi kosa
Hapo Zanzibar 99% ni waisilamu, lakini watu wameuwawa kinyama, na wengine kuachwa na ulemavu wa kudumu kwenye chaguzi Ili ccm ikae madarakani. Na ushahidi wa huo uovu upo, na hatua hakuna dhidi ya uovu huo. Sasa sijui ni waisilamu gani unawaongelea boss.
 
Bila kujua chimbuko la mgorogoro huu wa palestina na Israel utawalau Hamas bure ... hata kivyo RIP KIJANA WETU...
Haijalishi chimbuko, kitendo cha kumuua huyo kijana ni kosa kubwa Hamas wamefanya. Wamethibitisha kuwa wao ni magaidi.
 
Sisi kama TAIFA hatuna maslahi yoyote na kua na ushirikiano na WAPELISTINA ifike wakati sasa wakuachana na hawa mbwa wasio na shukrani , BALOZI WA PALESTINA aondoke na ubalozi ikiwezekana ufungwe
Mkuu unaongeleaje wale waliou wazanzibar wakati wa uchaguzi ili ccm iendelee kusalia madarakani?
 
Bila kujua chimbuko la mgorogoro huu wa palestina na Israel utawalau Hamas bure ... hata kivyo RIP KIJANA WETU...
Haijalishi chanzo cha mgogoro wao mazigira ya kuuliwa kwa kijana mtanzania yanadhihirisha ugaidi wa kiwango cha juu maana walijua siyo muisrael, kwa nini walingemweka mateka kuliko walivyomuua kwa wingi wa risasi zile.
 
Bila kujua chimbuko la mgorogoro huu wa palestina na Israel utawalau Hamas bure ... hata kivyo RIP KIJANA WETU...
Kwa hiyo kama ni mgogoro wao ndiyo kuua watu wengine wasiohusika? Kwanini wasiwaue waisrael ambao wana shida nao. Sikubaliani na ujinga huu. RIP Magufuli, waliokuja baada yako ni wadini watupu, wauaji, wezi na wadhalimu. Hivi matatizo yao yanahusiana vipi na kuuwa kwa huyu mtoto? Hivi wewe unayo akili kweli?
 
N
Asante sana MAMA MPUMBAVU maana we ndo ulizaa na babangu!!
Taarifa hizo ninazo kwa kina tu, lakini Israel ndio waliotoa taarifa na hatujaskia taarifa wala muendelezo kutoka ubalozi wala wizara husika!
Kwako KUBWA
Ningekuwa mama yako ningetoa mimba kuliko kuzaa toto lina akili kama ushuzi. Hujasikia Makamba akilisemea na kusema kabisa ameuliwa na HAMAS? Hivi hujasikia maelezo ya Yule Kimaro Mkurugenzi wa SUGECO akieleza kuhusu hao vijana kupelekwa Israel na jinsi walivyotekwa? Hivi hujaona wakati wa Graduation pale SUA wenzake wakimlilia na uongozi wa chuo kulitolea taarifa? Bro tumia hiko kichwa kufikiria na usitumie makalio. Mnajidharirisha sana na kuonesha nama mlivyo empty kichwani. Funika huo utupu wako dogo.
 
Back
Top Bottom