Ushauri: Serikali imfukuze Balozi wa Palestina nchini
Kwa hiyo kama ni mgogoro wao ndiyo kuua watu wengine wasiohusika? Kwanini wasiwaue waisrael ambao wana shida nao. Sikubaliani na ujinga huu. RIP Magufuli, waliokuja baada yako ni wadini watupu, wauaji, wezi na wadhalimu. Hivi matatizo yao yanahusiana vipi na kuuwa kwa huyu mtoto? Hivi wewe unayo akili kweli?
Hili suala linawavua nguo sana waislam maandazi mkuu. Hawa maamuma wajukuu wa allah wasiojitambua ndio chanzo cha watu kukashfu uislam humu JF kwani sijui wana roho gani. Yaani kila kitu afanyacho muarabu wao ni sawa kwa kuwa ni wenzao katila Allah. Kujibizana nao unajipotezea muda ru bro.
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..!

Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya saa 48 zijazo. Kama Rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
Wa Ijumaa mwenzao huyo, hawawezi kumtimua!
 
N

Ningekuwa mama yako ningetoa mimba kuliko kuzaa toto lina akili kama ushuzi. Hujasikia Makamba akilisemea na kusema kabisa ameuliwa na HAMAS? Hivi hujasikia maelezo ya Yule Kimaro Mkurugenzi wa SUGECO akieleza kuhusu hao vijana kupelekwa Israel na jinsi walivyotekwa? Hivi hujaona wakati wa Graduation pale SUA wenzake wakimlilia na uongozi wa chuo kulitolea taarifa? Bro tumia hiko kichwa kufikiria na usitumie makalio. Mnajidharirisha sana na kuonesha nama mlivyo empty kichwani. Funika huo utupu wako dogo.
Ungetoa mimba ungekufa, na usiendelee kuzitoa kama ulivyozoea wewe ni Mama Mpumbavu we ni mamangu kabisa!!
Usiongelee SUA ya bongo, kila mtu anajua na ameona hata list ya graduates, nauliza huko Israel walikua internship katika chuo gani au ofisi gani au kitengo gani?? Na wailkua wakiishi wapi na tukio liliwakuta katika mazingira gani?? Hizo ni info rahisi tu ila naona kichefuchefu tu ndo kinakusumbua na halahala USITOE MIMBA!!
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..!

Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya saa 48 zijazo. Kama Rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
Tatizo na sa100 ni pro-hamas
 
Mnatengeneza video za propaganda Ili kututoa Kwenye ugaidi wa mazayuni. Israel. Watanzania wengi ni finyu sana ktk kufikiri .

Kama Clemence na Joshua walitekwa siku Moja Kwanini hizi propaganda zenu zinakuja siku tofauti tofauti na mazingira tofauti.

Hao vijana wote wawili walikuwa Israel na sio Palestine.Mateka wote waliochukuliwa na Hamas waliondoka nao mafichoni.Haingii akilini umteke mtu halafu umuache mtaani. Huyo km ni kweli Joshua ni wazi alikuwa mtaani. Kama ni mtaani ni dhahiri ameuliwa Israel.

Pia siku Hamas waliyovamia Israel hawakwenda na mabaiskeli.

Ni mtu mjinga na mbumbumbu ndio anaweza kuamini hiyo video.
Wewe unajua kiarabu tafsiri Kwenye video wanasemaje
 
Palestina hawana faida yoyote nafuu Israel wanaleta teknolojia na misaada
 
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa;unapaswa uondoe hisia pale wanaume wanapojadili mambo ya kitaifa..

Yani kijana wetu auwawe na Clip inaonesha kabisa wale ni waarabu na sio Wayahudi,lugha wanayotumia ni Kiarabu na sura zao ni za kiarabu lakini bado unataka kuleta Udini kwenye mambo ya msingi??

Ebu jiulize kama yule Mmasai angekuwa ni ndugu yako ndo kauawa vile ungejisikiaje?? Waswahili wanasema..........Kichaa anachekesha akiwa hatoki kwenye Familia yenu

Ata me ni Muislam typically lakini sikubaliani na kijana wetu,Mtz tena mweusi kuuawa kinyama vile.........Huu sio uislam
Hapa kwenu wamekufa wangapi na umepaza sauti mara ngapi

Umeandika mara ngapi kuhusu Ben saa8, Azory, Akwlina, Alphons, Lwajabe! Huna uhalali wa kumpigania aliyopo uwanja wa vita ikiwa umeshindwa kumpigania aliyopo uwanja wa amani!
 
Wanaweza wakasema huyu balozi hatokani na hamas, anatokea chama chama fatah kinachotawala ramallah. Hii nchi isingekuwa inaogopa nchi za kiarabu zenye kuwapendelea wapalestina huyu balozi wao angefungashiwa virago kuonesha hatujakubali kitendo alichofanyiwa raia wetu. Hao magaidi ni wapumbavu sana walishindwa nini kutambua hata rangi yake tu kuwa huyo si muisrael? Mtu anaonekana mpaka kuongea kwake si myahudi wala mwarabu kwa nini wamuue?
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..!

Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya saa 48 zijazo. Kama Rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
haina haja,
Kwanza huyo balozi ni wa kutoka serikali ya Ghaza chini ya Hamasi au ni kutoka serikali ukingo wa Magharibi chini ya Fatah?

Anawakilisha Palestine ipi?

Tuanzie hapo kwanza
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.
Hoja nzuri na naiunga mkono, lakini nina swali moja je Palestinian Authority iliyochini ya chama cha Fattah inawatambua hao Hammas kama nao ni wawakilishi?

Akisema NDIYO asindikizwe hadi Airport tena ikibidi kwa Gobole.
 
Kwa hiyo unaunga mkono Mtanzania kuuwawa kinyama?

1. Siungi mkono yeyote asiyekuwa na hatia kuuwawa.

2. Ninaunga mkono harakati za ukombozi za Palestina.

IMG_20231216_142943.jpg


3. Siungi mkono uvamizi wa Israel.
 
Bila kujua chimbuko la mgorogoro huu wa Palestina na Israel utawalau Hamas bure ... hata kivyo RIP KIJANA WETU...

Wewe pia ni mjinga au ndani yako una roho ya ugaidi. Au wewe ni miongoni mwa masalia ya yale magaidi ya Kibiti ambayo sahizi yapo Msumbiji.

Hiyo historia ya mgogoro wa Palestina ina husiana vipi na kijana wetu aliyeuawa kinyama na haya mashetani?

Siamini kama kuna mtu mwenye akili timamu na mwenye utu wa kibinadamu anaweza kuona haya mashetani ya Hamas yalichokifanya ni sahihi.

Hii inatupa picha halisi ya haya magaidi ya Hamas jinsi yalivyo. Kwa majitu kama haya, inachofanya Israel dhidi yao ni sahihi. Maana majitu ya namna hii, usipoyadhibiti, yatamaliza watu wote.
 
Ungetoa mimba ungekufa, na usiendelee kuzitoa kama ulivyozoea wewe ni Mama Mpumbavu we ni mamangu kabisa!!
Usiongelee SUA ya bongo, kila mtu anajua na ameona hata list ya graduates, nauliza huko Israel walikua internship katika chuo gani au ofisi gani au kitengo gani?? Na wailkua wakiishi wapi na tukio liliwakuta katika mazingira gani?? Hizo ni info rahisi tu ila naona kichefuchefu tu ndo kinakusumbua na halahala USITOE MIMBA!!
Wewe Nyathika sijui nani unapaswa utumie akili kidogo, Kwa wale tuliopata bahati ya kupitia vyuo vikuu hasa vya nje tunajua jinsi Israel walivyo na utaalam wa kilimo kuanzia cha Horticulture na Matunda, na jinsi walivyoweza kubadilisha sehemu kubwa ya sehemu yao iliyokuwa jangwa kwenda kuwa sehemu productive, utashangaa leo Israel inaongoza kwa kilimo na wanafunzi wa nchi zote duniani wanakwenda huko kujifunza, kugeuza sehemu ambazo ni arid au semi- arid siyo mchezo, Wanafunzi waliotoka SUA, Uyole na LITI nk huwa wana kawaida ya kwenda kujifunza Israel. Na kawaida ukiwa huko unafanya kilimo kwa vitendo na wanakaa katika communal settlements zinaitwa Kibbutz, kwa hiyo hao jamaa zako magaidi wa Hamas walipowavamia walikuta wanafunzi wengi tu wakiishi maisha ya kwenye community hiyo. Siyo lazima ukiwa huko lazima uishi vyuoni, unaishi kwenye community ili kujifunza. Na hili si jambo jipya kwani hata rais wa China Xi Jiaping alivyokuwa kwenye studies USA aliishi na family ya kimarekani huko Iowa badala ya kuishi chuoni. Kibbutz Orr ilipovamiwa tarehe 7 october ndiyo hayo yaliwakuta. kwa hiyo acha kuwatetea hao wauaji Hamas. Wataendelea kupigwa hadi waishe.
 
Back
Top Bottom