Ushauri: Serikali imfukuze Balozi wa Palestina nchini
Wewe pia ni mjinga au ndani yako una roho ya ugaidi. Au wewe ni miongoni mwa masalia ya yale magaidi ya Kibiti ambayo sahizi yapo Msumbiji.

Hiyo historia ya mgogoro wa Palestina ina husiana vipi na kijana wetu aliyeuawa kinyama na haya mashetani?

Siamini kama kuna mtu mwenye akili timamu na mwenye utu wa kibinadamu anaweza kuona haya mashetani ya Hamas yalichokifanya ni sahihi.

Hii inatupa picha halisi ya haya magaidi ya Hamas jinsi yalivyo. Kwa majitu kama haya, inachofanya Israel dhidi yao ni sahihi. Maana majitu ya namna hii, usipoyadhibiti, yatamaliza watu wote.
You are too stupid to argue with me...
 
Bora we umenieleza vizuri kuhusu community settlement "kibbutz" asante sana!
Siungi mkono kilichofanyika kinaumiza kama mtanzania kijana.
Lakini ni hadi ithibitike kuwa ni kweli Hamas ndio wamehusika vinginevyo ntawaunga mkono na mguu katika vita ya wakandamizaji wa Israel
 
Hii nchi ifikie kipindi tuache mihemko isiyokua na msingi, hivi kwa akili ya kawaida unadhani hao Israel hawawezi kutamka Allah Akbar kwa lengo la kutengeneza propaganda?
Waisraeli wote ni lazima wafundishwe kiarabu !
Hiyo ni sera yao lazima wajue lugha ya hasimu wao !
Na wapalestina wengi pia wanakijua kihebrew !
Ukiwakuta tofauti na nyakati za vita raia wa kawaida huwezi ukaamini kwamba upo uadui miongoni mwao !
 
Unaaminije kama wale ni wapalestina?. Na mbona video imekatwakatwa sana?. Na kwanini video itolewe Jana wakati tunaambiwa alikua mateka?.

Vipi mwingine akisema wale waliomuua niwayahudi.
NDO TUWE TUNATETEA HIVI. TUSEME WALE NI WAYAHUDI SIO WAPALestina
 
Angalia hawa hapa wayahudi wakiingia palestina kama wakimbizi kutoka ulaya .Leo hii waliowakuta ndio wamegeuka kuwa kuwa wakimbizi. Hii reference ni kutoka Google inayomilikiwa na muyahudi Lawrence page
 

Attachments

  • Screenshot_20231218_141320_Google.jpg
    Screenshot_20231218_141320_Google.jpg
    139.1 KB · Views: 2
Serikali Haina huo ujinga.Tzn na Palestine ni marafiki wa kihistoria Toka enzi za Arafat na Nyerere.
Tanzania ilikuwa na Urafiki hata na INTEREHAMWE wakati wanauwaua Watutsi huko Rwanda.

Tanzania ilikuwa Rafiki na utawala wa Khmer Rouge wa Cambodia.
 
Dunia nzima imejaa pro Hamas hii inenitoa machozi jamani mlioiweka hamjawatendea haki wazazi wake inauma mnoo shetani tuko nae humu humu duniani
 
Dunia nzima imejaa pro Hamas hii inenitoa machozi jamani mlioiweka hamjawatendea haki wazazi wake inauma mnoo shetani tuko nae humu humu duniani
 
Kabla ya kujadili masuala uliyoyaleta mezani kuna masula nayo inatubidi tuyaweke pia mezani.

Mamlaka ya Palestina chini ya Mahmoud Abbas ndiyo wenye ubalozi hapa nchini.

Hamas ipo chini ya Ismail Haniyeh ambao hatuna uhusiano nao wowote wala ubalozi.

Mbali na hilo video iliyotoka bado inamkanganyiko mwingi lakini kwa wale wenye kupenda kutafakari.

Muhimu tujipe muda.
 
Kabla ya kujadili masuala uliyoyaleta mezani kuna masula nayo inatubidi tuyaweke pia mezani.

Mamlaka ya Palestina chini ya Mahmoud Abbas ndiyo wenye ubalozi hapa nchini.

Hamas ipo chini ya Ismail Haniyeh ambao hatuna uhusiano nao wowote wala ubalozi.

Mbali na hilo video iliyotoka bado inamkanganyiko mwingi lakini kwa wale wenye kupenda kutafakari.

Muhimu tujipe muda.
Naona hoja kwa mbaali, ila usikane uhusika wa magaid ya hamasi maana yamekiri
 
Kabla ya kujadili masuala uliyoyaleta mezani kuna masula nayo inatubidi tuyaweke pia mezani.

Mamlaka ya Palestina chini ya Mahmoud Abbas ndiyo wenye ubalozi hapa nchini.

Hamas ipo chini ya Ismail Haniyeh ambao hatuna uhusiano nao wowote wala ubalozi.

Mbali na hilo video iliyotoka bado inamkanganyiko mwingi lakini kwa wale wenye kupenda kutafakari.

Muhimu tujipe muda.
Jibu muruwa, lakini linazua maswali mengi mbona Abu Mazen hakemei vitendo vya Hamas vya kuua hata wasiohusika?
 
Naona hoja kwa mbaali, ila usikane uhusika wa magaid ya hamasi maana yamekiri
Ndugu yangu, Hamas mpaka muda huu sijaona taarifa yao yoyote waliyokiri kuhusika na hilo tukio na nina sababu.

Tangu Oktoba 7 Hamas taarifa zao wanazitoa kwa kupitia msemaji wao anayeitwa Abou Obaida. Na taarifa yao huwa wanaitoa kwa video. Taarifa zao zote ndivyo wanazozifanya.

Sitetei ila mpaka muda huu ushahidi huo unayosemwa kuwa wamekiri kuhusika na hilo tukio mimi sijaupata. Ikiwa kama wewe unao nipatie ila na mimi nikubali kinachosemwa na wengine.

Halikadhalika hii vita kuna propaganda nyingi sana zimetokea na zikakanushwa na nyengine zikaendelea kukanushwa na nyingine zinaendelea kukanushwa.

Huwa natizama LBC, Piers Morgan Uncensored, Middle east Eye na link nyengine za kutoka Iran na Yemen. Hata juzi kati debate ya Barnaby Raine na Jacob Reese na Channel ya Owen Jones. Kuna mambo mengi yanawekwa wazi.

Angalia pia interview ya Former Israel Prime Minister Bw. Ehud Olmert aliyofanya na TRT World siku 11 zilizopita. Mambo mengi kayaweka wazi.

Hivyo mosi, sijapata taarifa yoyote ya Hamas kukiri. Pili, kutokana na kwa hayo ninayo yafuatilia nadiriki kusema kuwa najipa muda kwenye hili.
 
Zile risasi za mwisho mwisho mikono inanyanyuka juu kwa kishindo cha SMG....Mchonga angekuwepo hapo GAZA ingekuwa karibu kama NGULELO......
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.

Ukatili aliofanyiwa Joshua hauvumiliki.. Haiwezekani kuwa na urafiki wa Kidiplomasia na nchi yenye vikundi vya kihuni na kikatili Kwa kiwango hiki. Kuna wanasiasa wajinga wanawatetea Hamas inashangaza sana..!

Binafsi namuomba Rais wetu amfurushe BALOZI wao ndani ya saa 48 zijazo. Kama Rais hatafanya hivyo, tutaitisha maandamano makubwa Dar na Dodoma kushinikiza huyo BALOZI wa taifa la wahuni atupishe nchini kwetu.

Najua vijana wa system mmejaa hapa JamiiForums na wengine tunawajua, mwambieni Rais amuondoe huyo BALOZI haraka! Kwenye nchi zingine huyo BALOZI angekuwa ameshanyolewa au yeye mwenyewe angejitokeza kukemea huo uhuni na Ukatili uliovuka mpaka.

Nawasilisha!
Mosi, Hamas sio nchi. Pili ingefaa usome historia ya mashariki ya kati, ujue vizuri chanzo cha mgogoro ulioko pale. Ukitegemea tu hizi media ambazo zinamilikiwa na wazungu, utabaki kuamini tu wapalestina ni magaidi kumbe wanapigania ardhi yao waliyo dhulumiwa na waisrael. Tatu, wew una hakika gani kwamba hao vijana waTanzania wameuawa na Hamas? Kama walitekwa wakawa wanashikiliwa na Hamas, halafu mabom ya waisrael yakawauwa, huoni kwamba Israel pia anapaswa kulaumiwa? Angalia aljazeera uone anachofanya muisrel.
 
Back
Top Bottom