Ushauri: Tuache kukosoa stori kwa kusema "chai"

Ushauri: Tuache kukosoa stori kwa kusema "chai"

Nashauri uongozi wa JF, utengeze namna ambayo user mmoja anaweza kum-ban/block user mwingine ambaye anaonekana ni msumbufu hasa katika lugha za kukera kama matusi, mizaha kwenye jambo serious ni mengine km aliyosema mleta mada.

Baadhi yetu tupo hapa kujifunza mambo mbali mbali na kupata new experience ya vitu mbali mbali ambavyo wengine wanapitia so anakuja mtu from no where tena unakuta hata stori yenyewe hajasoma anamwagia tu kwenye comment utasikia 'chai' it sound nowdays wale watoto wa FB wajaa sana humu so tupewe hiyo option niliyo suggests hapo juu ili kutenganisha pumba na mchele.

If you find the story is rigged just stay away from it without causing any trouble. Itakuwa bora sana. Wengine hatujajaliwa vijapi vya kuandika story msiwakatishe tamaa hao wanaotuburudisha.
Kama kweli unataka kujifunza basi shukuru hao wanaocall out chai chai. Au unataka kulishwa uongo?
 
Ingependeza uzi huu uwe na kapicha au kavideo..
 
Hii yenyewe ulioileta hpa pia ni [emoji116][emoji116]
20220519_003357.jpg
 
Kama kweli unataka kujifunza basi shukuru hao wanaocall out chai chai. Au unataka kulishwa uongo?
Uwe unasoma na unaelewa unamaanisha siwezi kutofautisha ukweli na uongo? Nitachukua chenye mantiki kisicho na mantiki/uongo naachana nacho. Ninachosema tuache utoto wa kuita stori za watu 'chai' la msahihishe huyo mleta mada au stori kwa kuweka ukweli kupinga uongo wake na sio kusema tu 'chai'
 
Uwe unasoma na unaelewa unamaanisha siwezi kutofautisha ukweli na uongo? Nitachukua chenye mantiki kisicho na mantiki/uongo naachana nacho. Ninachosema tuache utoto wa kuita stori za watu 'chai' la msahihishe huyo mleta mada au stori kwa kuweka ukweli kupinga uongo wake na sio kusema tu 'chai'
Kutunga story na kudai ni kisa cha kweli ndiyo utoto.
 
Watu wanaoandika fiction huwa hawadai kuwa ni visa vya kweli?
Hawa wa JF huhitaji PhD kujua story ni ya kweli au sio kweli. Stori nyingine unaona kabisa ni ya kweli and is based on historical events ambazo zinajulikana but mtu from no where sijui kaishia darasa la pili anakuja utasikia 'chai' it's really annoying na inakatisha tamaa watu wanaotumia muda wao mwingi kuelemisha watu ila watu kama wewe hamuoni hilo na mnaona upande mmoja tu.

Kama ni chai why usijibu kwa hoja badala vihoja?that's why tuna suggests iwekwe ban button. Ili mtu anayeleta mada yake aepuke watu wasio jibu hoja kwa hoja.

Sawa ni chai bring up the fact basi.. ili tupime hiyo ndio JF tunayoitaka
 
Kuna majukwaa ya simulizi nendeni huko na chai zenu. Ukienda MMU ukaweka stori ya uongo tutakwambia CHAI
 
Pole sana, binadamu ndivyo walivyo wazoee tu...
 
Hawa wa JF huhitaji PhD kujua story ni ya kweli au sio kweli. Stori nyingine unaona kabisa ni ya kweli and is based on historical events ambazo zinajulikana but mtu from no where sijui kaishia darasa la pili anakuja utasikia 'chai' it's really annoying na inakatisha tamaa watu wanaotumia muda wao mwingi kuelemisha watu ila watu kama wewe hamuoni hilo na mnaona upande mmoja tu.

Kama ni chai why usijibu kwa hoja badala vihoja?that's why tuna suggests iwekwe ban button. Ili mtu anayeleta mada yake aepuke watu wasio jibu hoja kwa hoja.

Sawa ni chai bring up the fact basi.. ili tupime hiyo ndio JF tunayoitaka
Wanakera sana hawa
 
Mleta post ana kitu huyu asipuuzwe,,

Utakuta mtu anaukejeli uzi fulani wa mtu hapa jukwaani,,
wakati yeye mwenyewe hajawahi kuleta uzi wowote hapa ,,
Hata uzi wa ugomvi wa kuku hajawahi andika hapa jukwaani,

Lakini kutwa kusema chai kwenye nyuzi za watu..
 
Back
Top Bottom