aliyeanzisha swala la viti maalum bungeni sijui alikuwa na lengo gani hasa, maana wengi wao hawachangii chochote zaidi ya kupiga makofi na kutoa uroda kwa mabosi wao
- Dada Regia umenifurahisha sana my Friend, I mean hujamuona Mzee Ndesamburo bungeni! ha! ha! ha! ha! Hujaona watoto na wake za Viongozi wa chama chako bungeni au na wewe umerithi siasa za makengeza? ha! ha! ha! Sikutegemea unaweza kwenda this low anyways kwenye Demokrasia wote huwa wanasikilizwa including hii hoja yako! ha! ha! pole sana na karibu sana!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.
Afadhali uli walk out, huna hoja.Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.
viti maalum mie naona vina faida kwa wachache na tungeweza kupunguza hadi kufikia viti 10 tu nchi mzima... pia tungehitaji mid term review ya performance ya wabunge
wengine ni zero kabisa
Uko sahihi sana mkuu, na nadhani ndio ugonvi ulioko kati ya CDM na CCM/serikali. kwani Rais ana madaraka makubwa mno, na kama serikali ina kataa ushoga basi ikatae na hili la Viti maalum maana sioni wanafanya nini mfano mbunre kama Mch. Rwakatare anasign tu posho na haieleweki anamwakilisha nani.
badala yakwe tunakuwa na wabunge wengi wasio wawakilishi wa wananchi wanamwakilisha mtu bisafsi, waziri fulania au Rais. Huu ni upumbavu usiokubalika.
Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.
regia... This is absolutely disgusting, especially coming from you...its a piece of shit, we have high hopes for u but not this one at all. Ungejibu hoja kwa hoja mf. Ya mfumo dume, baadhi wabunge useless wa kuchaguliwa kama mteketa, rushwa, wizi wa kura, mfumo wa uchaguzi nk.Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.
- Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba kwenye katiba mpya, Tanzania TUTAONDOKANA NA Wabunge wa Bure na Viti maalum, I am sick na Bunge kujaa vimada wa Viongozi wa vyama vyetu vya siasa vyote kuanzia CCM mpaka Upinzani, ENOUGH! Wabunge wote wawe wa Majimbo tu Only Mwanasheria Mkuu ndiye aruhusiwe kuingia Bungeni na Cabinet bila kugombea jimbo!
- Taifa letu linapoteza Shillingi Billioni 90 kila miaka mitano on hawa Wabunge wa bure, that is insane kwa taifa masikini kama letu.
Much Respect People!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
- Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba kwenye katiba mpya, Tanzania TUTAONDOKANA NA Wabunge wa Bure na Viti maalum, I am sick na Bunge kujaa vimada wa Viongozi wa vyama vyetu vya siasa vyote kuanzia CCM mpaka Upinzani, ENOUGH! Wabunge wote wawe wa Majimbo tu Only Mwanasheria Mkuu ndiye aruhusiwe kuingia Bungeni na Cabinet bila kugombea jimbo!
- Taifa letu linapoteza Shillingi Billioni 90 kila miaka mitano on hawa Wabunge wa bure, that is insane kwa taifa masikini kama letu.
Much Respect People!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.
Ni wanawake wachache sana wana caourage ya kusema ulichokisema. Niko karibu sana na baadhi ya wanaharakati wa haki za wanawake, na huwa wananishtua na kufedhehesha wanapotetea viti vya wanawake. Hawaelewi kabisa nadharia ya kulemazwa na "uharibifu chanya" kama aliouongelea mtumwa Frederick Douglass alipokataa kata kata msaada wa kuokolewa na mtu yule yule anaemzamisha ili ajifunze kusimama wima mwenyewe:Viti maalum kwa wanawake vifutwe kwa kuwa licha ya sababu nyengine vinadhalilisha wanawake
- Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba kwenye katiba mpya, Tanzania TUTAONDOKANA NA Wabunge wa Bure na Viti maalum, I am sick na Bunge kujaa vimada wa Viongozi wa vyama vyetu vya siasa vyote kuanzia CCM mpaka Upinzani, ENOUGH! Wabunge wote wawe wa Majimbo tu Only Mwanasheria Mkuu ndiye aruhusiwe kuingia Bungeni na Cabinet bila kugombea jimbo!
- Taifa letu linapoteza Shillingi Billioni 90 kila miaka mitano on hawa Wabunge wa bure, that is insane kwa taifa masikini kama letu.
Much Respect People!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.
Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.