VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,900
- 581
aliyeanzisha swala la viti maalum bungeni sijui alikuwa na lengo gani hasa, maana wengi wao hawachangii chochote zaidi ya kupiga makofi na kutoa uroda kwa mabosi wao
kipindi wanaanzisha dodoma hakukuwa na totoz , sasa zipo wafute tu wakatafute mitaani