Mods nahasira sana don't delete this post
JK, Bunge, na wadau wengine shinikizeni wabunge wa BUREEE WAFUTWEEEE, mapema mwaka huu yaani
ifikapo June 2012 waondoke hawa, sbb zipo wazi, hatuhitaji diploma, degree or PhD
kujua hili, hawa WABUNGE HEWAAA, ni hasara, mzigo, functionless na ndio wa kwanza kutetea posho,
Imagine wabunge 105 wa bureee, this is pain, JK acha aibu....sema baba sema, tunajua hali ya serikali ni
Ngumu financially, futaaa hawa, sbb hizi hapa:
1: Wana wawakilisha nani?
2: Hawana ofisi, meaning hawana kazi, ndio wanalipwa buree
3: Ni mzigo, hasara, wafuja kodi za wa Tz maskini
4: mbaya zaidi bungeni wanaongeza LIST YA KULALA, hawana mchango wowote
na hii inachangiwa na KIWANGO KIDOGO CHA ELIMU, most of them
ni std 7, Fm4 failures, hawana changamoto of anykind, wafuteeeni
I can call them PARASITES, wanatufilisi...
5: Undugu, vimwana/nyumba ndogo, wamejaaa, kazi kujaaa masaluni tuuu, shuleless
plsee Jk hali no ngumu kwa serikali na wananchi, na KATIBA MPYA ITAJE HAKUNA VITI MAALUM, hivi umaalum wake ni niniiiiiiiiiiiiii...... i am sick of these unknown MPs....
Mungu tusaidie, Yesu namba yako ya simu or email, facebook account, twitter hujatuachia,
maana tuna sali daily hutujibu, JK akishindwa hadi June 2012, Yesu WAFUTEEE HAWA WANYONYAJI
i am out.....