USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

Wabunge wa viti maalum, wakuu wa Wilaya, wakuu wa Mikoa, Ma RAS, Ma DAS, nk wanalifilisi tu Taifa letu. Nafasi zao hazina tija yoyote ile kwa walipa kodi wa nchi hii.

I wish ile Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba, ingepitishwa kama ilivyo; ili vyeo vya upendeleo na vilivyopitwa na wakati kama hivi, vingefutiliwa mbali.
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)
2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.
3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.
4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi _ Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenz wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.
Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
Naunga mkono hii hoja mia kwa mia...
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)
2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.
3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.
4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi _ Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenz wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.
Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
Unataka wafe njaa?
 
Sio wabunge wa kuteuliwa tuu, hata vyeo vya wakuu wa wilaya viondolewe, ni gharama kubwa sana kuendesha ofisi zisizo na faida zaidi ya uchawa kwa waliowateua, budget ya ofisi wa wilaya na pesa za magari ya gharama zihamishiwe kwenye maendeleo kama shule,maji, barabara na elimu kwa wilaya
 
Jua likiwaka zaidi ya hapa watanzania akili zinakuja
Malaika wa zamu kesho kitengo cha jua tukomoe
 
Ninavyojua (ruhusa kunikosoa) Ubunge maalum uliwekwa Kwa sababu maalum , in case Raisi akaona mtu anayefaa kumteua kuwa Waziri ambaye siyo mbunge atalazimika kumteua kuwa mbunge wa Viti maalum ili aweze kukidhi takwa la kikatiba , msimamizi mkuu wa shughuli za kiserikali Kwa wizara Fulani atalazimika kujibu hoja za wabunge kuhusu wizara hyo hivyo lazima awe sehemu ya Bunge ....

Tatizo ndo Hilo kuwa lengo kuu limepinduliwa na hzo nafasi basi imekuwa kichaka cha kulipana fadhila au kufanyiana demotion na hata kuchomeka vimada
 
Ninavyojua (ruhusa kunikosoa) Ubunge maalum uliwekwa Kwa sababu maalum , in case Raisi akaona mtu anayefaa kumteua kuwa Waziri ambaye siyo mbunge atalazimika kumteua kuwa mbunge wa Viti maalum ili aweze kukidhi takwa la kikatiba , msimamizi mkuu wa shughuli za kiserikali Kwa wizara Fulani atalazimika kujibu hoja za wabunge kuhusu wizara hyo hivyo lazima awe sehemu ya Bunge ....

Tatizo ndo Hilo kuwa lengo kuu limepinduliwa na hzo nafasi basi imekuwa kichaka cha kulipana fadhila au kufanyiana demotion na hata kuchomeka vimada
Umechanganya vitu 2 tofauti, kuna Wabunge wa Viti Maalum kila Mkoa wasiopungua 2, kwahyo kwa Mikoa 26 ya Tanzania Bara unazungumzia Wabunge zaidi ya 52 wasio na Majimbo, na wote hawa ni Wanawake ambao kwa uchache kabisa kila mmoja kila mwezi anakunja si chini ya 20mill,.
Wa pili ni Wabunge 10 wa Kuteuliwa na Rais, na wao wanakunja huo mshiko..ukijumlisha na kuzidisha kwa miaka 5 unakuta ni mabilioni ya hela wamelipwa watu bila kazi.

Hawa watu ni mzigo wa Zege kwa Taifa,
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)

2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.

3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.

4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi. Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenzi wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.

Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
Ni ujinga kuwa na wabunge ambao kigezo chao kuingia Bungeni ni jinsia zao
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)

2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.

3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.

4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi. Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenzi wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.

Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.


Tafuta ela

Ndio Tiba mzuri ya kuacha tabia ya wivu

Ww unaonea wivu hata wanawake duh
 
Umechanganya vitu 2 tofauti, kuna Wabunge wa Viti Maalum kila Mkoa wasiopungua 2, kwahyo kwa Mikoa 26 ya Tanzania Bara unazungumzia Wabunge zaidi ya 52 wasio na Majimbo, na wote hawa ni Wanawake ambao kwa uchache kabisa kila mmoja kila mwezi anakunja si chini ya 20mill,.
Wa pili ni Wabunge 10 wa Kuteuliwa na Rais, na wao wanakunja huo mshiko..ukijumlisha na kuzidisha kwa miaka 5 unakuta ni mabilioni ya hela wamelipwa watu bila kazi.

Hawa watu ni mzigo wa Zege kwa Taifa,
Sawa mkuu
 
Umeingea point sana shule hazina walimu na serikali inasema Haina pesa za kuajili hao walimu lakini wanateua watu wanaenda kujazana bungeni tu bila ya faida yoyote

Naunga mkono hoja hakuna sababu ya kuwa na wabunge wa viti maalumu wakati nchi yetu bado masikini
 
Wabunge wa viti maalum, wakuu wa Wilaya, wakuu wa Mikoa, Ma RAS, Ma DAS, nk wanalifilisi tu Taifa letu. Nafasi zao hazina tija yoyote ile kwa walipa kodi wa nchi hii.

I wish ile Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba, ingepitishwa kama ilivyo; ili vyeo vya upendeleo na vilivyopitwa na wakati kama hivi, vingefutiliwa mbali.
Nakubaliana na wewe mkuu sijui wakuu wa mikoa, na DAS watoke tuu wabaki wabunge wa kuchaguliwa tuu … kwanza itawafanya wafanye kazi (wabunge)..
 
Nakubaliana na wewe mkuu sijui wakuu wa mikoa, na DAS watoke tuu wabaki wabunge wa kuchaguliwa tuu … kwanza itawafanya wafanye kazi (wabunge)..
Utitiri wa Viongozi wenye marupuru ya kutupa kila Mkoa...katika nchi ambayo unaambiwa mwalimu mmoja anafundisha watoto 200 mkondo mmoja huku akilipwa kiduchu na kudanganywa kwa kupewa kishikwambi cha afunne bila bando. Hakuna vipaumbele kabisa
 
Back
Top Bottom