USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

huyo naye anaitaji kuwezeshwa?
kwanza ana majukumu mengi sana ya kidini na kibiashara (st mary's school) lakini Rais hakakosa watu waliojaa hii nchi wenye muda wa kutosha na mawazo mapya yenye uzalendo kwa nchi ila hakakuona huyo mama?
kuna siri nyingi sana zimejificha kwenye hivyo viti maalumu!!!!!
manufaa yake ni kwa watawala zaidi kuliko wananchi,
kuna mama nini mfahamu ndoa yake hiko kwenye matatizo kwa sababu ya kutumiwa wakati wa kutafuta hivyo viti, je huyo anaweza kuwa mwaminifu kwa taifa kweli kama kaisaliti ndoa yake?
siwe kumtaja kwa sababu naheshimu sana familia yake
lakini waliofanya hivyo na kupata hivyo viti ni wengi kama sio wote, wengine wamepata kwa sababu ya uhusiano wa karibu na viongozi au vigogo kwenye vyama vyao.

ni bora kuokoa hizo pesa kuliko kuzipoteza kwenye mambo yasiyo na msingi, hizi viti vifutwe.

zaidi ya asilimia 100 wamegawa uroda wakapata viti maalum,hadi leio ndio viburudisho dodoma.angalia akina getruda lwakatare anadai kuwaombea watu wawe na tabia njema je kwa nini waasiwaombee mafisadi wenzake waache wizi?anaombea ndoa za watu zidumu je yeye mbona hana mume ya kwake ilimshinda au nyani haoni kundule!
 
Afadhali tumeanza kusikika pia inabidi

1. Ruzuku kwa vyama vya siasa ifutwe.
2.Mawaziri wasiwe wabunge.
3. Mishahara ya wabunge kuwepo na chombo kingine cha ku-regulate, wasijipangie wenyewe.
4. Wakuu wa wilaya/mkoa wafutwe ama nao kama kuna haja wachaguliwe kwa kupigia kura na wananchi.
 
Kwa nini tunasema wanaonewa? Si kweli hata kidogo. Kwani tangu wameanza kupewa viti maalumu wameleta mabadiliko yapi ili wasiendelee kudharauliwa? Mie nadhani wanjidharaulisha wao wenyewe. Ingekuwa jambo la msingi kama wangeenda huko bungenoi na kuanza kusimamia kwa dhati haki za wanawake. Badala yake wanaishia kujipodoa tuuu na kuzidisha umbea mjengoni. Mie naunga mkono waondolewe kabisa kwani uwakilishi wao kwa wanawake wenzao hatuuoni hata kidogo
 
Dk. Kashilila aliwaponda wabunge wa viti maalumu akisema kundi hilo ni mzigo kwa taifa kwa kuwa hawana kazi wanayoifanya zaidi ya kukidhi maslahi ya kisiasa.
Dk. Kashilila alisema ni Tanzania pekee ndiyo yenye wabunge wa aina hiyo ikilinganishwa na nchi nyingine zinazofuata mfumo wa mabunge ya jumuiya ya madola (Commonwealth).

Mtendaji huyo wa Bunge alihoji sababu za kuwepo kwa kundi hilo la wabunge, wakati wabunge wa majimbo wapo. Wabunge 102 kati ya wabunge 350 waliopo bungeni hivi sasa ni wabunge wa viti maalumu.

“Wabunge wa majimbo wapo 239, ndiyo kusema kwamba katika eneo lote la Tanzania hakuna eneo lisilokuwa na uwakilishi bungeni. Ukisema kila mbunge wa jimbo aende jimboni kwake, utakuta nchi yote ipo covered (ina wabunge).
“Sasa unajiuliza kama hivyo ndivyo hawa wabunge wa viti maalumu wa kazi gani? Wanafanya kazi ipi special (maalumu) ambayo haifanywi na mbunge wa jimbo?” alihoji.
Alipoulizwa iwapo hoja yake hiyo inalenga kushauri wabunge wa viti maalumu wafutwe, Dk Kashilila alisema: “ Mimi siwezi kushauri moja kwa moja kwamba wabunge hawa wafutwe, ila tunaweza kufanya marekebisho tukaiga affirmative policy ya Uingereza.

“Tukatenga maeneo, kwamba katika kila majimbo kumi ya uchaguzi majimbo manne yawe kwa ajili ya wanawake kama hoja ni kuwa na wanawake bungeni. Hapo vyama visisimamishe wagombea wanaume katika majimbo hayo.
“Kwa kufanya hivyo tutajikuta tumewaondoa hawa wabunge wa viti maalumu ambao kimsingi mimi sioni kazi wanayofanya na badala yake tutakuwa na wanawake bungeni, lakini wanaotokana na majimbo,” alisema.

Wakizungumza na Mtanzania kwa nyakati tofauti, baadhi ya wabunge walitoa maoni tofauti kuhusiana na kauli hiyo, huku baadhi yao wakiipinga wazi wazi kauli hiyo.Naye Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya (CCM) alimshangaa Dk. Kashilila kwa kutoa mashambulizi makali dhidi ya wabunge wa viti maalumu, huku akisema wabunge hao ni watu wenye mchango mkubwa kwa jamii.

“Hayo ni maoni yake, lakini kusema wabunge wa viti maalumu ni mzigo kwa taifa mimi nadhani siyo sahihi. Wabunge wa viti maalumu wana mchango mkubwa kwa jamii na hata hao walioweka mfumo huu walijua wabunge wa viti maalumu wana mchango.
“Tunafanya shughuli nyingi za kijamii, tumekuwa tukisaidiana na wabunge wa majimbo katika mambo mbalimbali. Pale ambapo wabunge wa majimbo hawatimizi sisi tumekuwa tukiziba mapengo. Kwa hiyo si kweli kusema wabunge wa viti maalumu hawana kazi ya kufanya,” alisema


Maoni yangu:
tunapoteza zaidi ya bilioni 50 kwa miaka mitano kughalimia hawa wabunge wasio na tija kwa taifa wala kwa hao wanawake wanao wawakilisha nadhani tukifuata mfumo wa kiingereza kwa sababu tunafuta huo itakuwa makini zaidi, au kama vipi tuwe na utaratibu ambao wabunge wanatoka kajimboni tu na uwakilishi na ushawishi wao utaoneka wazi wazi, hizo pesa tunaweza kuzitumia kuleta maendeleo makubwa sana, na hawa wakuu wa mikoa na wilaya watolewe pia hakuna kitu cha maana wanachofanya.

SOURCE: MTANZANIA (
Wabunge kikaongoni)


Hawa kina viki kamata wanafanya nini kule bunge limekuwa sehemu ya kupeleka vilaza na watu wasio na weledi wa uongozi
 
hiyo red ni kweli inaweza kuwa tunaumizwa bure tu bila sababu. ila siko na hakika kwa nini wanapewa hizo hela wakati wanaweza kujiendesha kwa michango ya wanachama,

lakini kuanzia namba 2 na kuendelea huo ni mzigo kwa taifa haina maana, hata Ndg Ulimwengu alisema yeye aliwai kuwa mkuu wa wilaya lakini hajajua ni sifa zipi watu wanachaguliwa kuwa wakuu wa mkoa na wilaya, alisema una weza kukuta mtu wa darasa la saba na mwingine ana PHD wote ni wakuu wa wilaya, au copro na mayor general, na wengi ni wastaafu wa jeshi au wanasiasa,

kama nchi haita okoa pesa hatuta fika, leo nchini uingereza kuna CUT ya matumizi ya serikali, ili kulipa madeni serikali inayodaiwa na mabenki, na hayo madeni yalisababishwa na uongozi mbovu katika matumizi ya pesa , pamoja na sera ya serikali iliyopita

wandugu tuipiganie nchi yetu wanasiasa sio watu wa kuiachia nchi,
wabunge wetu ni wabinafsi sana, cha ajabu wao wanaoweza kujipangia mishahara wanayotaka, kwa nini? wao ni kina nani?
sisi tuliowapa dhamana hatujipangii!!!!!

Afadhali tumeanza kusikika pia inabidi

1. Ruzuku kwa vyama vya siasa ifutwe.
2.Mawaziri wasiwe wabunge.
3. Mishahara ya wabunge kuwepo na chombo kingine cha ku-regulate, wasijipangie wenyewe.
4. Wakuu wa wilaya/mkoa wafutwe ama nao kama kuna haja wachaguliwe kwa kupigia kura na wananchi.
 
hawa tuwabane mpaka kieleweke maana sasa hoja imeanza kupana nguvu kama kuna watu jikoni wanaona ili ni tatizo.
katibu wa bunge ni mtu muhimu sana, kama kafikia hatua nasema wazi ina maana alishawambia wakapinga, hapo alikuwa anawashitaki kwetu sisi wananchi ili tuhamue cha kufanya

hiyo red ni kweli inaweza kuwa tunaumizwa bure tu bila sababu. ila siko na hakika kwa nini wanapewa hizo hela wakati wanaweza kujiendesha kwa michango ya wanachama,

lakini kuanzia namba 2 na kuendelea huo ni mzigo kwa taifa haina maana, hata Ndg Ulimwengu alisema yeye aliwai kuwa mkuu wa wilaya lakini hajajua ni sifa zipi watu wanachaguliwa kuwa wakuu wa mkoa na wilaya, alisema una weza kukuta mtu wa darasa la saba na mwingine ana PHD wote ni wakuu wa wilaya, au copro na mayor general, na wengi ni wastaafu wa jeshi au wanasiasa,

kama nchi haita okoa pesa hatuta fika, leo nchini uingereza kuna CUT ya matumizi ya serikali, ili kulipa madeni serikali inayodaiwa na mabenki, na hayo madeni yalisababishwa na uongozi mbovu katika matumizi ya pesa , pamoja na sera ya serikali iliyopita

wandugu tuipiganie nchi yetu wanasiasa sio watu wa kuiachia nchi,
wabunge wetu ni wabinafsi sana, cha ajabu wao wanaoweza kujipangia mishahara wanayotaka, kwa nini? wao ni kina nani?
sisi tuliowapa dhamana hatujipangii!!!!!
 
Najua jf ina wanachama/mashabiki wengi wa CDM,mimi ni mwanachama wa CCM ila wakipinga hili,........
 
Kwa nchi zetu za africa wanawake bado wanadharaulika,mi naona ni jambo jema tu wanawake kupewa hivi viti maalum,ili na wao watoe mchango kwenye jamii, ila sasa malengo yanatumika vibaya sijui mchumba wa fulani, mama mkwe, marafiki.

Hivi mtu mpaka anaitwa Dr, Prof n.k naye anahitaji viti maalumu? mfano DR Maua Daftar, DR Rwakatare n.k Viti maalumu ni upuuzi mwingine unaoteketeza hela ya mlala hoi.Wengine wamekuwa na wabunge wa viti maalumu kwa miaka 15. NI UPUUZI HUU.

Hawana kazi zaidi ya kujipendekeza kwa viongozi wa chama ili wapate upendeleo. Tanzania ya leo wapiga kura wameelimika na kama mwanamke ni Jasiri, ana sifa atapigiwa kura tu. Mifano ni mingi Kama Pof Tibaijuka, n.k

Hii tabia ya kukidhi matakwa ya kisiasa bila kuangalia tija ndiyo inayo fanya ZANZIBAR kuwa na wabunge wawili kila jimbo na hawa wote wanatafuna pesa ya mlala hoi wakati kazi wanayoifanya haipo zaidi ya kupiga makofi na kusubiri posho
 
Wabunge viti maalum ni kwa ajili ya kazi maalum hasa wakati wa vikao vya bunge, na mnaona ni watu wa aina gani wanaopewa nafasi hizo.
 
Niliposikia viti maalum kwa mala ya kwanza,nilifikiri kuwa labda ni watu wa makundi maalum kama walemavu,wanafunzi (primary-u'vasity)Wazee,Wanawake,watoto nk,na kwa kila kundi nilidhani linawakilishwa na Mbunge mmojammoja.Kumbe mawazo yangu yalikuwakinyume kabisa.Viti maalumu ni wanawake tu....duh nilijaribu kuangalia umaalum huo nikashika tama!!!!
 
Kwa kweli waondolewe kabisa! Mimi sioni wananisaidiaje kama mwanamke! Mbona maofisini kunashindana katika interview ukishinda unaajiriwa si tungepewa viti maalum vya ukurugenzi na umeneja! Kuendekezana tu! Mimi naamini wanawake tunaweza bila kupendelewa pendelewa!
ONDOA VITI MAALUM! ONDOA VITI MAALUM! Tunataka the like of Halima Mdee!
 
wanawake kama hawataki kujiwezeshe wenyewe kama wenzetu wa nchi za ulaya, hawatafika kokote,
wao wapiganie TUME HURU ya uchaguzi kupitia TAMWA na tukiwa na tume huru kila mtu anaweza kushinda kwa haki na usawa. au TAMWA WAPEWE VITI KUMI, NA VIGOMBEWE KITAIFA KWA KUFUATA VIGEZO, nawa wabunge wa aina hii wajumbe wa TAMWA wapewe uwezi wa kuwa ondoa muda wowote kama hawafai,

magari wanayopewa yaende TAMWA pamoja na posho zao kwa ajili ya kusomesha watoto wa kike wasio jiweze, wao wabaki na mishahara tu,
AU liunde shirikisho la wanawake Tanzania lisilofungana na CHAMA chochote cha siasa wao ndio wapewe hayo majukumu hapo juu,

na kama rais anataka kuteuwa wanawake katika nafsi mbalimbali hazitangazi hizo nafsi na wanawake wenye uwezo wakazigombe.

mimi naona hiyo italeta unafuu kwa taifa na mafanikio kwa wanawake wote na sio wajanja wachache kama hivyo sasa.

Hivi mtu mpaka anaitwa Dr, Prof n.k naye anahitaji viti maalumu? mfano DR Maua Daftar, DR Rwakatare n.k Viti maalumu ni upuuzi mwingine unaoteketeza hela ya mlala hoi.Wengine wamekuwa na wabunge wa viti maalumu kwa miaka 15. NI UPUUZI HUU.

Hawana kazi zaidi ya kujipendekeza kwa viongozi wa chama ili wapate upendeleo. Tanzania ya leo wapiga kura wameelimika na kama mwanamke ni Jasiri, ana sifa atapigiwa kura tu. Mifano ni mingi Kama Pof Tibaijuka, n.k

Hii tabia ya kukidhi matakwa ya kisiasa bila kuangalia tija ndiyo inayo fanya ZANZIBAR kuwa na wabunge wawili kila jimbo na hawa wote wanatafuna pesa ya mlala hoi wakati kazi wanayoifanya haipo zaidi ya kupiga makofi na kusubiri posho
 
Viti maalum ni uharibifu wa hela tu na ni mzigo mzito kwa taifa maskini wa kutupwa kama Tz. Bunge lijumuishe MPs amabao wamechaguliwa na wananchi tu!
Ni kupeana ulaji usiokuwa na tija yoyote.
Ukweli unauma
 
Mie ningeona wangetenga majimbo ambayo kuwe na rotation ya ubunge na pia mpambano uwe kati ya wanawake. Wabunge wawe wa majimbo tu ili kuliondolea taifa mzigo. Naunga hoja.
 
Hivi hiyo mishahara wanayolipwa ni mikubwa si afadhali hata wangeongezewa walimu wakainua kiwango cha elimu kwa kufanya kazi kwa bidii.
 
Futa kabisa hivi viti maalum ni mzigo kwa walipa kodi

Miaka 5 ya viti maalum wote gharama zao unajenga shule ya msingi ndogo

Vinawasaidia mafataki wa kisiasa tu!!
 
ni kweli hayo ndio mambo tunatakiwa kulinga wakati kama huu tunapojenga taifa
sio kutumbua hela nyote kwenye siasa
wapingwe kozi waende majimbo,
mbona alima kawaweza lakini
mchungaji Rwekatare anataka kuwezeshwa, mbona kuubilia anaweza

Hivi hiyo mishahara wanayolipwa ni mikubwa si afadhali hata wangeongezewa walimu wakainua kiwango cha elimu kwa kufanya kazi kwa bidii.
 
hiyo red ni kweli inaweza kuwa tunaumizwa bure tu bila sababu. ila siko na hakika kwa nini wanapewa hizo hela wakati wanaweza kujiendesha kwa michango ya wanachama,

lakini kuanzia namba 2 na kuendelea huo ni mzigo kwa taifa haina maana, hata Ndg Ulimwengu alisema yeye aliwai kuwa mkuu wa wilaya lakini hajajua ni sifa zipi watu wanachaguliwa kuwa wakuu wa mkoa na wilaya, alisema una weza kukuta mtu wa darasa la saba na mwingine ana PHD wote ni wakuu wa wilaya, au copro na mayor general, na wengi ni wastaafu wa jeshi au wanasiasa,

kama nchi haita okoa pesa hatuta fika, leo nchini uingereza kuna CUT ya matumizi ya serikali, ili kulipa madeni serikali inayodaiwa na mabenki, na hayo madeni yalisababishwa na uongozi mbovu katika matumizi ya pesa , pamoja na sera ya serikali iliyopita

wandugu tuipiganie nchi yetu wanasiasa sio watu wa kuiachia nchi,
wabunge wetu ni wabinafsi sana, cha ajabu wao wanaoweza kujipangia mishahara wanayotaka, kwa nini? wao ni kina nani?
sisi tuliowapa dhamana hatujipangii!!!!!

Ndio mkuu

Na hili la ruzuku ndo maana hatupati watu wenye nia thabiti, viongozi wanakuwa wame focus zaidi kwenye ruzuku, ukiona viongozi wa chama wanavamia mahala kuhakikisha jimbo linakuwa mikononi mwa chama fulani lengo lake kuu ni hizo ruzuku, na zile zingine zinazopelekwa ktk kanseli.

Watu arusha wameuana si kwa sababu ya UMEA ni kwa sababu ya ku-control pesa za jiji. Mimi naona ili kudhibiti matumizi ya serikali lazima sehemu zote zenye bajeti na zinapewa fungu wanasiasa wa aina yoyote wasihusike bali kila sehemu kuwe na wataalamu husika tu.

Ruzuku futa, futa wabunge viti maalum na mengine mengi.

Eti madiwani ndo wanapanga bajeti ya halmashauri. teh teh teh teh sicheki bali naguna mhhhhhhhh
 
mkuu shukurani kwa mawazo yako na hoja yako kwenye hii mada,
lakini naomba tusipindishi ukweli wa yaliyotokea arusha, kwanza arusha serikali ilivunja sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa,
lakini pia ruzuku ya serikali za mitaa hazina manufaa yoyote kwa chama ila kwa wana halimashauri, na hapo ndipo ccm inapokosea kung'ang'ani umeya kila miji ili kujiwezesha kichama,
sio busara kukana ukweli kwamba polisi wetu wanatumika kuua watu wanaodai haki zao, kwa kisingizio ni chama furahi. kuna siku wataua ndugu yako
ruzuku nilizoongelea mimi ni zile zinazokwenda kila mwezi katika kila chama, kama zinatumika kwenye chama kwa manufaa ya kukuza demokrasi nchi bado hilo sio tatizo sana maana DEMOKRASI yetu bado ni changa na ili ni tatzi kubwa.

mimi naomba nikusihi kuhacha suhala la arusha pembeni nadhani ukweli wake ni tofauti sana na hii hoja. hayo ni maji taka.

Ndio mkuu

Na hili la ruzuku ndo maana hatupati watu wenye nia thabiti, viongozi wanakuwa wame focus zaidi kwenye ruzuku, ukiona viongozi wa chama wanavamia mahala kuhakikisha jimbo linakuwa mikononi mwa chama fulani lengo lake kuu ni hizo ruzuku, na zile zingine zinazopelekwa ktk kanseli.

Watu arusha wameuana si kwa sababu ya UMEA ni kwa sababu ya ku-control pesa za jiji. Mimi naona ili kudhibiti matumizi ya serikali lazima sehemu zote zenye bajeti na zinapewa fungu wanasiasa wa aina yoyote wasihusike bali kila sehemu kuwe na wataalamu husika tu.

Ruzuku futa, futa wabunge viti maalum na mengine mengi.

Eti madiwani ndo wanapanga bajeti ya halmashauri. teh teh teh teh sicheki bali naguna mhhhhhhhh
 
Back
Top Bottom