USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

Hivyo viti maalum ni kwa ajili ya wake wa wakubwa,mahawara zao,vimada wao,mashoga zao n.k
 
Na Maajabu ya hapa Tz, hakuna hata Mwanasiasa mmoja wa chama chochote anayeongelea hili, all politicians they know, we know, wapo kimya, ndio ujue these politicians they preach maendeleo utafikiri wao ndio maendeleo yenyewe, they are croocks in short, huu ni uwizi wa wazi, wote wapo kimya, utasikia Maendeleoooooo as if themselves ndio maendeleo, Nataka
waseme sasa Viti maalum ni Ufisadi, lack of patriotism ni ugonjwa mkubwa kwa taifa. Have a good one, i am done.
 
wana jf. naomba kueleweshwa kuhusu suala zima la kuwa na wabunge wa viti maalumu bungeni. je uwepo wao ni kwa mujibu wa katiba ya nchi? au kanuni za bunge? au kanuni na katiba ya ccm.? kifupi wao ni kama wanatumika kuongeza luzuku kwa vyama na kuongeza matumizi kwa serikali na kibaya zaidi wanatumika kupitisha mambo yasiyo na maslahi kwa taifa kwa kukitetea chama zaidi kwa kuitikia ndio bila kujua madhara kwa taifa.ikiwa kila jimbo lina mbunge wake aliyechaguliwa na watu ili awawakilishe!hawa wanamwakilisha nani? km sio kushabikia na kupitisha mambo kwa maslahi ya chama?
 
wana jf. naomba kueleweshwa kuhusu suala zima la kuwa na wabunge wa viti maalumu bungeni. je uwepo wao ni kwa mujibu wa katiba ya nchi? au kanuni za bunge? au kanuni na katiba ya ccm.? kifupi wao ni kama wanatumika kuongeza luzuku kwa vyama na kuongeza matumizi kwa serikali na kibaya zaidi wanatumika kupitisha mambo yasiyo na maslahi kwa taifa kwa kukitetea chama zaidi kwa kuitikia ndio bila kujua madhara kwa taifa.ikiwa kila jimbo lina mbunge wake aliyechaguliwa na watu ili awawakilishe!hawa wanamwakilisha nani? km sio kushabikia na kupitisha mambo kwa maslahi ya chama?

Wabunge wa kuteuliwa wa vyama vyote ni mzigo mkubwa kwa taifa maskini kama hili na hawana tija wala faida yoyote zaidi ya kupeana ulaji tu.
 
hapa nime copy kauli ya nape kwenye mtandao wa facebook.



WalIodai barua za watuhumiwa wa afisadi zisingetoka...... Aibu kwao sasa.... Ooh hawawezi kutoa....haya sasa








Iliongezwa saa 3 zilizopita · ·
  • Watu Watu 14 wamependezwa na hii.
  • haya ni baadhi ya maoni ya watu waliochangia
    • http://www.facebook.com/profile.php?id=100000944989509 Edward Mollel mmmh..!!! mheshimiwa aibu kwao tena..!!!daaah.!!hii imekaaje ndugu.? sio kwamba wao walikuwa wanatoa changamoto katika kazi...kwa maendeleo ya chama na taifa kwa ujumla....!!!??? sijui lakini wewe unamchukuliaje mwanachama ambaye yupo huru kuhoji au kutoa hisia juu ya mtazamo wake kwa chama na maendeleo ya taifa kwa ujumla..!!!??? Masaa 3 yaliyopita ·

    • Keneth Mkuchu kweli mnajivua gamba, lakn hali haitakuwa
<LI class="uiUfiComment comment_518836 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=500927718 Emmanuel N.M.Manase Vita hii mnapigana wachache kwa nini?ileteni katika sura ya kichama zaidi!vita iwe ya chama kizima!UVCCM wako wapi? Masaa 2 yaliyopita · · Mtu 1Inapakiwa...


<LI class="uiUfiComment comment_518846 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=649530740 Kimweli Mtonga Uvccm wafanyeje emanuel? Beside hii si vita ya wengi maana ni maamuzi ya vikao! Masaa 2 yaliyopita ·


<LI class="uiUfiComment comment_518850 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=100000500786047 John Ibrahim Nape wewe ni kiongozi usitoa tungo tata. zimetoka lini, kwa hiyo tutegemee mapacha watatu kukosa chama siku chache zijazo??? Masaa 2 yaliyopita ·


<LI class="uiUfiComment comment_518851 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/rwebangira Bernard Rwebangira ni za kuwafukuza chaman au kuwaomba wajitoe au kuwapongeza? na ni kina nani hasa? all I can see your still beating about the bush, we don't know who are they, i think thats the missing link here mkuu. Masaa 2 yaliyopita · · Mtu 1Felix Mafuru Zephrine amependezwa na hii.


<LI class="uiUfiComment comment_518852 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=100000500786047 John Ibrahim Nape CDM hutaja majina hawamumunyi maneno, wewe unarushwa mawe hovyo halengwi mtu. Na Mukama ndiye aliyesema hafukuzwi mtu sasa wewe na Mukama nani bosi wa mwenzeke? Masaa 2 yaliyopita · · Mtu 1Inapakiwa...


<LI class="uiUfiComment comment_518855 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/Dr.higash Robert Lyimo Aibu kwao! Nani? Aibu kwenu mnaolazimisha kuaminiwa wkt hamtekelezi mnachosema, acha ufundi wa maneno! Hamuwez kuwatoa mafisadi na hili liko wazi. Na wala sitapoteza muda kufuatilia kauli zako mana huna ishu ya maana. Masaa 2 yaliyopita · · watu 2Inapakiwa...


<LI class="uiUfiComment comment_518857 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=100001477608436 Mh Said Sambala Nape. . UNAWEZA KUWADANGANYA WATU KWA WAKATI FULANI LAKINI KAMWE HUWEZI KUWADANGANYA MDA WOTE. . SEMA KWELI BARUA ZIMETOLEWA HAZIJATOLEWA. . . Tumechoka na maigizo. . . Masaa 2 yaliyopita · · watu 2Watu Watu 2 wamependezwa na hii.


<LI class="uiUfiComment comment_518858 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=100001477608436 Mh Said Sambala Nape. . UNAWEZA KUWADANGANYA WATU KWA WAKATI FULANI LAKINI KAMWE HUWEZI KUWADANGANYA MDA WOTE. . SEMA KWELI BARUA ZIMETOLEWA HAZIJATOLEWA. . . Tumechoka na maigizo. . . Masaa 2 yaliyopita · · watu 4Watu Watu 4 wamependezwa na hii.


<LI class="uiUfiComment comment_518862 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=100001477608436 Mh Said Sambala &#8206;@Lyomo hata mimi nakuunga mkono kaka tena ni zaidi ya Commeds. . . Itafika pahala watu watamchoka NAPE na asisubir kuchokwa. . . Na sisi VIJANA WENZAKE. . . Ambao tulimwamini. . kama saa moja iliyopita · · watu 2Inapakiwa...


<LI class="uiUfiComment comment_518865 ufiItem ufiItem"> Husna Kidesu good,good,good!@NAPE kama saa moja iliyopita ·


<LI class="uiUfiComment comment_518867 ufiItem ufiItem"> Adolph Milunga Tatizo la Bw. Nape huwa ha-comment hoja aliyoianzisha, hii inamaanisha sote sisi ni vikaragosi, hamjambo vikaragosi wenzangu? kama saa moja iliyopita · · watu 2Watu Watu 2 wamependezwa na hii.


<LI class="uiUfiComment comment_518868 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=100000461712228 Wilkntony Peter Huyu nape ajivue gamba, mana nape ni joka la kibisa kama saa moja iliyopita · · Mtu 1Inapakiwa...


<LI class="uiUfiComment comment_518871 ufiItem ufiItem">http://www.facebook.com/profile.php?id=100002137134131 Abdul Rusaku Omary ni vema utujuze ni barua za nn,kwani inaweza kuwa ni barua za kuwaomba msamaha na si vngnevyo.mmewapa akina
 
Mbaya zaidi ni pale baadhi ya vyama kuchaguana kwa kujuana, mwanangu, mdogo wangu, mke wangu, dada yangu, demu wangu nk. Kinachosikitisha zaidi kuna vyama vimefikia mahali vimeondoa hata ule mfumo wanawake kuchaguana na badala yake vimeunda KAMATI MAALUM ya kupick wabunge wa V/Maalum. Swali: Je; hawa wamuwakilisha nani?Je; wanawakilisha panneli iliyowateua, chama au Wananchi? Hakika hiki ni kichaka cha kuhidhia mademu, watoto, madada na mahawara za wakubwa.
 
Amegeuka kuwa Mzee wa Mipasho? kama anataka kweli kushinda vita dhidi ya ufisadi awe serious kidogo
 
Anaimba taarabu au!?,nilipita huko facebook nikakuta kweli madudu yake
 
ha ha ha ha ah ah ah haaa ni nape kweli huyo au wamehack account yake?

kama ni yeye basi kashapotea huyo dogo
 
Haa! Huyu dogo naye vp, sa mbona anaanza mipasho ya kimakamba makamba? I thout elimu yake imemsaidia. Ama kweli CCM wote wanafanana!
 
Viti vya bunge letu ni vya kizembe ukilinganisha na mabunge mengi ya nchi za Commonwealth, viti vinavyozunguka vina-entertain usingizi kwa wabunge wengi ni heri vingebaki kuwa vya mabench kama vilivyo vya Karimjee Hall.

Tanzania-Parliament.jpg
images


CUF+ndani.JPG
images

Viti vya Bunge la Tanzania

11720-kenyan-members-of-parliament.jpg

Viti vya Bunge la Kenya

06_11_tpahst.jpg

Viti vya Bunge la Uganda

house-of-commons546567876.jpg

Viti vya Bunge la UK
 
i wonder nani ali-design hili lipya. Limekaa ki-stage zaidi ya a debating chamber...
 
ni kweli aisee, ukiangalie bunge la UK dhahili unaona wabunge walivyokaa wako ktk mkao wa kikazi zaidi. Bunge letu inaonekana wabunge wamelilax na maana akili zao zinawatuma kupiga makofi kuunga mkono hoja zisizo na msingi
 
Kwangu mimi ni mawili.
Matumizi ya rangi za bendera ya taifa kwenye carpet nadhani sio sahihi. Inakuwaje wabunge wanakanyaga bendera ya taifa? wao wapo juu ya sheria? kukosa heshma.

Tatizo lingine ni Interior decor. Sijui ni nani aliyechagua mpangilio wa rangi maana haziendani kabisa. Viti red, carpet - rangi ya bendera ya taifa. Yaani ndani kumekuwa kama x'mas tree! bad taste.
 
i wonder nani ali-design hili lipya. Limekaa ki-stage zaidi ya a debating chamber...
Utadhani jukwaa la Concert it is not designed for debate sessions ndio maana wabunge wengi wanaishia kulala.
 
Utadhani jukwaa la Concert it is not designed for debate sessions ndio maana wabunge wengi wanaishia kulala.

I have a different view though. Naona hata design ikiwa tofauti wataendelea kulala. Nafikiri kulala kunatokana na kutoelewa au kutojali kinachozungumziwa. Hii inatokea hata darasani kama kitu anachozungumza mwalimu hukielewi na hujishughulishi kuelewa/ au hukukifanyia assignment before, utakua bored na utaanza kusinzia kama sio kuwaza mambo mengine nje ya topic. Kubadili design nakubaliana na wengine waliosema (kuweka mazingira ya debate) hii itawasaidia wale wabunge wanaojituma/wenye nia ya kweli. However, wanaolala wataendelea kulala kwasababu hawana cha ku-debate. Hawajiandai/kusoma makrabasha yao kabla ya vikao. It could also be that they real don't care; wao wana-show up ili tusilalamike hawakuwepo. Niseme tu pia matatizo ya afya pia yanachangia mtu kusinzia sinzia kila wakati.
 
Back
Top Bottom