Hallow Bill....this is definitely true..we need to get rid of this...kuna wabunge wa viti maalum wanamaliza miaka mitano ..hawajapata kufunua midomo...Yao...inanuka tu...Kama Kutakuwa na haja ya kuwa na wabunge wawili wanawake kila mkoa wapigiwe kura kwenye uchaguzi mkuu...
Process yakuwapata hao wawili ndiyo itakuwa tatizo maana hapo ndiyo nguvu ya madaraka na pesa ya hao hao wanaume ndiyo itakayo determine nani awepo kupigiwa kura. Hilo lakupigiwa kura siku ya uchaguzi ni lamuhimu sana ila process ya kuwapata nani wakupigiwa kura inahitaji consesus ya kitaifa zaidi kuliko kichama. Kuna njia nyingi sana za kuja na representation ya kitaifa kwa wanawake kama dhamira itakuwa kuwakilisha wanawake lakini kama ni polygamism ili ku strengthen nguvu za hao hao wanaume mabaazazi basi itakuwa kama inavyotokea kwa mambo ya katiba sasa hivi. Na huu wa sasa ni mfumo dume kwa asilimia 100.
Gender is not about sex (fe/male) only is about the disadvantaged; yaani kutokana na income, age, education, location i.e rural vs urban and many other independ variables lakini katika yote sex inakuwa confounding factor so katika hili tunatakiwa ku-adjust the equation tu yakuhakikisha katika hilo wanawake ndiyo most disadavantaged when you bring the two sex in these categories of independent variables.
Ukiangalia katika hilo group lote lililopo huko bungeni ni % ngapi wana represent women-rural; Lowly educated; low in income kwa mfano...Je kwa age ni wangapi labda wana represent akina mama wazee wasiokuwa na pension kijijini; vijana wa watoto wasio na kipato kikubwa etc etc..Utaona wengi (% kubwa, najua wengine watakuja na jina moja ku-justify their evil acts) ni watoto wa vigogo ndiyo wawakilishi wa vijana; wake za viongozi na wafanya biashara kuwakilisha miradi na position za male-linked relatives na wachache saaanaaa ndiyo true representative wa disadvantaged group.
Sipendi kutaja majina lakini acha kwahili niwe mkweli wa ninayo yafikiria kama raia (Personal views)...
Hivi Mh. Anna Abdallah kwa mfano anawakilisha kundi lawakina mama gani disadvantaged? Hajawahi kuwa na shida ya ajira wala pension, hajawahi kosa house girl nyumbani kwake wala pesa ya kununua dawa ya malaria kwaajili ya mtoto wake; amekuwa kiongozi tangu mm sijazaliwa so alihitaji afirmative measures gani ili aingie bungeni? Huyu tayari alikuwa na nafasi nzuri yaku-represent women at various capacities alizowahi kuwa nazo. Huyu ni mmoja kati ya wengi huko katika CCM
Ama Lucy Owenya kwa mfano anawakilisha vijana gani hao wakitanzania waliokuwa disadvantage; anajua wapi maswala yao? Alishawahi omba ajira akajua maana ya kukosa huku ukiwa tegemeo pekee kule kijijini kwenu, alishawahi kukosa scholarship kwamfano kwa wakati mwafaka ukapata wakati umeolewa huku umeacha watoto wako wachanga wengine kwakukosa malezi ya mama kufa eti kwasababu mama imebidi akasome ili kulinda ajira if for example ni mwalimu chuo kiku? Huyu tayari ana nafasi ya ku-represent vijana wenzake kwa nafasi familia yake iliyo mpatia. Baba kuwa mwakilishi Bungeni tena kwa ideology inayo fanana na yake na pia katika biashara zake. Angeweza saidia vijana wengi sana kuwa enterprenuers na kuwasaidia kuanzisha miradi mingi sana hapo hapo anako represent sasa hivi maana baba hapo politically ana opportunity hiyo angeweza kumpatia hiyo audiance bila kutumia public funds or office kwa manufaa binafsi bali manufaa ya vijana wakitanzania. Na huyu ni mmoja kati ya wengi (CDM).
Hawa siyo kwamba niwabaya no and absolutely nooo! Ni kwasababu tu mazingira waliyokulia hayawapi uhalali wa kuwa true representative ya hiyo disadvantaged group ndiyo maana hizo group hazipati unafuu wowote wa kimaslahi kwa upande wa enacted policies za nchi.
Hao nilio watumia kama mfano wanisamehe wala wasi personerlize for thats how I see them in my eyes na thats what I can say before them if I am to be asked in their presence.