Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Mwaka wa tisa kitu hakina umeme wala barabara ya kuunganisha na Ethiopia na South Sudan!


This project was expected to be ready in 2016!


More of white elephant projects (Isiolo Resort City) from Kibaki era


CC: komora096

Nani amekuambia Lapsset haijaunganishwa na stima? Ndio maana nimekuambia wewe ni mjinga.
 
Hilo mbona ni jibu rahisi sana, kwanza utakuwa hujafika Kenya ndiyo maana unauliza kama ungekuwa umefika Kenya ukaangalia viwanda walivyo navyo ndiyo ungepata jibu haraka tu. Kiufupi ni kwamba kati ya shehena yote inayoingi Kenya ni asilimia ndogo sana inapita kwenye nchi Jirani hasa Uganda ambayo haizidi 24% shehena iliyobaki yote inatumiwa ndani ya Kenya. Unajiuliza kwanini jibu ni kwamba Kenya inavyo viwanda vingi sana vya ndani ya nchi ndiyo sababu.

Kwa takwimu shehena inayoingizwa Kenya kupitia mombasa ni mara mbili ya shehena inayoingizwa tanzania kupitia Dar es Salaam unaweza kusema basi kwavile tanzania kuna Bandari zingine za tanga na mtwara Hiyo siyo sababu kwakuwa shehena inayoingizwa Bandari ya Dar es Salaam peke yake ni 95% ya shehena yote inayoingizwa nchini.

Hivyo kwa kifupi Kenya Uchumi wao ni mkubwa hata ukiangalia bajeti yao ya mwaka na ya tanzania bajeti yao ni kubwa japo sisi population yetu kubwa kuliko wao. Kama isingekuwa ufisadi Kenya ilitakiwa kuwa mbali sana kimaendeleo kulingana na viwanda ilivyonanvyo.
Asante kwa kuongea ukweli ila utapigwa na Watanzania wenzako ambao hawataki kuambiwa ukweli.
 
Mpuuze hyo, yeye anafikiria miradi mikubwa ni mwendo wa kuzindua na kuanza kazi..
Miradi km hyo ni kawaida sana kuchelewa chelewa
Ninyi wote wapumbavu , sasa kama munalijua hilo kwanini kilacku munasema humu kawaida ya Watanzania kazi yao kuzindua tu mradi wenyewe kila cku kuzungumzia bomba la mafuta leo Kwa kua upande wenu mumebadilika au mradi wa bomba la mafuta ni mradi mdogo?
 
Ninyi wote wapumbavu , sasa kama munalijua hilo kwanini kilacku munasema humu kawaida ya Watanzania kazi yao kuzindua tu mradi wenyewe kila cku kuzungumzia bomba la mafuta leo Kwa kua upande wenu mumebadilika au mradi wa bomba la mafuta ni mradi mdogo?
Tofauti ni kuwa mradi wenu wa bomba haujaanza kujengwa licha ya nyie kupiga domo miaka mitatu mfululizo. Lamu port inajengwa na imekamilika kwa zaidi ya asilimia sitini
 
Tofauti ni kuwa mradi wenu wa bomba haujaanza kujengwa licha ya nyie kupiga domo miaka mitatu mfululizo. Lamu port inajengwa na imekamilika kwa zaidi ya asilimia sitini
Kwani boma la mafuta jiwe la msingi c limewekwa mwaka jana tu hapo pia juo mradi wenu sio mkubwa kama munavyodai ni wakawaida tu
 
Tofauti ni kuwa mradi wenu wa bomba haujaanza kujengwa licha ya nyie kupiga domo miaka mitatu mfululizo. Lamu port inajengwa na imekamilika kwa zaidi ya asilimia sitini
Pia uelewe sababu ya kuchelewa mradi wa bomba la mafuta ni mvutano wa kimaslai Kati ya TZ na UG sasa mradi wenu unamvutano na nani mpaka umekua wa miaka 4 wakati mradi wa bandari ya Mtwara mwaka tu tena mkubwa kuliko huo.
 
Ni wazi kwamba kwa muda mrefu tumekua tukilinganisha na kutunishiana misuli kati ya Kenya na Tanzania kwa kulinganisha maeneo mbalimbali ya kimaendeleo, kisiasa, kijamii na kimichezo.

Sasa hivi kila mmoja wetu hapa JF na nje ya JF raia wa hizi nchi mbili anayefuatilia kwa makini yanayotokea, tayari amepata jibu la huu mnyukano unavyoelekea, na hali ilivyo kati ya Kenya na Tanzania.

Binadamu tumeumbwa na mapungufu mengi, hasa sisi waafrika tumeumbwa na mapungufu ya kutokubali kushindwa na kukiri hadharani, ndio sababu ukiachana na Nigeria, Ghana na South Africa, Hakuna nchi ambako walioshindwa kiti cha urais wamekiri na kuwapongeza walioshinda, japo baadae wanakiri kwamba kweli walishindwa.

Ombi langu kwasasa, ni vizuri kupunguza malumbano ya kulinganisha kwa lengo la kishabiki ili kuonekana upande mmoja ni bora kuliko upande mwingine, badala yake kujaribu kuonyesha yale ambayo tunahisi upande wa pili unafanya vizuri ili upande mwengine uweze kujifunza.

Mimi binafsi ningependa sana kujua na kujifunza kwanini bandari ya Mombasa inapata na kupokea mizigo mingi kuliko bandari ya Dar es salaam wakati bandari ya Dar es salaam inahudumia nchi nyingi kuliko Mombasa?

Karibuni wadau kuchangia?
The Simple reason is because Mombasa port serves Kenya and Dar port serves TZ.....The fact is Kenya has a bigger GDP than TZ!!
 
Kwani boma la mafuta jiwe la msingi c limewekwa mwaka jana tu hapo pia juo mradi wenu sio mkubwa kama munavyodai ni wakawaida tu
Ni mradi mkubwa sana. Lamu port ndio itaweza kukaribisha meli aina ya post-panamax hapa Africa Mashariki. Post-panamax ni kubwa kushinda panamax ambayo ulikuwa anatajataja jana
 
Pia uelewe sababu ya kuchelewa mradi wa bomba la mafuta ni mvutano wa kimaslai Kati ya TZ na UG sasa mradi wenu unamvutano na nani mpaka umekua wa miaka 4 wakati mradi wa bandari ya Mtwara mwaka tu tena mkubwa kuliko huo.
Wacha kuongea pumba. Eti Mtwara ni kubwa kushinda Lamu port? Una ushahidi?
 
Pia uelewe sababu ya kuchelewa mradi wa bomba la mafuta ni mvutano wa kimaslai Kati ya TZ na UG sasa mradi wenu unamvutano na nani mpaka umekua wa miaka 4 wakati mradi wa bandari ya Mtwara mwaka tu tena mkubwa kuliko huo.
Hawa wajinga wa kikunya huwa ikiwa kwao ni sawa huku wakitumia visingizio lukuki ila kwa Tanzania sio sawa [emoji23][emoji23][emoji23]

Hifadhi hizo comments ili siku wakitumia ujinga uzitumie kuwanyorosha kwa kutumia hizo screen shot.
 
Kwani ukubwa unalingana na pesa au inategemea mita mraba?
Mradi mkubwa unahitaji pesa nyingi za uwekezaji kwahiyo hata mchakato wa upatikanaji wa hizo pesa , makubaliano, umakini vyote vinakua Kwa hali ya juu tofauti na kimradi chenu cha $250 million eti miaka minne harafu munajitapa sababu mradi mkubwa kwahiyo huu mradi wa $ 3.5billion tena Kwa huko kwenu hata kama ungejengwa Kwa miaka 15 bado mungeona Sawa tu na kutetea sababu mradi mkubwa
 
Unagharimu us$ ngapi ?
Kumbuka Mtwara port ilikuwapo na current facility is having a capacity of over 600,000 tons of cargo kinachofanyika ni expansion n dredging! I won't be surprised if bigger than Lamu's three berths expected to handle 1 mln tons of cargo! Tatizo mna mdomo mkubwa!


The second yard, currently under construction, measures 79,000 square metres. Upon completion of the project next March, Mtwara Port will increase its cargo handling capacity from 400,000 tonnes per annum to 1,000,000 tonnes.

Mtwara Port, which is described as a natural harbour, is a strategic port for the country given its geographical position.

An ongoing expansion work is one of the measures by the government to implement a number of projects under Mtwara Development Corridor.

Mtwara Port Engineer Norbert Kalembwe said the construction of the second berth started in May 2017 under the 'Design and Build' approach.

According to the port engineer, preparations of all necessary construction materials are nearing completion. Currently, Mtwara Port plays a significant role in ferrying cashew nuts abroad, including Vietnam.

Cashew nut, a cash earning crop for the southerners, is one of the dependable forex earners for the country. Cement produced at Dangote Cement Plant has been reaching markets in Comoro, Zanzibar and some parts in SADC region through Mtwara Port.

A fertiliser plant to be established in Lindi will also depend on the port for the product to reach markets in some parts in the southern region and beyond.



Read the original article on Daily News.
 
Ninyi wote wapumbavu , sasa kama munalijua hilo kwanini kilacku munasema humu kawaida ya Watanzania kazi yao kuzindua tu mradi wenyewe kila cku kuzungumzia bomba la mafuta leo Kwa kua upande wenu mumebadilika au mradi wa bomba la mafuta ni mradi mdogo?
A wapi? Bomba la mafuta mbona kitu amabacho ukishajipanga unazindua na unafanya tena mnapiga collabo
 
A wapi? Bomba la mafuta mbona kitu amabacho ukishajipanga unazindua na unafanya tena mnapiga collabo
Hata hiko kibandari unachimba chimba tu tena humuamishi mtu yeyote ndo miaka minne sema wakenya karibu ya wote hawana akili uhuru anawachezea akili anajenga kimradi kimoja miaka miingi ili apate pakuonyeshea
 
Hata hiko kibandari unachimba chimba tu tena humuamishi mtu yeyote ndo miaka minne sema wakenya karibu ya wote hawana akili uhuru anawachezea akili anajenga kimradi kimoja miaka miingi ili apate pakuonyeshea
Tafadhali sana jaribu kujizuia kuwajibu kwa ghadhabu, wakenya wanakera sana, ila tujaribu kuwavumilia.
 
Hawa wajinga wa kikunya huwa ikiwa kwao ni sawa huku wakitumia visingizio lukuki ila kwa Tanzania sio sawa [emoji23][emoji23][emoji23]

Hifadhi hizo comments ili siku wakitumia ujinga uzitumie kuwanyorosha kwa kutumia hizo screen shot.
Wakenya ni watu wa ajabu Sana.
 
Tafadhali sana jaribu kujizuia kuwajibu kwa ghadhabu, wakenya wanakera sana, ila tujaribu kuwavumilia.
Unajua mkuu umeona jibu alilojibu , amejibu kipuuzi ndio maana na Mimi nimemjibu kipuuzi maana hataki kuangalia uhalisia we mradi wa B3.5 ufananishe na mradi million halafu eti wa million ndio uwe mkubwa hata ukichukua miaka 4 Sawa tu ila wa B 3.5 ni kitu cha kusaini tu na kuanza ujenzi hivi ana akili timamu huyu
 
Kumbuka Mtwara port ilikuwapo na current facility is having a capacity of over 600,000 tons of cargo kinachofanyika ni expansion n dredging! I won't be surprised if bigger than Lamu's three berths expected to handle 1 mln tons of cargo! Tatizo mna mdomo mkubwa!
Nonesense. Lamu port berth moja ni 400 metres kwa hivyo berth zote tatu ni 1,200 metres. Tafuta ligi nyingine lakini hiyo uchwara port haiwezi kukaribia Lamu port kwa capacity.
 
Back
Top Bottom