Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Nonesense. Lamu port berth moja ni 400 metres kwa hivyo berth zote tatu ni 1,200 metres. Tafuta ligi nyingine lakini hiyo uchwara port haiwezi kukaribia Lamu port kwa capacity.
What r their capacity? the three berths that have taken 9 years and till now not complete!
 
Hata hiko kibandari unachimba chimba tu tena humuamishi mtu yeyote ndo miaka minne sema wakenya karibu ya wote hawana akili uhuru anawachezea akili anajenga kimradi kimoja miaka miingi ili apate pakuonyeshea
Hehehe!!emu rudia eti ki nini vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Hyo inaonyesha ni wivu ulipindukia kabisa, si mfikie mombasa kwanza ndio muanze kuongea
 
Hehehe!!emu rudia eti ki nini vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Hyo inaonyesha ni wivu ulipindukia kabisa, si mfikie mombasa kwanza ndio muanze kuongea
Sababu ya Mombasa kua na mizigo mingi ni hizi mbili : yakwanza Kenya inategemea bandari moja kupitisha mizigo yake wakati TANZANIA inategemea bandari tano lakini wakenya wanayoiangalia bandari ya Dar tu . Sababu ya pili bandari ya Dar ilikuwa na kina kidogo meli kubwa kabisa zilikua haziwezi kutia nanga kwahiyo meli zilikua zinatia nanga Mombasa kisha mzigo unapakiwa ktk meli za wastani ndio unaletwa dar ila hiyo changamoto sasa hivi ishatatuliwa meli kubwa zinaweza kutia nanga moja Kwa moja Dar na kuna vitu vinamaliziwa itakua meli ya aina yeyote kutoka duniani itatia nanga . Sasa kama haukuelewa tena bc utakua umelogwa
 
Sababu ya Mombasa kua na mizigo mingi ni hizi mbili : yakwanza Kenya inategemea bandari moja kupitisha mizigo yake wakati TANZANIA inategemea bandari tano lakini wakenya wanayoiangalia bandari ya Dar tu . Sababu ya pili bandari ya Dar ilikuwa na kina kidogo meli kubwa kabisa zilikua haziwezi kutia nanga kwahiyo meli zilikua zinatia nanga Mombasa kisha mzigo unapakiwa ktk meli za wastani ndio unaletwa dar ila hiyo changamoto sasa hivi ishatatuliwa meli kubwa zinaweza kutia nanga moja Kwa moja Dar na kuna vitu vinamaliziwa itakua meli ya aina yeyote kutoka duniani itatia nanga . Sasa kama haukuelewa tena bc utakua umelogwa
Mombasa port wala haina mizigo mingi kuja hko..
Pili lete data za bandari zenu zote tuone km mtaizidi mombasa kw idadi ya maana

Na sia ajabu mombasa pia inazidi bandari zenu zote
 
Mombasa port wala haina mizigo mingi kuja hko..
Pili lete data za bandari zenu zote tuone km mtaizidi mombasa kw idadi ya maana

Na sia ajabu mombasa pia inazidi bandari zenu zote
Wewe kwel kizazi cha iblis maana mbishi kama iblis kwenyewe
 
Wewe kwel kizazi cha iblis maana mbishi kama iblis kwenyewe
Alaaa!!kukuitisha data ndio unapayuka hvo, kwanza umeandika upupu nikaamua kukuuliza lw umakini ulete data..lkn naona umeamua kunengua tu..
Anyway, nitag ukishapata data
 
Mbona hata Uganga 20% ya mizigo yao hupitia Tanzania, hata South Sudan baadhi ya mizigo hupitia bandari zingine.

Lakini zaidi ya 80% ya Mizigo ya Zambia, Malawi, Burundi, Rwanda na 60% ya mizigo ya DRC hupitia Tanzania.
This is self-explanatory - the port of Mombasa maybe serving "fewer" countries as you paint it. This simply means that those cargo handled at Mombasa port are locally used in those "fewer" countries because of high demand driven largely by their bigger economic sizes.
 
Simple tu ni kwamba Kenya inaimport almost everything in its domestic market, hata ukiangalia asilimia kubwa ya mzigo wa Mombasa unaishia Kenya and most of it ni chakula tofauti na Tanzania ambayo importation rate yake ipo chini.
What a lame excuse! Kenya is the biggest economy in this region. It is also the country with the most industries this side of the Sahara. How then is it that Kenya imports everything and anything it needs in its domestic market? If I look at the balance of trade between Kenya and Tanzania, it says that Kenya exports more goods to Tanzania than it imports from Tanzania. That should tell you something if you have some knowledge on international trade
 
Bandari ya Mombasa inapata mizigo mingi kuliko ya Dar es salaam mizigo hiyo ya kwenda nchi gani hebu tujuze Kwanza usitutangazie imani yako tu hapa.
Are you objecting the fact that Mombasa port receives more cargo (almost twice) than Dar port ama argument yako ni nini?
 
Are you objecting the fact that Mombasa port receives more cargo (almost twice) than Dar port ama argument yako ni nini?
Yeye amesema hivyo Kwa Imani yake siwezi kumbishia ila nilitaka anijuze tu hiyo mizigo mingi ikishaingia Mombasa inaenda nchi gani au ndo mwisho Kenya mizigo yote hiyo maana TANZANIA tunaudumia nchi 8 kupitia bandari ya Dar sasa ndio maana niliuliza hivyo
 
Ushaambiwa kwamba 80% ya hiyo mizigo hubakia Kenya. Ni kipi usichoelewa hapo?
Kama inabakia Kenya Sawa hakuna ugomvi maana yake kenya inategemea vitu vingi toka nje wakati TANZANIA inajitosheleza na inapeleka nje ndio sababu ya bandari ya kenya kutumika sana
 
Wewe unafikiria mbali sana, ila ni kweli hizo data za mzigo wa Mombasa, hawapiki chochote. Kitu cha kujiuliza ni mizigo gani hasa Kenya na Uganda wanaagiza na kupeleka nje kiasi kuizidi Dar kwa mbali ambayo inahudumia nchi nyingi kuliko Mombasa?
Hawa watanzania wenzako wako na ugumu WA kuelewa na ni wabishi kupindukia. Unapoona mtu mtu anabishana na facts hapo anahitaji tu maombi. Kama anabisha atuletee source inayosema Dar inapokea mizigo nyingi kuliko Mombasa
 
Yeye amesema hivyo Kwa Imani yake siwezi kumbishia ila nilitaka anijuze tu hiyo mizigo mingi ikishaingia Mombasa inaenda nchi gani au ndo mwisho Kenya mizigo yote hiyo maana TANZANIA tunaudumia nchi 8 kupitia bandari ya Dar sasa ndio maana niliuliza hivyo
Wewe huenda uko na matatizo ya kuelewa mambo rahisi. Kuhudumia nchi nyingi sio hoja. Hoja ni kwamba unpeleka idadi kiasi gani ya mizigo kwenye hizo nchi. You can even serve 50 countries but if the demand of those 50 countries can't match the demand of another country serving just one or two countries, then there's no day you'll be in the same page.

Secondly, ushaambiwa kwamba 80% ya cargo inayopita Mombasa hubakia Kenya. In other words, Kenya has high demand of cargo than all the neighbouring countries, Tanzania included
 
Simple tu ni kwamba Kenya inaimport almost everything in its domestic market, hata ukiangalia asilimia kubwa ya mzigo wa Mombasa unaishia Kenya and most of it ni chakula tofauti na Tanzania ambayo importation rate yake ipo chini.

I can concur with you, they import everything. Hata mahindi safari hii wali import toka Brazil.
 
Sababu ya Mombasa kua na mizigo mingi ni hizi mbili : yakwanza Kenya inategemea bandari moja kupitisha mizigo yake wakati TANZANIA inategemea bandari tano lakini wakenya wanayoiangalia bandari ya Dar tu . Sababu ya pili bandari ya Dar ilikuwa na kina kidogo meli kubwa kabisa zilikua haziwezi kutia nanga kwahiyo meli zilikua zinatia nanga Mombasa kisha mzigo unapakiwa ktk meli za wastani ndio unaletwa dar ila hiyo changamoto sasa hivi ishatatuliwa meli kubwa zinaweza kutia nanga moja Kwa moja Dar na kuna vitu vinamaliziwa itakua meli ya aina yeyote kutoka duniani itatia nanga . Sasa kama haukuelewa tena bc utakua umelogwa
Are you aware that Mombasa port alone is handling more cargo than all Tanzanian ports placed together? In fact Mombasa port is handling twice the cargo all Tanzanian ports are handling in a year.
 
Mombasa port wala haina mizigo mingi kuja hko..
Pili lete data za bandari zenu zote tuone km mtaizidi mombasa kw idadi ya maana

Na sia ajabu mombasa pia inazidi bandari zenu zote
Mombasa port is twice their all ports put together.
 
Wewe huenda uko na matatizo ya kuelewa mambo rahisi. Kuhudumia nchi nyingi sio hoja. Hoja ni kwamba unpeleka idadi kiasi gani ya mizigo kwenye hizo nchi. You can even serve 50 countries but if the demand of those 50 countries can't match the demand of another country serving just one or two countries, then there's no day you'll be in the same page.

Secondly, ushaambiwa kwamba 80% ya cargo inayopita Mombasa hubakia Kenya. In other words, Kenya has high demand of cargo than all the neighbouring countries, Tanzania included
Na wewe unaweza kusoma ila huelewi cjui Kwa kua lugha tunayotumia sio yako!! Kwani Mimi nimebisha kwenye comment yangu ya hapo juu?
 
Kama inabakia Kenya Sawa hakuna ugomvi maana yake kenya inategemea vitu vingi toka nje wakati TANZANIA inajitosheleza na inapeleka nje ndio sababu ya bandari ya kenya kutumika sana
Ignorance is bliss. That's all I can tell you. Kama uko na wakati, pitia hii link uone bidhaa ambazo Kenya hununua kwa wingi kutoka nje na uniambie kati to hizo, ni zipi ambazo Tanzania imejitosheleza nazo au kutengeneza kwa wingi kuliko Kenya. While doing that, don't forget to provide links to your source of information

Kenya’s Top 10 Imports
 
Back
Top Bottom