Ushauri: Umri unaenda sina ninachomiliki

Hapo umenena kiongozi.. [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Mmiliki wa alibaba mpaka anafikisha miaka 28 alikuwa hakuna anachomiliki hakukata tamaa ,hilo tatizo sio kwako tu vijana wengi especially tulio soma cha msingi tusichague cha kufanya tujichanganye kwote kwote. Usikate tamaa hatujui mungu katupangia nn kesho .

Song:Naiona kesho by Martha mwaipaja
 
Kazi uliziacha kijijini ukakimbilia madigrii rudi upesi huko ukaungane na wenzako ulime kabla nguvu hazijakuishia.kosa ni la mama yako aliyeolewa na masikini kisha ukazaliwa.njoo tulime.
 
Hakuna mambo ya eti kusoma nilipoteza muda,,,,,,,chora mstari anza upya sasa. Tatizo letu ni ubinafsi.
 
Kama nimekuelewa, mzazi mwenzio ana kipato kizuri. Tafuta wazo zuri la biashara ya kiwango anachoweza ku-finance, halafu mshirikishe
Ni wazo zuri kama ana mahusiano mazuri na mzazi mwenzie anaweza kumuinua akafika mbali hata hiyo ajira asiione ni kitu
 
Hata wenye Kazi tunafanya shughuli za ziada baada ya saa za kazi tena Kwa mitaji midogo, mno yote nikukwepa madeni madogo yasiyoyalazima. Tatizo vijana wengi wasomi wanaogopa kufanya shughuli flani flani eti wataonekaje ili hali wamesoma!!!!! Na wanataka kuanza na mitaji mikubwa...kumbuka mtaji wa kwanza ni mawazo yako, hivyo unaweza pewa hata mill 2 na usizifanyie kitu...utulivu wa akili ni muhimu mno
 
Mkuu najua maumivu unayoyapitia kwasasa, pamoja na kukabiliana na changamoto zote zilizopo kwenye elimu ila ulijitahidi kupambana hadi ukafanikiwa kwakuwa uliamini elimu ndio itakuwa msaada kwenye maisha yako.. mambo yamekwenda kinyume pole sanaa,,,
Kitu unachopaswa kufanya kwasasa ni kuendelea kupambana na kuishinda sauti inayokushawishi kukata tamaa, endelea kupambana kwa namna yoyote ile hata kama wanakudharau mtaani na pengine rafiki zako uliowaacha mtaani wakiishia Std 7 wana maisha mazuri zaidi yako ila USIKATE TAMAA ENDELEA KUPAMBANA.
Badili namna ya kufikiri na weka elimu pembeni piga kazi kwa namna yoyote ile, hizo kazi ndogo ndogo unazofanya tafuta namna ya kuzifanya ziwe kubwa na zikidhi mahitaji.

If you want to change, you have to be tired and sick of being tired and sick.
 
jichanganye kila kona ukitulia sehemu mmoja utabaki kulaumu
 
We siyo graduated ni graditude huwezi kuwa zoba kwa kiasi hicho nikimuona MTU ana degree halafu analalamika ajira natamani nimtemee mate huna Tina kwa taiga hili kabisa .si ajabu umeacha mashamba kijijini nawe IPO mjini unabanana na washua wakati umeacha Mali ,Mimi na degree ya HRM nibahatika kufanya field wilaya flani hadi Leo nafanya shughuri zangu kwenye wilaya hiyo na sina mpango wa kuajiliwa kabisa .
 
Mkuuu unanifanya niamn kuwa kusoma ndo chanzo cha umaskn katka nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…