Wakuu, nimekuwa nikifuatilia mashahidi wengi mahakamani Wanakula kihapo kwa hivi vitabu, na kudai watasema ukweli mtupu. Na kumalizia Mungu awasaidie. Lakin mwishowe kwenye ushahidi wanasema uongo live live. Kitendo hicho mm naona nikuvinajisi vitabu vitakatifu.
Kwa mfano tu mzuri, hivi Shahidi wa juzi kesi ya Mbowe, shahidi no 5, mwanasheria wa Tigo, hv kweli kabisaa amekana hamjui mbowe Wala hajawai kumsikia kama ni kiongoz wa chama. Mtanzania tena mwanasheria. Uongo wa live kabisaaa. Mungu atawapiga vibaya watu Kama hao.
Sasa basi kama ilivyo Sheria ya nchi kutotumia bendera ya taifa hovyo hovyo, nashauri viongozi wa dini watoe tamko mtu akienda kula kihapo asitumie vitabu hivi. Kitendo cha kuhapa mbele za Mungu uku ukijua anaenda kusema uongo, ni sawa na kwenda mskitini/ kanisani huku mfukoni unabox la condom, ukimaliza ibada unaenda kusheratika. Mbaya sana.
Kwa mfano tu mzuri, hivi Shahidi wa juzi kesi ya Mbowe, shahidi no 5, mwanasheria wa Tigo, hv kweli kabisaa amekana hamjui mbowe Wala hajawai kumsikia kama ni kiongoz wa chama. Mtanzania tena mwanasheria. Uongo wa live kabisaaa. Mungu atawapiga vibaya watu Kama hao.
Sasa basi kama ilivyo Sheria ya nchi kutotumia bendera ya taifa hovyo hovyo, nashauri viongozi wa dini watoe tamko mtu akienda kula kihapo asitumie vitabu hivi. Kitendo cha kuhapa mbele za Mungu uku ukijua anaenda kusema uongo, ni sawa na kwenda mskitini/ kanisani huku mfukoni unabox la condom, ukimaliza ibada unaenda kusheratika. Mbaya sana.