Morning Glory1
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 237
- 381
Km kweli diamond anaamini mafanikio yake ni juhudi zake binafsi hizi fuvu mbili hapa mezani kwake zitolewe zichomwe moto adharani...tuanzie hapa kwanza kumsaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshasema hakuna ubishi ukimaanisha uko sahihi sasa sisi tuchangie nini mkuu
We team kiba acha kuteseka na mondi kamsaidie kiba huko kuongeza viewers YouTubeKm kweli diamond anaamini mafanikio yake ni juhudi zake binafsi hizi fuvu mbili hapa mezani kwake zitolewe zichomwe moto adharani...tuanzie hapa kwanza kumsaidiaView attachment 1261923
ttzo la watanzania tunapenda majibu rahisi kwa maswali magumu...na tunapofushwa na mahaba inasikitisha sana!Member since October hats mwezi hajamaliza JF akikua ataacha muacheni tu
We kamshabikie kiba inatosha kuliko kuangaika na mondi kipenzi Cha watu.ttzo la watanzania tunapenda majibu rahisi kwa maswali magumu...na tunapofushwa na mahaba inasikitisha sana!
hapa watanzania wote tumejumuika kumsaidia uyu kijana..mambo ya u7timu tumeweka pembeni ..unachanganya madawa mkuuvvvvvñĺWe team kiba acha kuteseka na mondi kamsaidie kiba huko kuongeza viewers YouTube
Nenda kawasaidie ndugu zako kwanza achana na mondi ambaye hakujui na wewe umjui zaidi ya kumuona kwenye Tv, social media.Hao watanzania uliosema tumeungana kumshauri mondi wako wapi? Ikiwa Uzi wako hakuna hata mmoja aliyeunga hoja yako uoni aibu kijana.mmmmñ5hapa watanzania wote tumejumuika kumsaidia uyu kijana..mambo ya u7timu tumeweka pembeni ..unachanganya madawa mkuuvvvvvñĺ
Mtoa mada ni team kiba so anaona njia rahisi kwake nikumchafua mondi.DIAMOND AMEWAITA TU HAO WASANII, ALIYEWALIPA NI NYINYI MLIOENDA KUWATAZAMA.
*!*!?!(!*!?!?!¥!?!?(!(!(!?!*!*♡¥!*!(!¥+991(+*!*!€&+£+9!([`}`♡`♡°}°》°¡¡`♡`}`♤`¡`♡`♡°}}°♡`♤`¿°¿》¡¡¡`♡°[♢`¡`♡°[`¿¿.`♢`[`]♧°♧°♢°}°♤¡`♡♡♡°♡`♡`♡°♢°♢°[°[°♢`♢`♢°♢Kwani like fuvu la kichwa linalosemekana lipo ofisini kwake kina kazi gani
"yani kwa akili tu za kawaida inawezekana vipi ukaleta wasanii wakubwa km wizkid na tiwa savage toka nigeria mpka bongoYapo mambo kwa akili ya kawaida ya binadamu yanahitaji tafakuri ya kina.Muda umefika sasa kwa watanzania kuweza kufikiri nje ya box kuliko kujitoa ufahamu na kujifanya kama hatuoni km kijana wetu tunaempenda anapotea..na
kama kuna hatua za dharura tunaweza kuzichukua kumsaidia uyu kijana arudi kwny mstari ili tusije tukampoteza
Mifano iko mingi sana na watanzania tunaijua lakini mm sitaki kupotea mda hapa wa kutoa mifano kibao na kujaza gazeti...ntatoa mfano mmoja tu
"yani kwa akili tu za kawaida inawezekana vipi ukaleta wasanii wakubwa km wizkid na tiwa savage toka nigeria mpka bongo
na kuwalipa "huge sums of money"..na hapohapo kuwapa malazi katika "five stars hotels" lkn babako mzazi aliekuleta katika dunia hii bado anaishi tandale kwa mtogole na anatembelea bodaboda?!"ht km ni roho mbaya hii umepitiliza
Ebu watanzania wa upendo tulionao tulijadiri hili swala kwa umakini ili tumsaidie huyu kijana...njia aliyoamua kuipitia kupata haya mafanikio aliyokua nayo sasa sio nzuri na kuna kila dalili kua mwisho wake utakua mpya sn ...tusipochukua hatua za dharura kumsaidia dunia itatuuhukumu bdae
Nafungua mjadara kwa maswali "ni kweli diamond amemtoa babake ndondocha ili kuyapata haya mafanikio yk?"...."is something going on behind the scene of his success?"..... ebu tiririka mdau
I LOVE YOU, for your post.Mimi ni nani nianze kujadili matumizi ya mtu anaetafuta pesa kwa jasho lake mwenyewe?