Ushauri wa bure: Jitahidi kuyafanya sana haya mambo utakuja nikumbuka baadae

Ushauri wa bure: Jitahidi kuyafanya sana haya mambo utakuja nikumbuka baadae

Ndugu yangu usikubali DUNIA yenye mambo mazuri ikupite,.

Kuna watu wametishwa sana mpaka wanaisema vibaya dunia ya starehe,
Wanatamani duniani kote kungekuwa na misikiti au makanisa tu jamani huu ni UPUMBAVU tena wa HERUFI KUBWA,.

Wanatamani walevi wote wazinzi wote Malaya wote wangetoweka kwa mala moja,.

Huu ni ujinga, hata huyo Mungu wao wanaomuamini anasema kila siku kuwa anapendezwa na dunia ya namna hii ya sasa hii ya binadamu wanaofanya sana, ULIMWENGU WA KUABUDU SANA UPO MBINGUNI NA MALAIKA,.
 
pekecha tu rombo unaua misuli yote ukifika 50 magoti yatakuwa yameisha nguvu na mikono inatetemeka.
Una uhakika atafika?
Fanya sana umebakiza umri mchache sana ndugu yangu,.
Tena fanya sana
Kama wewe ni mpenzi wa nyeto piga sana download na ex weka earphone play kwa sauti kubwa piga sana,.
Ikikupendeza zaidi nunua na sexy dolls weka chumbani piga sana piga tena na tena maana siku zaja za mauti wako,.
 
Una uhakika atafika?
Fanya sana umebakiza umri mchache sana ndugu yangu,.
Tena fanya sana
Kama wewe ni mpenzi nyeto piga sana download na ex weka earphone play kwa sauti kubwa piga sana,.
Ikikupendeza zaidi nunua na sexy dolls weka chumbani piga sana piga tena na tena maana siku zaja za mauti wako,.
mimi huko peponi nina zawadi ya mabikra 72 na mito itiririsha bia
 
Kuna watu wananipinga hapa leo kumbe ni wale marehemu wa ajari ya gari inayokuja kutokea mwezi Desemba,.

Sasa ulikuwa na umuhimu gani wa kuto kufanya sana na kupinga bandiko langu??

Ndugu fanya sana maana wewe ni maiti ya mwenzi desemba tena fanya sana nenda benki toa ela yako tukutane PUB maana umauti uwaja soon
 
mimi huko peponi nina zawadi ya mabikra 72 na mito itiririsha bia

Wafanye sana wavionavyo, mbona mabikra 72 wapo pare TEMEKE mbona wapo pare Buguruni mbona wapo kwa fisi,. Mbona wapo pale kona PUB, mbona wapo pale dabo kibini tandika,. tena ukienda wamejipanga unajichagulia mwenyewe ni mwendo kufanya nao sana,.

Mungu peponi alishaihamishia duniani kitambo tu ila sisi wenyewe bado tunajicherewesha,.
Kwa sasa vile vilivyo andika vya peponi vyote vipo hapa,.

Mpaka ukimkumbuka tu mtu ukitaka kuonana nae unaonana nae kwa WHATSAPP VIDEO CALL ndugu zangu fanyeni sana peponi ipo iko wazi.
 
Kuna mzee hapa ana 60+ ila anawachumisha mchicha sana wanawawake wenye too much greedy
 
mimi huko peponi nina zawadi ya mabikra 72 na mito itiririsha bia
Kuhusu mito ya bia mbona swala lipo wazi,. Tena lipo hapa duniani tena uzuri wa bia ya duniani unaweza kunywa huku unakula jicho la mtu,.
Uzuri wa chupa ya bia ya duniani unaweza ingia pale kwa tundu ya mkojo huku unapiga picha,.

Ndugu kama wewe ni mpenzi wa BIA 🍺 basi kunywa sana maana umauti uwaja,.
Hiyo bia ya peponi ina masharti magumu,.

Kwa waislamu bia ya peponi mpaka ufunge mwezi wa ramadhani, utoe sadaka, ukahiji makha sijui uswali swala 5
Bia ya peponi kwa wakristo ndio haiingiliki kabisa,. Ni mpaka ushikwe matako na mwamposa je utaziwezi bia za mbinguni?
 
Kuna mzee hapa ana 60+ ila anawachumisha mchicha sana wanawawake wenye too much greedy
Eee mwache afanye sana maana umauti wake uwaja,.
Je unamuona mzee ni kituko?
Amini amini nawaambia mzee ni mwelevu na mwenye akili ya kuona mbali hata akifikisha miaka mia ya kuishi ni sawa na kabakiza miaka 40 tu,.
Miaka 40 ni sawa na mtoto akizaliwa leo mpaka akifika university mpaka akiajiliwa mzee atakuwa na 100 au 90 hivyo elewa DUNIA NI FUPI SANA
 
Ni vyema ukafa mapema,
Maana hauwezi jua huko mbele kingekukuta nini,.
Unakufa 2026 nibora kuliko kuja kufa 2055 hauwezi jua 2050 utaenda jera,.
2046 ungefumaniwa na kukatwa miguu yote na kuachwa unateseka,.
Kama unakufa mapema ni vyema sana,.
Pia kama kuna kitu mtu anahitajika kukipambania ni kufa mapema, fanya sana tena fanya sana ili hata Ukifa kesho kusikuwe na kitu cha kukimisi,.
Hauwezi misi kitu coz utakuwa haupo tena
 
Hauwezi misi kitu coz utakuwa haupo tena
Swafi, Umekuwa na akili sasa., Maana ukisema utakuwa haupo tena umetoka nje ya imani zote za kale maana zinaaminisha watu utakuwepo baada ya kifo,.

Pia nisikuache bure,. Nikushauri kuwa umesema utakuwa haupo tena hivyo pambana ufanye sana starehe kwa kadri ya uwezo wako kwani siku yako ya kutokuwepo iyaja,.
Kama unapenda mapenzi basi fanya sana ikikupendeza jaribu na ile ya kwa mpalange,.
Kama ni mpenzi wa Pombe basi lewa sana ikikupendeza lala hukohuko bar,
Kama ni mpenzi wa kitimoto basi choma sana jaribu na kuchemsha tia na pilipili kunywa supu maana siku yako ya kutokuwepo Yaja,.
 
Swafi, Umekuwa na akili sasa., Maana ukisema utakuwa haupo tena umetoka nje ya imani zote za kale maana zinaaminisha watu utakuwepo baada ya kifo,.

Pia nisikuache bure,. Nikushauri kuwa umesema utakuwa haupo tena hivyo pambana ufanye sana starehe kwa kadri ya uwezo wako kwani siku yako ya kutokuwepo iyaja,.
Kama unapenda mapenzi basi fanya sana ikikupendeza jaribu na ile ya kwa mpalange,.
Kama ni mpenzi wa Pombe basi lewa sana ikikupendeza lala hukohuko bar,
Kama ni mpenzi wa kitimoto basi choma sana jaribu na kuchemsha tia na pilipili kunywa supu maana siku yako ya kutokuwepo Yaja,.
🤣Mbona unalazimisha hayo ya kwa mpalange jamani
 
Fanyeni yote ila muwe na kiasi katika kila jambo..muwe na kiasi na mtambue matokeo utayabeba mwenyewe.iwe kimwili kiroho nk.

Sio unafika 60 kwa mpalange unavuja nya mda wote umevaa pampas,moyo unasumbua sijui presha kwa mlo mbovu,figo zimefeli sababu ya vilevi kupitiliza na sumu anuwai.mapafu yako hoi kwa bangi na shisha misigara.nk

Zingatia kipi ni salama.kaburini hamna kitu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanyeni yote ila muwe na kiasi katika kila jambo..muwe na kiasi na mtambue matokeo utayabeba mwenyewe.iwe kimwili kiroho nk.

Sio unafika 60 kwa mpalange unavuja nya mda wote umevaa pampas,moyo unasumbua sijui presha kwa mlo mbovu,figo zimefeli sababu ya vilevi kupitiliza na sumu anuwai.mapafu yako hoi kwa bangi na shisha misigara.nk

Zingatia kipi ni salama.kaburini hamna kitu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna umuhimu wa kufa na afya njema?
 
I totally agree.
My brother, don't let a world with good things pass you by. There are people who are so threatened that they say bad things about the world of pleasure, they wish all over the world there would be only mosques or churches, man, this is the stupidity of capital letters. They wish that all the drunkards of all adulterers would disappear in the same mala. This is ignorance, even their God who believes in him says every day that he is interested in the world of this kind of people who do a lot, the world of worship is in heaven with angels.
 
Back
Top Bottom