Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaHata usipofanya sana
Na utakwenda huko motoni (kama itakuwepo kweli) bila ya kufanya kwako sana na ndipo utakuja kulikumbuka bandiko langu la kufanya sana
NimemuonaHuyo dada hapo mwenye jinzi umemuonea..
Hawafanyi kwa kuwa wametishwa sana na imani za kijinga jinga,.Naunga mkono hoja,kwani hii dunia niyetu,au ambao hawafanyi hayo wao hawozi[emoji41]
Hatujapinda bali wenzio tunafanya sana,.Nilidhani ni mimi tu ndio nimevurugwa kumbe kuna watu wamepinda,, 🤔
Kitimoto huwa natumia sana mda mwingine nachemsha supu na pilipili nakunywa kwani siku zaja nitashindwa hata onja maini,.Naona una arosto ya kitimoto, unaugwadu sema ndo hivo huna kila kitu
Mungu atakusaidia utavuka salama, hallelujah....!!
Tajiri pia ni mjinga kama wajinga wengine,.Fikra za makabwela ndo kama hizi 🤣🤣🚮🚮
Ili tupate wote hiyo HIV uliyonayoToa ela yako benki tukutane PUB
Kwetu watu wa aina yako tunawaita "viazi" 🙂🙂🙂Nilipotoka chuo nilikua na hii mentality basi si nikaotea chaka la kupiga hela aisee nilifanya starehe karibu zote
Matokeo yake pesa ziliisha na chaka likafungwa nimeishia kua na watoto kila mahali wengine nahudumia wengine ndio hvo tena
Sijutii kwa chochote hua nikitizama nyuma nasema at least niliwahi kuishi, najitafuta upya niendelee nilipoachia.
Hakika maisha ni mazuri jitahidi kuishi kabla hujafaKwetu watu wa aina yako tunawaita "viazi" [emoji846][emoji846][emoji846]
Kwa hiyo wewe ni kiazi[emoji846]
Pia tuna utaratibu kila mwezi wa 12...tunawachangia nauli walete watoto nyumbani.🛖
Mwenzio alifanya sanaKwetu watu wa aina yako tunawaita "viazi" 🙂🙂🙂
Kwa hiyo wewe ni kiazi🙂
Pia tuna utaratibu kila mwezi wa 12...tunawachangia nauli walete watoto nyumbani.🛖
Kabisa....muhimu watoto wapajue kwao.Mwenzio alifanya sana
Safi, tena safi sana.Hakika maisha ni mazuri jitahidi kuishi kabla hujafa
Ndugu yangu hivyo unavyoviita ni ubatili vipo tu hapa duniani huko PEPONI kwako wala havipo,.Vyote ni ubatili mtupu